Mr Spider
JF-Expert Member
- Feb 28, 2020
- 1,773
- 3,201
That's goodUtalii umeongoza kuleta fedha za kigeni yani za nje ya nchi,lakini kilimo ndio kimeongoza kuchangia Pato la serikali au uchumi kiujumla,ila si kwa pesa za nje,na hili ni kweli kwasababu kwenye utalii dola ndio hutumika zaidi wakati kwenye biashara za mazao shilingi yetu ndio hutumika zaidi