Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Muulize kwanza yuko level gani?! Kama ni cheti achana nae katafute vijana wanaojitambua walio compentent na wanaojua wanachokifanya huko LinkedIn...

Naamini huyo dogo hata HTML haijui, unabisha panga appointment nae mpe assigment achape Code atengeneze neno "HELLO WORLD!"

Utaona vituko na Utaleta mrejeshi hapa [emoji23]
Concern nzuri sana hii mkuu. Sijui ni kwanini nime-assume tu kwamba bwana mdogo atakuwa anafanya bachelor yake ya kwanza [emoji28]. This may not be the case.

Hapo kwenye competence napo una point, kwasababu ipo tofauti kubwa kati ya proper qualifications na performance [emoji2].

Umewaza kiutu uzima ingawa dogo atadhani unamchomea kunguni [emoji16].
 
Mshahara huo ni kampuni gani na kwa fani gani na kwa elimu gani we ZWAZWA?! au wanakukula kiboga?! Okay! Hiyo ni take home, what's an exact amount mliyokubaliana na Kodi ukatwe kiasi gani ibaki 8M?!

Wacha kujipa laana! Hiyo pesa uliyoitaja hapo wanalipwa Ma-DC na Ma-RC, Ma-DAS na Ma-RAS... hata mwenye CPA na ACCIA na CPB na CPI hawalipwi pesa hizo!

Hebu fanya ulale usisahau kutandika vyema utoe mchanga kwenye hilo godoro lako
Mkuu, hata hao ma-DC, ma-RC, sijui na ma-RAS hawana hiyo scale ya mshahara, labda ukijumlisha na marupurupu; ambapo wanaweza wasifikie pia hiyo amount.

Nimecheka sana kwenye aya yako ya mwisho [emoji23][emoji23]
 
nawambia kitu hapa,,, mtt wa kiume ulie na wazaz wote,,,, ukapata chchte kitu,, jitahid sana kumjali baba ako,, jitahid sana yy ndo atampa mama ako matumiz kwa nn nasema hivyo coz baba alikuwa na mama ako na anamtunza toka ww hujazaliwa, sasa leo unaingilia kaz ya baba kumtunza mke wake, dharau sana hii, kumbuka baba ndo kakuletea mama unaemuona bora kuliko baba ako,, maana bila baba ungemuona huyo mama ako? pia ukumbuke na ww unazaa watt,, na utazeeka unavyomtenga msure hivyohvyo na ww uzeen,na ndo utakumbuķa... hakika nawambia vijana wa kiume tunazingua sana na muwe makina sana na maneno ya uchonganish ya mama kwenda kwa baba ako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, what if baba yake alishafariki? (GOD FORBID!)

Au labda baba na mama hawako pamoja?
 
Wakati mwing

Wakati mwingine hadithi kama hizi huwa zinamriwaza mtu!! unajitungia hadithi nzuri angalau ikutie moyo huku ukiomba siku moja iwe kweli!! Ila hata kama ni hadithi, ungejaribu kuipa uhalisia kidogo!! hapo kwenye M8 bongo hii umechapia sana!! Kama ni upigaji sawa!! lakini new hire??? jaribu kutunga kwa uhalisia wakati mwingine!!
Aisee [emoji23][emoji23]
 
Hata mkuu wa mkoa hafiki hyo hela...
Sikujua kama hyo hela alisema ni salary per month
We nae ndege tai acha kumpa mawazo huyo Zwazwa kwa pesa zake za kufikirika na kutunga hapa.

Alipwe M8 yeye ni mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa?! Hata DAS na RAS hawalipwi hivyo 😂
Kachanganyikiwa huyo
 
Yani jeiefu inafurahisha sana[emoji23]. Haya twende;

[emoji117]Kwahio mleta mada kamaliza chuo mwaka jana (2022).

[emoji117]Amesota na ujobless mwaka mzima, 2023 ndo akapewa mkataba wakuanza kazi.

[emoji117]Kwa maelezo yake hio kazi ndo imempa 8 mil mpaka sasa.

[emoji117]Hio kazi ni UALIMU.

Asante.
 
Wala simchomei kunguni, huwa namtazamaga na kuona mienendo yake humu ni kama mtu asiyejitambua wala asiyejua majukumu yake. Kanapotezaga muda sana kwenye upuuziupuuzi! Kama yuko age ya kujifunza tungetegemea tuwe tunamuona kwenye nyuzi ambazo zingezidi kumuongezea maarifa na utambuzi wa mambo. Ila sio issue! Fanya nilivyokwambia utajionea..

