Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Hongera sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii unatengenezaje na kwa program hipi nzuri maana mm nilikuwa najiuliza unafanyaje msaada mkuuPicha inayoonekana kwenye video yako watu wakiwa wana search kwenye youtube.
NashukuruHongera sana
Hizi ndio software unazowezA tumiaHii unatengenezaje na kwa program hipi nzuri maana mm nilikuwa najiuliza unafanyaje msaada mkuu
Ingia google search hayo maneno utapa link zake.Mkuu unaweza Weka link za iyo software
Hivi sheria ya mtandao (kulipa TOZO 1,500,000/-) bado inafanya kazi? Ilinirudisha nyuma hii kuogopa jela.Ingia google search hayo maneno utapa link zake.
Unasemea sheria ya kumiliki youtube channels?Hivi sheria ya mtandao (kulipa TOZO 1,500,000/-) bado inafanya kazi? Ilinirudisha nyuma hii kuogopa jela.
Ndio mkuu, nakumbuka kifungo cha miaka kadhaa ama faini 5m. Vipi, bado ipo hii sheria?Unasemea sheria ya kumiliki youtube channels?
Hakuna jambo rahisi. Dola mia 6month.
Upo sawa boss, ila uhalisia unabaki pale pale. Hakuna kazi raisi. Ugumu, uhitajikaji na risk ndo inapelekea kupata kikubwa au kodogo. Pambana mkuu.Tunaloose focus sababu ya vitu vidogo.
Huo ni mwanzo, Anaweza kumake zaidi as time goes.
Nianzaga kufanya kazi upwork 2006 na kazi yangu ya kwanza nililipwa $3 tu. Unfortunately utoto ulikuwa mwingi sikuendelea. Lakini huenda ningekuwa mbali sana saiv.
Mimi mwenyewe naanzisha Youtube channel soon.
Nimeshaagiza Go Pro Hero 9 na strap yake ya kuvaa kichwani.
Youtube Channel itakuwa kwa Kiingereza while Tiktok ndio nitakuwa napost content za kiswahili.
Sheria hii ipo ila kwa sasa nadhani wamepunguza gharama za malipo, tembelea website ya tcra utapata muongozo.. gharama ya kusajili kwa sasa nadhani ni around 50k to 200k kama sikosei!Ndio mkuu, nakumbuka kifungo cha miaka kadhaa ama faini 5m. Vipi, bado ipo hii sheria?
canva.comMkuu iyo canva ukisearch googl zinakuja nyingi naomba picha yake
Kwani mkuu kuna mtu kasema youtube ni kazi rahisi? From my experience youtube ni moja kati ya kazi ngumu nilizo wahi fanya.Upo sawa boss, ila uhalisia unabaki pale pale. Hakuna kazi raisi. Ugumu, uhitajikaji na risk ndo inapelekea kupata kikubwa au kodogo. Pambana mkuu.
Ni angalizo tu maana kuna wale insparational speakers wa anza na mtaji wa bundle la elfu na simu baada ya mwezi una milioni.Kwani mkuu kuna mtu kasema youtube ni kazi rahisi? From my experience youtube ni moja kati ya kazi ngumu nilizo wahi fanya.
Sawa sawa!Ni angalizo tu maana kuna wale insparational speakers wa anza na mtaji wa bundle la elfu na simu baada ya mwezi una milioni.
Naweza kuanza kushoot kwa kamera ya simu?Sawa sawa!
Si umeona hapo (reused content) weka video original usichukue za chanel nyingineNafeli wapi? View attachment 2350306