hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Asante" nafurahia uwepo wako hapaNjema kabisa shemeji mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante" nafurahia uwepo wako hapaNjema kabisa shemeji mkuu
Chumbani na dem wake move na kutaniana natumai atakua kafidia mudaUnaachaje pombe kizembe hivyo mkuu? Halafu ule muda uliokua unakunywa pombe utautumiaje sasa?
We kweli kichaamimi niliacha pombe baada ya kuruka kwenye boda, yaani wakati boda inaenda kasi sana mbele kulikuwa kuna kidimbwi cha maji nilivyo kiangalia kutokana na gambe iliyopo kichwani nikajua msela ananipeleka baharini bila ajizi niliruka nikaja kushtuka siku ya pili nipo hospital mkono una p.o.p na meno mawili yamevunjika, nikainua mikono juu kwa Mungu baba
Hapo ndo atakua amepotea kabisa, bora ulewe pombe kuliko kulewa "mapenzi".Chumbani na dem wake move na kutaniana natumai atakua kafidia muda
Hii chai mkuu yani mkono umevunjika , mala ukanyanyua mikono juu kwa mungumimi niliacha pombe baada ya kuruka kwenye boda, yaani wakati boda inaenda kasi sana mbele kulikuwa kuna kidimbwi cha maji nilivyo kiangalia kutokana na gambe iliyopo kichwani nikajua msela ananipeleka baharini bila ajizi niliruka nikaja kushtuka siku ya pili nipo hospital mkono una p.o.p na meno mawili yamevunjika, nikainua mikono juu kwa Mungu baba
Asante mkuu tutaonana jukwa letu kuleAsante" nafurahia uwepo wako hapa
Huo uanachama wa balimi umeuanza lini tena? Wewe si tulishakuaga na tukahakikisha umeingia chama cha wanywa soda?[emoji848]Hongera kijana, baadae wanachama tutakaa tujadili namna ya kukuaga angalau kila mmoja apate balimi mbili mbili, tafadhali usituangushe balimi mbili hazileweshi kabisa.
yaani maana yangu ni kwamba baada ya tukio lile nilipopona nikamrudia MUUMBA WETU nakuacha kabisa gambe, kishughulishe kichwa chako kidogo mkuu, upo GT hapaHii chai mkuu yani mkono umevunjika , mala ukanyanyua mikono juu kwa mungu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]mimi niliacha pombe baada ya kuruka kwenye boda, yaani wakati boda inaenda kasi sana mbele kulikuwa kuna kidimbwi cha maji nilivyo kiangalia kutokana na gambe iliyopo kichwani nikajua msela ananipeleka baharini bila ajizi niliruka nikaja kushtuka siku ya pili nipo hospital mkono una p.o.p na meno mawili yamevunjika, nikainua mikono juu kwa Mungu baba