sijakuelewaUnashangaa kupigana wakati umeelewa; seriously?! Si bora ungekuwa umeamulia ugomvi wakati umelewa ndo ungejishangaa!
daah acha mkuu tena nmepigana na mchizi wangu aseNi hangover tu hiyo wewe huwezi acha pombe kibwege hvyo,,hembu pata safari ya baridi akili ikukae sawa
Nimeacha rasmiAnayeacha pombe anasema basi achana na gambe bana
hahaaaUngevua nguo ingekuwajeee..?
hahaaaDuuuh
Nakwambia waacha pombe huwa hawaagi ww umepumzika mkuuNimeacha rasmi
Unajua kinaweza kuandikwa kitu ukaishia kushangaa tuhahaaa
daah nimeelewatoo much is harmful iyo harmful ndo hii iliyokutokea sasa