Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Concern nzuri sana hii mkuu. Sijui ni kwanini nime-assume tu kwamba bwana mdogo atakuwa anafanya bachelor yake ya kwanza [emoji28]. This may not be the case.

Hapo kwenye competence napo una point, kwasababu ipo tofauti kubwa kati ya proper qualifications na performance [emoji2].

Umewaza kiutu uzima ingawa dogo atadhani unamchomea kunguni [emoji16].
 
Mkuu, hata hao ma-DC, ma-RC, sijui na ma-RAS hawana hiyo scale ya mshahara, labda ukijumlisha na marupurupu; ambapo wanaweza wasifikie pia hiyo amount.

Nimecheka sana kwenye aya yako ya mwisho [emoji23][emoji23]
 
Mkuu, what if baba yake alishafariki? (GOD FORBID!)

Au labda baba na mama hawako pamoja?
 
Aisee [emoji23][emoji23]
 
Hata mkuu wa mkoa hafiki hyo hela...
Sikujua kama hyo hela alisema ni salary per month
We nae ndege tai acha kumpa mawazo huyo Zwazwa kwa pesa zake za kufikirika na kutunga hapa.

Alipwe M8 yeye ni mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa?! Hata DAS na RAS hawalipwi hivyo 😂
Kachanganyikiwa huyo
 
Yani jeiefu inafurahisha sana[emoji23]. Haya twende;

[emoji117]Kwahio mleta mada kamaliza chuo mwaka jana (2022).

[emoji117]Amesota na ujobless mwaka mzima, 2023 ndo akapewa mkataba wakuanza kazi.

[emoji117]Kwa maelezo yake hio kazi ndo imempa 8 mil mpaka sasa.

[emoji117]Hio kazi ni UALIMU.

Asante.
 
Wala simchomei kunguni, huwa namtazamaga na kuona mienendo yake humu ni kama mtu asiyejitambua wala asiyejua majukumu yake. Kanapotezaga muda sana kwenye upuuziupuuzi! Kama yuko age ya kujifunza tungetegemea tuwe tunamuona kwenye nyuzi ambazo zingezidi kumuongezea maarifa na utambuzi wa mambo. Ila sio issue! Fanya nilivyokwambia utajionea..

Computers science ni fani ya kupoteza muda hovyo humu?!😳😳😳

Wote ninaowajua waliokuwa wanafanya fani za science huwaga wako busy sana na mambo yao na yenye maana! Personally I made a-lot of friends on 2000's and 90's waliokuwa kwenye fani za science kwa sababu wanajitambua hawanaga konakona na upuuzi mwingi. Na tuko intouch mpaka leo, incase of any issue concerning tech. stuffs they're super-active and straight!

Fanya uchunguzi wako... watazame vijana wanaosoma fani zingine hizi za drama na Science, utagundua tofauti kubwa sana!

ila kwa observation yangu ya muda mfupi kwa huyo dogo hapo kuna mashaka.
 
Acha kukariri maisha wewe mimi kampuni niliyopo hapa hapa bongo ukiajiriwa kama unatokea mkoa huo huo unakula Mshahara moja na kama unatoka nje ya mkoa huo unapewa Mishahara miwil ya bure nje ya mshahara wa kawaida kukusaidia kusettle sasa kama unalipwa 10m+ unategemea account itasoma ngapi? usiniulize ni wapi....
 
Pesa ulimtumia Dingi au Maza? maana sometimes mnawapendelea mamaza dingi unachukulia poa wakati amehustle kutunza familia. Inabidi kila moja apate sawa hapo ni @ 1m.
 
Aisee, kama utani umejuaje....

Nimemaliza almost 900k hapa za mama samia chini ya miezi 2.... anasa zinaponza

Nina stress hapa nawaza napigaje simu home😥
Daa jifunze kuweka akiba aisee pia tafuta Dogo anayejielewa kisha anzisha karibu na chuo hata Docks la nguo za mitumba Shati, Tshirt, na Jeans alisimamie unakuwa karibu nae na Daftari la mahesabu. ukimaliza chuo utanishukuru.
 
Kama chai hivi😂
 
Wengi wanasema ooooh nane imetoka wapi, sikilizeni nyie watu hii ni balance yangu baada ya kujaza page 2 za bank book zenye miamala,, sasa sijui mnabisha nn
 
Pesa ulimtumia Dingi au Maza? maana sometimes mnawapendelea mamaza dingi unachukulia poa wakati amehustle kutunza familia. Inabidi kila moja apate sawa hapo ni @ 1m.
Kama dingi ni mtu wa totoz je?? Wapo wazee wanahonga hadi pension mkumbuke
 
Wengi wanasema ooooh nane imetoka wapi, sikilizeni nyie watu hii ni balance yangu baada ya kujaza page 2 za bank book zenye miamala,, sasa sijui mnabisha nnView attachment 2753994
Hii kila mtu anaweza kuiweka hapa. Nikaipakua nikaandika mtandao mwingine wa kijamiii kutafuta recognition. Weka iyo 8M ilivyoingia,ulivyoitoa 2M na ulivyoituma kwa maza, akaunti weka jina lako moja mengine uyafiche na id yako na yenyewe ufanye ivyo2 tupe jina lako na contract angalau tuone jina moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…