Kwa Mara ya Kwanza Katika Historia ya Tanzania, Sekta ya Kilimo Imeongiza kwa Kushika namba Moja Kuchangia Zaidi Ukuaji wa Uchumi (GDP)

Umesahau mchango wa USAID kwenye kilimo?seeikali pekee haiwezi
 
Au sio?! Kwahiyo tumepata uhuru kamili alipoingia Samia?
 
Kwahiyo akija Rais mwingine utakachofanya ni kumpondea Samia na kumpa sifa Rais mteule au!?
Inategemea kama atakuwa na akili kama za Mwendazake.

Kwani wewe umesikia wapi Samia anampondea Mwendazake? Anachofanya ni kurekebisha alimoharibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…