Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Beba lawama,km huwezi acha.N kawaida kwa wanafk kujfanya wanaweza kujitegea kumbe ndio wa kwanza kubebesha watu lawama
Ishi umo
asingekuwa mkatili, alikuwa mtu mtendaji sana, na ninaamini miaka ya mbeleni tutamhitaji rais kama yule ila apunguze ukatili kidogo.Ninarudia kusema CCM kumpoteza Magufuli ili pata hasara ya Karne moja.
Nyegezi kulikuwa Bondeni na eneo lisilofaa leo nimekuta kifaa kama airport.
Magufuli Ulifanya kazi nzuri tutakukumbuka.
Bado ninasikia kuna stand nyingine Huku Mwanza imejengwa na Magufuli Ndio ninaelekea huko kuangalia. Nikifika Nitakujulisha niliyoyakuta ila CCM ilipoteza Rais Kwa kweli.
Tutatembelea bandari ya Mwanza, Meli alizozijenga, uwanja wa ndege wa Mwanza na mradi wa SGR Mwanza kwenda Isaka.
Mwisho nitatembelea daraja la kigongo busisi na Nitapiga picha!
Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.
Safi sana kaka .Ninarudia kusema CCM kumpoteza Magufuli ili pata hasara ya Karne moja.
Nyegezi kulikuwa Bondeni na eneo lisilofaa leo nimekuta kifaa kama airport.
Magufuli Ulifanya kazi nzuri tutakukumbuka.
Bado ninasikia kuna stand nyingine Huku Mwanza imejengwa na Magufuli Ndio ninaelekea huko kuangalia. Nikifika Nitakujulisha niliyoyakuta ila CCM ilipoteza Rais Kwa kweli.
Tutatembelea bandari ya Mwanza, Meli alizozijenga, uwanja wa ndege wa Mwanza na mradi wa SGR Mwanza kwenda Isaka.
Mwisho nitatembelea daraja la kigongo busisi na Nitapiga picha!
Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.
Uko sahihi kabisaPamoja na mapungufu yake lakini JPM alikua ni zaidi ya raisi.
Ni kweli, stendi zote mbili: Nyamhongolo na Nyegezi ni nzuri sana.Ninarudia kusema CCM kumpoteza Magufuli ili pata hasara ya Karne moja.
Nyegezi kulikuwa Bondeni na eneo lisilofaa leo nimekuta kifaa kama airport.
Magufuli Ulifanya kazi nzuri tutakukumbuka.
Bado ninasikia kuna stand nyingine Huku Mwanza imejengwa na Magufuli Ndio ninaelekea huko kuangalia. Nikifika Nitakujulisha niliyoyakuta ila CCM ilipoteza Rais Kwa kweli.
Tutatembelea bandari ya Mwanza, Meli alizozijenga, uwanja wa ndege wa Mwanza na mradi wa SGR Mwanza kwenda Isaka.
Mwisho nitatembelea daraja la kigongo busisi na Nitapiga picha!
Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.
Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Ninarudia kusema CCM kumpoteza Magufuli ili pata hasara ya Karne moja.
Nyegezi kulikuwa Bondeni na eneo lisilofaa leo nimekuta kifaa kama airport.
Magufuli Ulifanya kazi nzuri tutakukumbuka.
Bado ninasikia kuna stand nyingine Huku Mwanza imejengwa na Magufuli Ndio ninaelekea huko kuangalia. Nikifika Nitakujulisha niliyoyakuta ila CCM ilipoteza Rais Kwa kweli.
Tutatembelea bandari ya Mwanza, Meli alizozijenga, uwanja wa ndege wa Mwanza na mradi wa SGR Mwanza kwenda Isaka.
Mwisho nitatembelea daraja la kigongo busisi na Nitapiga picha!
Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.
HakikaKifo cha JPM ilikuwa hasara kubwa kuliko zote kwa nchi ya Tanganyika tangu kuumbwa kwa Ulimwengu.
Mkuu nakushauri fika na kivukoni,kigongo-busisi. Hujasema mpaka useme.
CHADEMA MADE ME TO HATE MAGUFULI,am sorry for that. NOW I HATE CHADEMA AND ALL ANTI-MAGUFULISM FROM ccm. Tulimpoteza Rais wa kweli kwa siasa mbovu na ufisadi uliokitiri.