Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ulivyo jeuri wewe utapigika sana 😁maisha yanaogopesha sana kwa sisi watoto wa kiume wakubwa😬
sijui nikimaliza chuo itakuwaje
itabidi atume tena kwa mzeeSema nini watoto wa kiume wakati mwingine tunazingua sana, kwa nini usimtumie mzee hiyo pesa ukizingatia yeye ndiye kichwa cha familia
Watoto wetu watakuja kututendea hivyohivyo tukishazeeka. Hapo ndo ujue wanaume tumeumbwa mateso
kama wewe tuNa ulivyo jeuri wewe utapigika sana 😁
Na hapa kuna mtu anaenda kupigwa na square pipe kichwaniSio kweli kirahis namna hiyo waj ndio wali wao
Duuh! Kumbe bado unasoma? Ayseemaisha yanaogopesha sana kwa sisi watoto wa kiume wakubwa😬
sijui nikimaliza chuo itakuwaje
Endelea kumaliza pesa za boom😂😂😂maisha yanaogopesha sana kwa sisi watoto wa kiume wakubwa😬
sijui nikimaliza chuo itakuwaje
Na hii ni mojawapo,Matapeli wana mbinu nyingi sana!
maisha yanaogopesha sana kwa sisi watoto wa kiume wakubwa[emoji51]
sijui nikimaliza chuo itakuwaje
Ukimwuliza tuambie ni taasisi gani hiyo na kwa nafasi ipi utaona atakavyopata kigugumizi!! Wishful thinking!!Mil 8 au laki 8?
Huyu we muache tuWewe hata chuo sijui km utamaliza, nakuonea huruma sana!!
Usijali boss ntakupiem[emoji16]