Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
Zwazwa mama yakoUmewahi kusikia nchi iliyouza bandari yake? Kwanza nani ananunu bandari? We kweli zwazwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zwazwa mama yakoUmewahi kusikia nchi iliyouza bandari yake? Kwanza nani ananunu bandari? We kweli zwazwa
Hilo. Sahihi
Swali ni hili.
Jirani naye ameuza bandari kwa Waarabu au anaiendesha mwenyewe kwa tija?
Umewaeleza vizuri, huku kuna makundi mawili kuna kundi halitakubali kuelewa makusudi kwa sababu zao, wengine wanaburuzwa tu ila walaumu uvivu wao wa kutotaka kujishughulisha kutafuta ukweli. Vile vile wajue kuna sheria inayoongoza nchi yetu, shida watu ni wavivu ndio maana ni watupu kichwani. Sheria inasema TPA itasimamia bandari za Tanzania bara tu, bandari za Zanzibar zitasimamiwa na taasisi yao, hata hivyo tumeambiwa Zanzibar tayari imeshakodisha bandari yake kwa DP World wanataja Zanzibar ipi tena? Kweli kuna watu ndio maana walifeli shule pamoja na viboko vyote waliyochapwa. Kila kitu kinafanywa kwa mujibu wa sheria. Kwa mfano Zanzibar ina mamlaka yake ya ukusanyaji kodi ZRA, sisi tuna TRA.1. Haya makubaliano ya sasa yanaitwa IGA, suala la ukomo wa muda yatawekwa kwenye HGA
2. Nani kakwambia mkatab hauvunjwi? Mkataba una kipengele cha Disputes Settlement unasemaje hauvunjwi?
3. Bandari za Zanzibar zishushe zinashusha mzigo kupeleka nchi gani? Ziko strategic kiuchumi kwa Tanzania?
.
4. Hii ni propaganda mfu. Viongozi wote ni watanzania. Kwa nini kwenye kumalizia ujenzi wa miradi ya kitaifa huulizi kama ni Wazanzibar?
Scramble for Africa loading........Muarabu anataka bandari zote za ukanda wa mashariki ya Afrika kuanzia Djibout, Somalia, Kenya, Tanzania, Msumbiji.
..
Mlaumu mamako kutomvalisha babako kuzuia mimba ya zuzu lisilo na faida na nchi yetu. Kenge jingaZwazwa mama yako
mimi nimeandika, sijatukana. Wewe umeona unitukane kwa maoni yangu.Umewahi kusikia nchi iliyouza bandari yake? Kwanza nani ananunu bandari? We kweli zwazwa
Bao alilopiga baba yako siku anambandua mamako bora angepiga nyeto tu.Mlaumu mamako kutomvalisha babako kuzuia mimba ya zuzu lisilo na faida na nchi yetu. Kenge jinga
Iko wapi?Ushalamba bahasha ya kaki
Umewaeleza vizuri, huku kuna makundi mawili kuna kundi halitakubali kuelewa makusudi kwa sababu zao, wengine wanaburuzwa tu ila walaumu uvivu wao wa kutotaka kujishughulisha kutafuta ukweli. Vile vile wajue kuna sheria inayoongoza nchi yetu, shida watu ni wavivu ndio maana ni watupu kichwani. Sheria inasema TPA itasimamia bandari za Tanzania bara tu, bandari za Zanzibar zitasimamiwa na taasisi yao, hata hivyo tumeambiwa Zanzibar tayari imeshakodisha bandari yake kwa DP World wanataja Zanzibar ipi tena? Kweli kuna watu ndio maana walifeli shule pamoja na viboko vyote waliyochapwa. Kila kitu kinafanywa kwa mujibu wa sheria. Kwa mfano Zanzibar ina mamlaka yake ya ukusanyaji kodi ZRA, sisi tuna TRA.
Tuliza kijambio wewemwendawazimu we kima
Epa inahusiana na Tanesco? Una elimu gani? Na umezaliwa lini?Epa ilidondoka mbinguni.
Sio fungu lililotokana na mkataba wa Tanesco na wauza umeme
🤣🤣kijana tulia.w
we ni wale wenye roho za kibaguzi, ila hutafanikiwa ktkt nchi yetu
Kwa iyo anavyoendesha Bandari ya Southampton ile ni scramble for Europe?Scramble for Africa loading......
Amekuingiliaje? Ndo wakenya wamekufundisha kusema ivyo?..kama Zanzibar ina mamlaka yake ya bandari, kwanini Makame Mbarawa anatuingilia ktk uendeshaji wa bandari za Tanganyika?
Sio mjinga tu bali ni chakula na poyoyo wahediMwenyekiti wa wajinga wa jamiiforum umerudi na UJINGA wako tena
Wakala wa Wakenya kaziniSio mjinga tu bali ni chakula na poyoyo wahedi
Amekuingiliaje? Ndo wakenya wamekufundisha kusema ivyo?
Kumbe una shida na Wazanzibari sio?..Prof hakupaswa kuteuliwa kuwa waziri wa ujenzi na uchukuzi.
..wizara hiyo sio ya muungano, ni wizara inayohusu mambo yetu Watanganyika.
..kosa hilo alilifanya Magufuli, na sasa Samia amelirudia.
..Wazanzibar wanapaswa kuteuliwa ktk wizara za muungano kama Fedha, Mambo ya Nje, Mambo ya Ndani.
..kuna wanaidai bandari ni suala la muungano lakini wanasahau kwamba Zanzibar ilikataa bandari zake kuwa chini ya muungano na kuunda mamlaka yao ya bandari. Pia sheria ya kuunda TPA imeelekeza kuwa ni ya Tanganyika peke yake.
Kumbe una shida na Wazanzibari sio?
Kama shida yako ni uzanzibari Je una tofauti na makabulu?
Nani anabaguliwa? Mimi mmatengo wa Ruvuma nabaguliwaje?..Sina shida na Wazanzibari.
..Nilichosisitiza mimi ni Katiba na Sheria zetu zilindwe.
..Makubaliano ya muungano yaheshimiwe.
..Tatizo lenu mkishindwa hoja mnakijificha kwenye kudai mnabaguliwa.