Kwa mara ya kwanza Demiss nimehonga mwanaume!

Hahahhaha rafiki leo nimelewa tilalila nakwambia hasira za kuwa busy na magu week nzima mxeeeew
[emoji16][emoji16][emoji16] pole sana mkuu, mpambank uendelee tu hamna namna
 
Mimi naangalia tuu..

Ila najua kuna mtandaoni na uhalisia
 
Ushaanza kuzeeka, so zamani ulikua mti unamwagiwa mbolea na kunyeshewa maji sahv watu wanataka kuchuma matunda, hatumwagilii tena [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…