Kwa Mara ya kwanza napigana kisa ulevi

Kwa Mara ya kwanza napigana kisa ulevi

Ebu jioni tukutane sehemu tupate mbili tatu ili tukiangalia jinsi gani ya kusolve issue yako
 
mimi niliacha pombe baada ya kuruka kwenye boda, yaani wakati boda inaenda kasi sana mbele kulikuwa kuna kidimbwi cha maji nilivyo kiangalia kutokana na gambe iliyopo kichwani nikajua msela ananipeleka baharini bila ajizi niliruka nikaja kushtuka siku ya pili nipo hospital mkono una p.o.p na meno mawili yamevunjika, nikainua mikono juu kwa Mungu baba
We kweli kichaa
 
mimi niliacha pombe baada ya kuruka kwenye boda, yaani wakati boda inaenda kasi sana mbele kulikuwa kuna kidimbwi cha maji nilivyo kiangalia kutokana na gambe iliyopo kichwani nikajua msela ananipeleka baharini bila ajizi niliruka nikaja kushtuka siku ya pili nipo hospital mkono una p.o.p na meno mawili yamevunjika, nikainua mikono juu kwa Mungu baba
Hii chai mkuu yani mkono umevunjika , mala ukanyanyua mikono juu kwa mungu
 
Mmoja alisema anaacha anaacha hakuacha. Majuzi watoto wakampasulia yai kajikuta kalooooooa asubuhi. Usiache bana.
 
Hongera kijana, baadae wanachama tutakaa tujadili namna ya kukuaga angalau kila mmoja apate balimi mbili mbili, tafadhali usituangushe balimi mbili hazileweshi kabisa.
Huo uanachama wa balimi umeuanza lini tena? Wewe si tulishakuaga na tukahakikisha umeingia chama cha wanywa soda?[emoji848]
 
Hii chai mkuu yani mkono umevunjika , mala ukanyanyua mikono juu kwa mungu
yaani maana yangu ni kwamba baada ya tukio lile nilipopona nikamrudia MUUMBA WETU nakuacha kabisa gambe, kishughulishe kichwa chako kidogo mkuu, upo GT hapa
 
mimi niliacha pombe baada ya kuruka kwenye boda, yaani wakati boda inaenda kasi sana mbele kulikuwa kuna kidimbwi cha maji nilivyo kiangalia kutokana na gambe iliyopo kichwani nikajua msela ananipeleka baharini bila ajizi niliruka nikaja kushtuka siku ya pili nipo hospital mkono una p.o.p na meno mawili yamevunjika, nikainua mikono juu kwa Mungu baba
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom