Kwa mara ya kwanza, Jaribio la nchi jirani lakwama Tanzania

Lord denning umejitahidi, shida ni uwazi na elimu kwa umma.Tulisha nga'atwa na nyoka
 
unaona msivyo na akili. ko bandari zote za tanganyika apewe mwarabu ila zanzibar haimo. mimi nafikiri mwarabu apewe za zanzibar kwa sababu ndo kuna waarabu wenzake
Amepewaje? Kifungu kipi cha mkataba kinasema hivyo?
 
Umeandika kikuda na Kwa shobo kali
 
Mkuu, kama ungelizijibu hoja za tunaopinga mkataba huu usioeleweka, ingekuwa ni elimu nzuri sana kwa kwetu na kwa watanzania wote.
Usitumie nguvu nyingi sana kufikiri wala akili kubwa, fikiria tu kawaida.
Na kama upo na maslahi fulani kwa uuzaji huu wa bandari, kamwe huwezi kuwa na utetezi kwa yeyote atakayepata madhara hata kama atakuwa ni mtanzania mwenzako.
n
 
Uzi wa jumapili huu. Chakata mwenyewe akili yako
 
TISS ndo walikubali kipengele cha bandari kuchukuliwa milele pasina nafasi ya nchi yetu kuterminate mkataba hata tusiporidhishwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…