Kwa Mara ya Kwanza Katika Historia ya Tanzania, Sekta ya Kilimo Imeongiza kwa Kushika namba Moja Kuchangia Zaidi Ukuaji wa Uchumi (GDP)

Kwa Mara ya Kwanza Katika Historia ya Tanzania, Sekta ya Kilimo Imeongiza kwa Kushika namba Moja Kuchangia Zaidi Ukuaji wa Uchumi (GDP)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Kwa mujibunwa taarifa ya Uchambuzi wa Uchumi kutoka BoT,Kwa mara ya kwanza katika historia ya ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ,sekta ya Kimo imeshika namba 1 na Kuongoza kama sekta kuu na Kiongozi wa kuchangia ukuaji mkubwa wa Uchumi wa Nchi (GDP) Kwa takribani asilimia 16% ikifuatiwa na sekta ya Utalii.

Hii ni historia pekee ambayo imewekwa na Rais Samia,hakuna Rais mwingine amewahi weka hii rekodi kabla yake.Pia soma Miaka 3 ya Rais Samia, Mageuzi ya Kilimo cha Korosho yaleta neema. Uzalishaji waongezeka mara 2, Wakulima wavuna Trilioni 1.1, haijawahi tokea

Ikumbukwe Rais Samia amekuwa akiwekeza Kwa Nguvu kubwa kwenye sekta ya Kilimo Ili kuwainua kimaisha mabilioni ya Watanzania ambao wako kwenye sekta hiyo.๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://x.com/TanzaniaInvest/status/1891390754259456371?t=TtXhITWFk_q-Pq6--zLAmA&s=19
Screenshot_20250217-114131.jpg



My Take
Nampa kongole nyingi sana Rais Samia Kwa kuonesha utofauti kwamba kumbe inawezekana Kilimo kuwa uti wa mgongo wa Nchi Kwa vitendo.๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DGIZGy0IPyA/?igsh=MWcwNDBneTltcHJsdw==
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ,sekta ya Kimo imeshika namba 1 na Kuongoza kama sekta kuu na Kiongozi wa kuchangia ukuaji mkubwa wa Uchumi wa Nchi (GDP) Kwa takribani asilimia 16% ikifuatiwa na sekta ya Utalii.

Hii ni historia pekee ambayo imewekwa na Rais Samia,hakuna Rais mwingine amewahi weka hii rekodi kabla yake.

Ikumbukwe Rais Samia amekuwa akiwekeza Kwa Nguvu kubwa kwenye sekta ya Kilimo Ili kuwainua kimaisha mabilioni ya Watanzania ambao wako kwenye sekta hiyo.๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://x.com/TanzaniaInvest/status/1891390754259456371?t=TtXhITWFk_q-Pq6--zLAmA&s=19View attachment 3239042


My Take
Nampa kongole nyingi sana Rais Samia Kwa kuonesha utofauti kwamba kumbe inawezekana Kilimo kuwa uti wa mgongo wa Nchi Kwa vitendo.๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DGIZGy0IPyA/?igsh=MWcwNDBneTltcHJsdw==

Bandiko lingine wanasema utalii ndiyo imengiza pato kubwa, wewe unasema kilimo. Kama sio propaganda ni kitu gani sasa.
 
Hongera sana Msomali
Bila utashi wa Kisiasa wa Rais Samia wa.kuamua kuwasaidia mabilioni ya watu walioko sekta ya kilimo kuwekeza pesa,msomali asingefanya lolote la maana.

Ikumbukwe sekta ya Kilimo.imekuwa ikipiizwa sana na awamu zingine ila mama amefanya kweli.

Mwezi wa6 anapovunja Bunge ana maelfu ya sababu za kuhesabu mafanikio.kila sekta.
 
Tanzania haijapitiwa na jangwa kama zilivyo nchi nyingi Africa kwa hiyo ilipaswa itengeneze hela zaid hiyo
Kwa nini haikutengeneza hizo.pesa miaka ya zamani?

Mbona wenye majangwa wanaongoza Kwa Utalii mfano Nchi zote za North Afrika plus South Africa?
 
Kwa mujibunwa taarifa ya Uchambuzi wa Uchumi kutoka BoT,Kwa mara ya kwanza katika historia ya ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ,sekta ya Kimo imeshika namba 1 na Kuongoza kama sekta kuu na Kiongozi wa kuchangia ukuaji mkubwa wa Uchumi wa Nchi (GDP) Kwa takribani asilimia 16% ikifuatiwa na sekta ya Utalii.

Hii ni historia pekee ambayo imewekwa na Rais Samia,hakuna Rais mwingine amewahi weka hii rekodi kabla yake.

Ikumbukwe Rais Samia amekuwa akiwekeza Kwa Nguvu kubwa kwenye sekta ya Kilimo Ili kuwainua kimaisha mabilioni ya Watanzania ambao wako kwenye sekta hiyo.๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://x.com/TanzaniaInvest/status/1891390754259456371?t=TtXhITWFk_q-Pq6--zLAmA&s=19View attachment 3239042


My Take
Nampa kongole nyingi sana Rais Samia Kwa kuonesha utofauti kwamba kumbe inawezekana Kilimo kuwa uti wa mgongo wa Nchi Kwa vitendo.๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DGIZGy0IPyA/?igsh=MWcwNDBneTltcHJsdw==

Hongera yetu sisi wakulima ๐Ÿฅณ๐Ÿฅณ
 
Jana ilikuwa ni utalii leo kilimo. Which is which??
Utalii umeongoza kuleta fedha za kigeni yani za nje ya nchi,lakini kilimo ndio kimeongoza kuchangia Pato la serikali au uchumi kiujumla,ila si kwa pesa za nje,na hili ni kweli kwasababu kwenye utalii dola ndio hutumika zaidi wakati kwenye biashara za mazao shilingi yetu ndio hutumika zaidi
 
Kwa mujibunwa taarifa ya Uchambuzi wa Uchumi kutoka BoT,Kwa mara ya kwanza katika historia ya ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ,sekta ya Kimo imeshika namba 1 na Kuongoza kama sekta kuu na Kiongozi wa kuchangia ukuaji mkubwa wa Uchumi wa Nchi (GDP) Kwa takribani asilimia 16% ikifuatiwa na sekta ya Utalii.

Hii ni historia pekee ambayo imewekwa na Rais Samia,hakuna Rais mwingine amewahi weka hii rekodi kabla yake.

Ikumbukwe Rais Samia amekuwa akiwekeza Kwa Nguvu kubwa kwenye sekta ya Kilimo Ili kuwainua kimaisha mabilioni ya Watanzania ambao wako kwenye sekta hiyo.๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://x.com/TanzaniaInvest/status/1891390754259456371?t=TtXhITWFk_q-Pq6--zLAmA&s=19View attachment 3239042


My Take
Nampa kongole nyingi sana Rais Samia Kwa kuonesha utofauti kwamba kumbe inawezekana Kilimo kuwa uti wa mgongo wa Nchi Kwa vitendo.๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DGIZGy0IPyA/?igsh=MWcwNDBneTltcHJsdw==

Hongera sana kwa Mhe. Hessen Bashe kazi nzuri sana
 
Back
Top Bottom