Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi mkuuLazima niwaze karibu tulewe
sh Ngapi mkuu?Ukitaka kunifanyia interview nilipe kwanzaaa
tuma screenshot tuione kama kwelMimi kabisa labda utoto ulikuwa unanisumbua au niseme ussta duu eti nihonge mwanaume chaiiiiii naanzaje kwa mfano?
Asikwambie mtu yani unaenda kumdangia mwanaume huna mpango naye alafu anakukopaa inaumaa hiyoo balaaaaa yani unakazana kumkatikia mauno kama yote alafu hupati hata mia.
Mimi toka niwe kwenye mahusiano mbalimbali sjawahi kuhonga ndo nimeanza leoo.
Sasa mwenzenu kama kulogwa hii ni mpya yani LIMBWATA MKOLEO kwa mara ya kwanza nimemtumia hela ya bundle shemeji yenu inabidi mnipongeze kwa mabadiliko hayaaa.
Nyongeza:
Mnaosema mm mzee bitukinao mniache[emoji57][emoji57][emoji57]mm bado binti mbichi chuchu konzi mtoto kama wa jana looh mtoto mwenye usichana wake yani bado nipo kwenye kwenye ishirini na ......... msinizeeshe mxeweew.
View attachment 868241
naona mambo si mabaya inabid next time akija kukugegeda aongez kidogo pale alipoishia afu then baadae tena akuombe pesa ya thaman kidogo zaidi ya ulompa leoAliniombaaa
OiyoooooMaaaaaaaaa
Wooooiioi hongera na asante situmii kilevi mamyyyNjoo tulewe nipo chakar