Nani anabaguliwa? Mimi mmatengo wa Ruvuma nabaguliwaje?
Unajua kuwa Wazanzibari ni Watanzania? Ni shida mtanzania anayetokea Zanzibar kuwa waziri?
Ibara ipi ya Katiba inasema ivyo?..Katiba na Sheria inakataza Mzenj kuwa waziri ktk wizara isiyo ya muungano kama ilivyo kwa Prof.Mbarawa.
..Katiba inaruhusu Mzenj kuwa Waziri ktk wizara za muungano kama wizara ya fedha, mambo ya ndani,..
Ibara ipi ya Katiba inasema ivyo?
Hussein Mwenda ni mteule wa Rais wa Zanzibar na anahudumu serikali ya mapinduzi zanzibar. Unajua katokea wapi?..mbona Husseni hateuwi mbunge wa Rufiji, Kilombero, ... kuwa Waziri ktk SMZ?
..Wazanzibari acheni dhuluma na ubaguzi.
Hussein Mwenda ni mteule wa Rais wa Zanzibar na anahudumu serikali ya mapinduzi zanzibar. Unajua katokea wapi?
Sina tabia ya kummulikia kipofu kwani ni matumizi mabaya ya nishati.Mkataba wetu una upumbavu gani?
Mkuu,alivyosema hayo,nikagundua yalipo anzia matatizo aliyo nayo.Huna hiyo 1.
Una diiiv three makongo secondary.
Na gpa ya .... Ruco university.
Hii spinning yako ni ya kitoto......umeandika ushabiki tuJirani anatapa tapa!!
Baada ya kujenga Bandari ya Lamu akitegemea kulikamata soko la Afrika Mashariki huku akitarajia kuiwekea gati zaidi ya 30 ambazo zitaendeshwa na sekta binafsi, huku akiimarisha bandari ya Mombasa na kuweka mipango kujenga SGR kuja Tanzania na SGR nyingine kwenda Congo ili kuzimaliza kabisa bandari za Tanzania sasa amekosa raha baaada ya kusikia Tanzania ameamka na anaboresha bandari zake kwa kiwango cha kimataifa.
Ikumbukwe jirani huyu alikuwa akifadika sana na ukiritimba uliokuwepo katika bandari za Tanzania uliofanya mizigo ichelewe kutoka na meli kuchelewa kushusha bandari jambo lililopelekea wateja wengi kukimbilia katika Bandari yake ya Mombasa!!
Taarifa zaidi zinasema jirani huyu ambaye kwa muda mrefu amekuwa akitumia mwanya wa siasa za Tanzania kupenyeza propaganda kii telejensia ili kufelisha mipango kabambe ya kiuchumi ya Tanzania ikiwemo ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Mji wa kisasa kigamboni, uwekezaji wa treni ya abiria katika jiji la Dar es Salaam ili aendelee kutawala Afrika Mashariki kiuchumi sasa anatapatapa baada ya majasusi wa Tanzania kufanikiwa kukwamisha jitihada zake za kukwamisha makubaliano baina ya Dubai na Tanzania kuhusu Bandari na mkataba husika kupitishwa na Bunge la Tanzania.
Taarifa zaidi zinadai kuwa, Jirani sasa amewekeza sana katika chama fulani cha siasa ambacho kwa muda amekuwa akikifadhili na kuwafadhili wanasiasa na wanachama wake ikiwemo kimatibabu na hata kuwatoroshea kwake pale walipokumbwa na shida nchini Tanzania katika kuhakikisha kinafanya maandamano nchini Tanzania na kuleta pressure kwa wananchi ili serikali ya Tanzania isitekeleze makubaliano na kuingia rasmi mkataba na kampuni ya Dp World ili kuendeleza Bandari zake kwa kuwa anajua endapo Tanzania itafanikiwa kuingia makubaliano na DP World basi ndo itakuwa mwisho wa Bandari zake za Mombasa na Lamu
Hongereni TISS kwa kufanikiwa kuzima hili jaribio la nchi jirani. Sasa mko vizuri katika ujasusi wa kiuchumi.
kusogeza threadKama sio kweli kwa nini umereply sasa?
Usituambukize ujinga.Jirani anatapa tapa!!
Baada ya kujenga Bandari ya Lamu akitegemea kulikamata soko la Afrika Mashariki huku akitarajia kuiwekea gati zaidi ya 30 ambazo zitaendeshwa na sekta binafsi, huku akiimarisha bandari ya Mombasa na kuweka mipango kujenga SGR kuja Tanzania na SGR nyingine kwenda Congo ili kuzimaliza kabisa bandari za Tanzania sasa amekosa raha baaada ya kusikia Tanzania ameamka na anaboresha bandari zake kwa kiwango cha kimataifa.
Ikumbukwe jirani huyu alikuwa akifadika sana na ukiritimba uliokuwepo katika bandari za Tanzania uliofanya mizigo ichelewe kutoka na meli kuchelewa kushusha bandari jambo lililopelekea wateja wengi kukimbilia katika Bandari yake ya Mombasa!!
Taarifa zaidi zinasema jirani huyu ambaye kwa muda mrefu amekuwa akitumia mwanya wa siasa za Tanzania kupenyeza propaganda kii telejensia ili kufelisha mipango kabambe ya kiuchumi ya Tanzania ikiwemo ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Mji wa kisasa kigamboni, uwekezaji wa treni ya abiria katika jiji la Dar es Salaam ili aendelee kutawala Afrika Mashariki kiuchumi sasa anatapatapa baada ya majasusi wa Tanzania kufanikiwa kukwamisha jitihada zake za kukwamisha makubaliano baina ya Dubai na Tanzania kuhusu Bandari na mkataba husika kupitishwa na Bunge la Tanzania.
