ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Hufai hata balozi wa nyumba 10 pale Madunga wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Silinde alitoka chuoni 2010 akagombea na akashinda mwaka ule uleHivi na nyie mnaamini kweli kuwa collage graduate anaweza pata ujasiri wa kugombea ubunge? Stop playing with keyboard mkuu🤣🤣🤣🤣
huyo si wale wa kushikwa mkono tu na kielekezwa kaa hapa, fanya vile n.k,Silinde alitoka chuoni 2010 akagombea na akashinda mwaka ule ule

Muhimu inawezekana ukatoka chuo ukashinda ubunge wapo wengi kina mkomasamali na John mnyika swala la mtu anakaa wapi sio shidahuyo si wale wa kushikwa mkono tu na kielekezwa kaa hapa, fanya vile n.k,
ni mtu mzima lakini bado anaishi kwa wazazi, hajiamini na hawezi kua committed kufikia ndoto zake bila kushikwa mkono mwenyewe hawez![]()