Kwa mara ya kwanza leo nimeona kijiwe cha kahawa cha wanawake

Niwapenda hao wanawake. Walimwambia hali halisi. Ikabidi usalama waondoe microphone.

Ila hivi ni vitu muhimu apite kwa mama ntilie, bodaboda, hata vijiwe vya wanaume.

Atajua hali halisi. Changamoto za Watanzania.
 
Mi nilishangaa kuona wanawake wanavuta bangi !
 
CCM kwa maigizo hawajambo. Hakuna ubunifu wowote hapo zaidi ya kupoteza muda tu. Tungeni igizo lingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…