Vp, umeanza kuhisi TANGAWIZI?Mil 8 au laki 8?
Sawa boss ntajitahidi [emoji120]Wakati mwing
Wakati mwingine hadithi kama hizi huwa zinamriwaza mtu!! unajitungia hadithi nzuri angalau ikutie moyo huku ukiomba siku moja iwe kweli!! Ila hata kama ni hadithi, ungejaribu kuipa uhalisia kidogo!! hapo kwenye M8 bongo hii umechapia sana!! Kama ni upigaji sawa!! lakini new hire??? jaribu kutunga kwa uhalisia wakati mwingine!!
Pm me too brother,, I've something crucial to talk with you right now. PleaseUsijali boss ntakupiem[emoji16]
Unafundisha IST amaUalimu
Yeye ndo amesema nitume kwenye "account ya mke wake" maneno yake hayaMzee kahangaika sana kutafuta pesa za kuwasomesha na kuwalisha ila mtoto akipata anaekumbukwa ni Mama, DUH!!
Pesa ilibid umtumie aliekuwa na majukumu yakuwatafutia pesa (baba), mama nae akipewa anashukuru.
Hii na wewe inaweza kukurudia ukipata watoto.
Vp umeshazifuta namba za NGUGI WA THIONG'O?Wakati mwing
Wakati mwingine hadithi kama hizi huwa zinamriwaza mtu!! unajitungia hadithi nzuri angalau ikutie moyo huku ukiomba siku moja iwe kweli!! Ila hata kama ni hadithi, ungejaribu kuipa uhalisia kidogo!! hapo kwenye M8 bongo hii umechapia sana!! Kama ni upigaji sawa!! lakini new hire??? jaribu kutunga kwa uhalisia wakati mwingine!!
Mungu kwanza mzee, hiyo kitu zamani sanaaUsisahau zaka na sadaka hapo tenga kama millioni 1 ..then hyo million 5 iliyobaki nunua uwanja mkubwa sana hata wa million 3 then 2 nenda nayo taratbu kwa mambo mengine
NB;USISAHAU KUJIPONGEZA KWA KUFANYA JAMBO LINALOKUPA FURAHA SANA
Aamke asije akanya kitandaniAcha kuota mchana Dogo,
Hebu na mm nishtue ni kazı gani ili nibadili muelekeo kabla vyuo havijafunga systemLeo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8
Kuwa makini usije lia na kusaga menoHebu na mm nishtue ni kazı gani ili nibadili muelekeo kabla vyuo havijafunga system
Hebu na mm nishtue ni kazı gani ili nibadili muelekeo kabla vyuo havijafunga system
Ualimu