BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Hazina eneo la kufanyia kazi maana anga lote limefungwa na mitambo ya ulinzi wa angaIla zile drone za uturuki mbona zimepotea ghafla maana hatuzisikii tena
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Mchina ni rafiki wa kweli kwa Urusi kuliko US na vijakazi wake, Urusi yupo sehemu salama kabisa, nyie endeleeni kuhudumia wakimbizi wa Ukraine, maana hamna la kufanya, bila Putin tunge juaje kuwa hata wazungu wanaweza kuwa wakimbizi zama hizi, viva PutinMchina hana urafiki wa kudumu, yeye hufuata maslahi, kwa sasa kwa namna urusi alivyopigika ndio fursa ya Mchina kumnyofoa kila alicho nacho kimya kimaya, na ole wake Urusi ashindwe kulipa deni la Mchina.
Hahahahah Putin ametuonyesha, yeyote anaweza kuwa mkimbiziUnaambiwa Russia katengeneza mwamvuli wa ulinzi wa anga eneo lote la oparesheni. Kote ni mitambo ya kulinda anga kuanzia Pantsir, S-300, S-400, na mingine ya kutungua ballistic missiles. Ndo maana leo husikii drone zote made in Turkey zinafanya chochote siku za karibuni. Kwa kuliona hili viongozi wa USA wanasita kutuma Gray Eagles Ukraine maana ndani ya dk 10 tu za operesheni zote zitakuwa zimelamba mchanga, watoto wa Donbas wanazichezea mitaani
Mchina ni rafiki wa kweli kwa Urusi kuliko US na vijakazi wake, Urusi yupo sehemu salama kabisa, nyie endeleeni kuhudumia wakimbizi wa Ukraine, maana hamna la kufanya, bila Putin tunge juaje kuwa hata wazungu wanaweza kuwa wakimbizi zama hizi, viva Putin
Kumbe unapenda kushangilia wizi? BAsi rekebisha kidogo takwimu yako. Eneo la Ukraine ianyoshikwa sasa na jeshi la Urusi ni 20%, si 30%. Tena Donbas bado (labda 2/3 za Donbas hadi sasa), lakini kwa matatizo makubwa. Taifa Teule lina matatizo kidogo kufikia shabaha, nisipokosei.Kametushinda wakati tunafanya yetu bila tatizo lolote Donbas yote tushachukua yaani SASA hivi tushachukua asilimia 30 ya nchi alafu unasema wametushinda hivi unaakili kweli?
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Nasikia pantsir inazitandika balaaHazina eneo la kufanyia kazi maana anga lote limefungwa na mitambo ya ulinzi wa anga