Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
- Thread starter
- #41
Mimi ndio nnayo tumia kuanzia video mpaka voice recording. Na kwa voice baada ya kuirekodi kwa simu nai edit kwa kutumia audacity!Naweza kuanza kushoot kwa kamera ya simu?
Kwa kifupi inategemea na aina ya simu.
NB: Natumia Samsung.