Kwa mara ya kwanza nimepokea hela kutoka YouTube/Adsense

Kwa mara ya kwanza nimepokea hela kutoka YouTube/Adsense

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
21,600
Reaction score
35,158
Mara ya mwisho nilishare kwamba nimekua monetized kwenye chaneli yangu ya youtube ilikuwa mwezi wa kwanza kama sio wa pili.

Tokea mwezi wa pili nilipokuwa monetized mpaka kufikia mwezi wa saba ndio nilifanikiwa kufikisha 100USD ili kuweza kulipwa.

Mwezi huu ndio nimetumiwa hela baada ya kuweka details za account yangu ya benki.

Kwa kifupi nimetumia miezi kama 5 hivi mpaka kufikia mwezi May nilipofikisha 100usd kwa mara ya kwanza baada ya kuwa monetized kwenye chanel yangu ya YouTube.

NB: 1. Baada ya kutumwa ilitumia siku moja ku reflect kwenye account ya benki.

NB 2. Hii ela nimepanga kuagiza mic standard na kutengeneza custom email kwa ajili kuwasiliana na wateja!

NB 3. Kama una swali uliza hapa hapa kwa ajili ya manufaa ya wengine, NO PM!

NB 4: Jina la chaneli sinto share kwa ajili ya kumaintain "anonymity" hapa JF.

View attachment 2333318

View attachment 2333319

UPDATE:

1. Mwezi wa 12 mwaka 2022, yaani miezi 4 tangu nimepokea malipo ya kwanza, nimepokea malipo mengine!

2. 23/3/2024 nimepokea malipo
 
Mkuu kongore nipe n mm maujuzi niweze kuinua iki kichannel changu
1. Pambana katika kutengeneza quality content hata kama utateneneza video 1 kwa mwezi komaa iwe bora. Ni bora utengeneze video moja kwa mwezi ambayo ni quality kuliko kutengeneza video 30 kwa mwezi ambazo ni sub standard!

2. Pambana uwe na thumbnail na title nzuri inayovutia.

3. Hakikisha unatengeneza video zinazo vutia ma zenye retention rate kubwa (Refer point 1 hapo juu).

4. Acha kuomba watu waangalie video zako jukumu la kutafuta viewers ni la youtube na google sio lako kama ukizingatia point 1, 2 na 3 hapo juu.
 
1. Pambana katika kutengeneza quality content hata kama utateneneza video 1 kwa mwezi komaa iwe bora. Ni bora utengeneze video moja kwa mwezi ambayo ni quality kuliko kutengeneza video 30 kwa mwezi ambazo ni sub standard!
2. Pambana uwe na thumbnail na title nzuri inayo vutia.
3. Hakikisha unatengeneza video zinazo vutia ma zenye retention rate kubwa (Refer point 1 hapo juu).
4. Acha kuomba watu waangalie video zako jukumu la kutafuta viewers ni la youtube na google sio lako kama ukizingatia point 1, 2 na 3 hapo juu.
True
 
Back
Top Bottom