Kuhonga lazimaa
Nakuja kwa speed ya lightKatika member walionifaidi wewe unaongoza njoo basi tsap nikupe diliii
Sjui nitampata nan wa kunisitir
Hahahhaha eti eeeh
Kwann wasema hivyo
Hahahahha na wewe mchawi
hongera kwa kutimiza 50/50 hadi kwenye masuala ya mshiko msiwe mnaishia kwenye mambo mengine tu πππAbeeeeeh
Ndo ulichokiona why[emoji23][emoji23]
yeah nice name.... got direct meaning siyo sisi wengine hadi uende kwenye server za wazungu ujue jina lako lina maana gani πππHahahahha ndo zakoo yani umezoom mm zawadi kutoka kwa mungu jina la kipeekeeee
nisiwasemee wengine... ila mimi binafsi siwezi...maybe yangekuwa yana last at least miezi mitatu ningeweza japo kwa mbinde...Wewe jibu si umepata alafu sasa week tu imeisha kuna mwanaume ataweza hiyo gharama