Computers science ni fani ya kupoteza muda hovyo humu?!😳😳😳

Wote ninaowajua waliokuwa wanafanya fani za science huwaga wako busy sana na mambo yao na yenye maana! Personally I made a-lot of friends on 2000's and 90's waliokuwa kwenye fani za science kwa sababu wanajitambua hawanaga konakona na upuuzi mwingi. Na tuko intouch mpaka leo, incase of any issue concerning tech. stuffs they're super-active and straight!

Fanya uchunguzi wako... watazame vijana wanaosoma fani zingine hizi za drama na Science, utagundua tofauti kubwa sana!

ila kwa observation yangu ya muda mfupi kwa huyo dogo hapo kuna mashaka.
Concern nzuri sana hii mkuu. Sijui ni kwanini nime-assume tu kwamba bwana mdogo atakuwa anafanya bachelor yake ya kwanza [emoji28]. This may not be the case.

Hapo kwenye competence napo una point, kwasababu ipo tofauti kubwa kati ya proper qualifications na performance [emoji2].

Umewaza kiutu uzima ingawa dogo atadhani unamchomea kunguni [emoji16].
 
Wakati mwing

Wakati mwingine hadithi kama hizi huwa zinamriwaza mtu!! unajitungia hadithi nzuri angalau ikutie moyo huku ukiomba siku moja iwe kweli!! Ila hata kama ni hadithi, ungejaribu kuipa uhalisia kidogo!! hapo kwenye M8 bongo hii umechapia sana!! Kama ni upigaji sawa!! lakini new hire??? jaribu kutunga kwa uhalisia wakati mwingine!!
Acha kukariri maisha wewe mimi kampuni niliyopo hapa hapa bongo ukiajiriwa kama unatokea mkoa huo huo unakula Mshahara moja na kama unatoka nje ya mkoa huo unapewa Mishahara miwil ya bure nje ya mshahara wa kawaida kukusaidia kusettle sasa kama unalipwa 10m+ unategemea account itasoma ngapi? usiniulize ni wapi....
 
Baada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.

Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.

Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.

Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.

Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.
Pesa ulimtumia Dingi au Maza? maana sometimes mnawapendelea mamaza dingi unachukulia poa wakati amehustle kutunza familia. Inabidi kila moja apate sawa hapo ni @ 1m.
 
Aisee, kama utani umejuaje....

Nimemaliza almost 900k hapa za mama samia chini ya miezi 2.... anasa zinaponza

Nina stress hapa nawaza napigaje simu home😥
Daa jifunze kuweka akiba aisee pia tafuta Dogo anayejielewa kisha anzisha karibu na chuo hata Docks la nguo za mitumba Shati, Tshirt, na Jeans alisimamie unakuwa karibu nae na Daftari la mahesabu. ukimaliza chuo utanishukuru.
 
Baada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.

Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.

Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.

Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.

Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.
Kama chai hivi😂
 
Wengi wanasema ooooh nane imetoka wapi, sikilizeni nyie watu hii ni balance yangu baada ya kujaza page 2 za bank book zenye miamala,, sasa sijui mnabisha nn
JPEG_20230919_060920_4740888194233349272.jpg
 
Pesa ulimtumia Dingi au Maza? maana sometimes mnawapendelea mamaza dingi unachukulia poa wakati amehustle kutunza familia. Inabidi kila moja apate sawa hapo ni @ 1m.
Kama dingi ni mtu wa totoz je?? Wapo wazee wanahonga hadi pension mkumbuke
 
Wengi wanasema ooooh nane imetoka wapi, sikilizeni nyie watu hii ni balance yangu baada ya kujaza page 2 za bank book zenye miamala,, sasa sijui mnabisha nnView attachment 2753994
Hii kila mtu anaweza kuiweka hapa. Nikaipakua nikaandika mtandao mwingine wa kijamiii kutafuta recognition. Weka iyo 8M ilivyoingia,ulivyoitoa 2M na ulivyoituma kwa maza, akaunti weka jina lako moja mengine uyafiche na id yako na yenyewe ufanye ivyo2 tupe jina lako na contract angalau tuone jina moja
 
Back
Top Bottom