Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimezoom nmeona na nanihii😁Wewe zoom tu upate jibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nuona mkorogo.. kwambaaaaliMimi kabisa labda utoto ulikuwa unanisumbua au niseme ussta duu eti nihonge mwanaume chaiiiiii naanzaje kwa mfano?
Asikwambie mtu yani unaenda kumdangia mwanaume huna mpango naye alafu anakukopaa inaumaa hiyoo balaaaaa yani unakazana kumkatikia mauno kama yote alafu hupati hata mia.
Mimi toka niwe kwenye mahusiano mbalimbali sjawahi kuhonga ndo nimeanza leoo.
Sasa mwenzenu kama kulogwa hii ni mpya yani LIMBWATA MKOLEO kwa mara ya kwanza nimemtumia hela ya bundle shemeji yenu inabidi mnipongeze kwa mabadiliko hayaaa.
Nyongeza:
Mnaosema mm mzee bitukinao mniache[emoji57][emoji57][emoji57]mm bado binti mbichi chuchu konzi mtoto kama wa jana looh mtoto mwenye usichana wake yani bado nipo kwenye kwenye ishirini na ......... msinizeeshe mxeweew.
View attachment 868241
Mkuu kama kweli za mchawi like comment yangu,kama sio potezeaNamba za mchawi hizo watakaopiga watakachokipata watafurahi
hongeraYeaaah tena wa bei mbayaaa
Huwezi amini nimetuona "Tuelfu thelathini na tutano"Hahahahha ninihoio nini?[emoji23][emoji23][emoji23]
hhhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!hapo sasa nakuelewa!usiache asili mamy!tunafanya dunia kuwa ngumu ujue!lolHahahahha nimecheka sana itakuwa NImelogwaa nitadanga na new id[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]