Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Atakwambia anafanya kazi yueniUkimwuliza tuambie ni taasisi gani hiyo na kwa nafasi ipi utaona atakavyopata kigugumizi!! Wishful thinking!!
Aisee, kama utani umejuaje....Endelea kumaliza pesa za boom😂😂😂
Huyu we muache tu
Hiyo minywele kwenye avatar unavuta na mibangi?Aisee, kama utani umejuaje....
Nimemaliza almost 900k hapa za mama samia chini ya miezi 2.... anasa zinaponza
Nina stress hapa nawaza napigaje simu home😥
maneno makali haya dadaWewe hata chuo sijui km utamaliza, nakuonea huruma sana!!
Unataka umfundishe ulevi kama wako! Acha kuharibu vijana wanaojitafuta. Ulevi na maisha ya kuhustle haviendaniKo umebaki na 6million cash? Emu ni piem kuna maelekezo muhimu nataka kukupa [emoji4][emoji4]
Uwanja wa milion tatu mkubwa utapata wapi Muda huu labda nnje ya mji kwa km 70 Hadi 60 uatapata uwanja ila siyo mkubwa wa Sana kwa million tatu utapata kibaha kongowe 20 kwa 20Usisahau zaka na sadaka hapo tenga kama millioni 1 ..then hyo million 5 iliyobaki nunua uwanja mkubwa sana hata wa million 3 then 2 nenda nayo taratbu kwa mambo mengine
NB;USISAHAU KUJIPONGEZA KWA KUFANYA JAMBO LINALOKUPA FURAHA SANA
Kuna harufu ya mchaichai na mdarasiniVp, umeanza kuhisi TANGAWIZI?
Hilo buku ukilipata watumie Simba Sc wakupe milioni moja mdogo wanguUkipewa nifanyie buku mwanang
Ameyazidisha mno mamchaichai na tulimwambia wengine hatutumiiKuna harufu ya mchaichai na mdarasini
Daaah, kweli bana.Baada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.
Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.
Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.
Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.
Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.
Unavyojibu kiustaarabu utadhani ni kweli kumbe uzi wa kutungaSawa boss[emoji4][emoji120]