Taarifa zaidi zinadai kuwa, Jirani sasa amewekeza sana katika chama fulani cha siasa ambacho kwa muda amekuwa akikifadhili na kuwafadhili wanasiasa na wanachama wake ikiwemo kimatibabu na hata kuwatoroshea kwake pale walipokumbwa na shida nchini Tanzania katika kuhakikisha kinafanya maandamano nchini Tanzania na kuleta pressure kwa wananchi ili serikali ya Tanzania isitekeleze makubaliano na kuingia rasmi mkataba na kampuni ya Dp World ili kuendeleza Bandari zake kwa kuwa anajua endapo Tanzania itafanikiwa kuingia makubaliano na DP World basi ndo itakuwa mwisho wa Bandari zake za Mombasa na Lamu
Hongereni TISS kwa kufanikiwa kuzima hili jaribio la nchi jirani. Sasa mko vizuri katika ujasusi wa kiuchumi.
Hakuna propaganda. Huu ni ukweliumejaribu kuelewesha hadi haulewi,hizi tunaita propaganda nyeusi.
Endelea kukwama kwenye mitego ya majiraniUsituambukize ujinga.
Tanzania Si wajinga.
Sio spinning hii. Huu ni ukweliHii spinning yako ni ya kitoto......umeandika ushabiki tu
Endelea kuwa wa mwisho kuamini hivyonitakuwa wa mwisho kuamini kwamba rais samia et anaipenda sanza tanganyika kuliko zanzibar. maana mkataba ungekuwa mzuri lazma angeanza na bandari za zanzibar
Propaganda za kitoto. Tukajipange upya Komredi. Inabidi tufanya propaganda za kisomi wapinzani wasije wakatudharau. Hii unakumbuka nilikataa mapema kuwa ni propaganda haina mashiko siku ile tunaelekezwa? Sasa wewe umepost bila hata kutushirikisha wenzio tushauriane na tujue namna ya kukusupport. Usiwe na haraka sana komredi watanzania wa sasa si kama wa zamani.Jirani anatapa tapa!!
Baada ya kujenga Bandari ya Lamu akitegemea kulikamata soko la Afrika Mashariki huku akitarajia kuiwekea gati zaidi ya 30 ambazo zitaendeshwa na sekta binafsi, huku akiimarisha bandari ya Mombasa na kuweka mipango kujenga SGR kuja Tanzania na SGR nyingine kwenda Congo ili kuzimaliza kabisa bandari za Tanzania sasa amekosa raha baaada ya kusikia Tanzania ameamka na anaboresha bandari zake kwa kiwango cha kimataifa.
Ikumbukwe jirani huyu alikuwa akifadika sana na ukiritimba uliokuwepo katika bandari za Tanzania uliofanya mizigo ichelewe kutoka na meli kuchelewa kushusha bandari jambo lililopelekea wateja wengi kukimbilia katika Bandari yake ya Mombasa!!
Taarifa zaidi zinasema jirani huyu ambaye kwa muda mrefu amekuwa akitumia mwanya wa siasa za Tanzania kupenyeza propaganda kii telejensia ili kufelisha mipango kabambe ya kiuchumi ya Tanzania ikiwemo ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Mji wa kisasa kigamboni, uwekezaji wa treni ya abiria katika jiji la Dar es Salaam ili aendelee kutawala Afrika Mashariki kiuchumi sasa anatapatapa baada ya majasusi wa Tanzania kufanikiwa kukwamisha jitihada zake za kukwamisha makubaliano baina ya Dubai na Tanzania kuhusu Bandari na mkataba husika kupitishwa na Bunge la Tanzania.
Taarifa zaidi zinadai kuwa, Jirani sasa amewekeza sana katika chama fulani cha siasa ambacho kwa muda amekuwa akikifadhili na kuwafadhili wanasiasa na wanachama wake ikiwemo kimatibabu na hata kuwatoroshea kwake pale walipokumbwa na shida nchini Tanzania katika kuhakikisha kinafanya maandamano nchini Tanzania na kuleta pressure kwa wananchi ili serikali ya Tanzania isitekeleze makubaliano na kuingia rasmi mkataba na kampuni ya Dp World ili kuendeleza Bandari zake kwa kuwa anajua endapo Tanzania itafanikiwa kuingia makubaliano na DP World basi ndo itakuwa mwisho wa Bandari zake za Mombasa na Lamu
Hongereni TISS kwa kufanikiwa kuzima hili jaribio la nchi jirani. Sasa mko vizuri katika ujasusi wa kiuchumi.
Hakunaga propaganda mkuu. Nipo humu siku nyingi. Mimi sio mtu wa propagandaPropaganda za kitoto. Tukajipange upya Komredi. Inabidi tufanya propaganda za kisomi wapinzani wasije wakatudharau. Hii unakumbuka nilikataa mapema kuwa ni propaganda haina mashiko siku ile tunaelekezwa? Sasa wewe umepost bila hata kutushirikisha wenzio tushauriane na tujue namna ya kukusupport. Usiwe na haraka sana komredi watanzania wa sasa si kama wa zamani.
kama mkataba ni mzuri kwa nini zanzibar haimo? pelekeni ujinga wenu hukoHakunaga propaganda mkuu. Nipo humu siku nyingi. Mimi sio mtu wa propaganda
Bandari za Zanzibar ziboreshwe kupeleka mizigo wapi?kama mkataba ni mzuri kwa nini zanzibar haimo? pelekeni ujinga wenu huko