Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Historia imeandikwa nchini Kenya
Naam Serikali inakwenda ongozwa na Rais na Naibu Rais ambaye hakuna hata mmoja atokaye kabila kubwa kabisa la Wakikuyu
Kawaida Rais akiwa mkikuyu Naibu hutoka kabila jingina na ikitokea Rais siyo mkikuyu Naibu wake Huwa mkikuyu
Niwatakie sabato njema
Historia imeandikwa nchini Kenya
Naam Serikali inakwenda ongozwa na Rais na Naibu Rais ambaye hakuna hata mmoja atokaye kabila kubwa kabisa la Wakikuyu
Kawaida Rais akiwa mkikuyu Naibu hutoka kabila jingina na ikitokea Rais siyo mkikuyu Naibu wake Huwa mkikuyu
Niwatakie sabato njema