Nasema Uongo Ndugu Zangu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 279
- 779
Ndiyo mkuu, kuna miaka sherehe hazikufanyika lakini Rais anakuwa nchini, mwaka huu Rais hayupo Tanzania wala hayupo Africa.Una uhakika?
Ohoooo, unaweza tafuta kulamba asali ukaishia kulambwa.Eti wanalamba asali
Wanasema anahamasisha utalii kumbe yeye ndiye mtalii.
Kama ni wa historia mbona upo jukwaa la siasaKwa mara yakwanza katika historia, tarehe 26/04/2022 Tanzania ina adhimisha miaka 58 ya muungano huku mkuu wa nchi akiwa nchini Marekani.
Haijawahi kutokea kabla, mama anaandika historia nyingine.
Uzi huu hauhusiani na nyuzi nyingine, huu ni uzi wa kumbukumbu ya kihistoria.
Heri ya Leo kuliko ya janaNadhani hatukuwa na shukrani.
Mungu kaamua kutuadhibu.
TUVUMILIE tu hadi 2025.
Kwenye hili Samia kaonesha dharau kubwa kwa wananchi.Ni mshamba, wacha ashangaeshangae huko mbele !
Hivi siku hiyo mambo ya taarifa hayakuwepo? Tundu Lisu anaweza kusimama bungeni peke yake kama mpinzani na upande wa pili ukapigwa KOHakujawahi kuwa na muungano.
View attachment 2201028
[emoji28][emoji28]Wanasema anahamasisha utalii kumbe yeye ndiye mtalii.
Unamaanisha nini kusema hivi? Kwani sisi ndiyo tulimpendekeza awe Makamu wa Rais mwaka 2015? Au sisi ndiyo tulio vuruga mchakato wa uchaguzi wa 2020? Au sisi ndiyo tulio sababisha kifo cha Mtangulizi wake mwaka wa jana 2021?Nadhani hatukuwa na shukrani.
Mungu kaamua kutuadhibu.
TUVUMILIE tu hadi 2025.
Tuliposherekea Marais wakiwa ndani kiliongezeka nini!?Hili neno anaupiga mwingi huwa limekaa katika tafasri mbili nashangaa huwa linatamkwa tamkwa tu kila mara na yeye anachekelea
Maana ya kwanza
-ni kuwa anaujanja ujanja wa ajabu ajabu ambao anatupelekanao kombo