Pierreeppah
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 1,563
- 1,982
Nashukuru kwa elimu. Naomba mwongozo namna ya kufungua YouTube account. Nina kitu fulani kitawavutia wengi kutazama1. Pambana katika kutengeneza quality content hata kama utateneneza video 1 kwa mwezi komaa iwe bora. Ni bora utengeneze video moja kwa mwezi ambayo ni quality kuliko kutengeneza video 30 kwa mwezi ambazo ni sub standard!
2. Pambana uwe na thumbnail na title nzuri inayovutia.
3. Hakikisha unatengeneza video zinazo vutia ma zenye retention rate kubwa (Refer point 1 hapo juu).
4. Acha kuomba watu waangalie video zako jukumu la kutafuta viewers ni la youtube na google sio lako kama ukizingatia point 1, 2 na 3 hapo juu.
Kama una gmail account you are done. Hamna kitu kigumu!Nashukuru kwa elimu. Naomba mwongozo namna ya kufungua YouTube account. Nina kitu fulani kitawavutia wengi kutazama
Pamoja mkuuHongera mwana.
"Ninge"I had a YouTube channel ilikuwa Inaenda fresh kabisa maana stage za awali nilishavuka ilibaki monetization tu ila mambo yakawa mengi nikaitelekeza
Ilikuwa ni mwaka 2017 kama ningeendelea hadi leo ningekua mbali
Kwa bongo sijui aiseeHivi kati ya you Tube Channel na blog ipi inalipa zaidi kwa hapa Bongo?
Youtube.Hivi kati ya you Tube Channel na blog ipi inalipa zaidi kwa hapa Bongo?
Ni wabongo wangapi wanapenda kusoma? Kusoma sio jadi yetu.Hivi kati ya you Tube Channel na blog ipi inalipa zaidi kwa hapa Bongo?
Unachosema ni kweli tunapenda kutazama au kusikiliza ukiweza kupangilia maneno Yako YouTube umetusua kwa kiasi fulaniNi wabongo wangapi wanapenda kusoma? Kusoma sio jadi yetu.
Ila kwa blog nje nchi za nje unaweza kutoboa in case kiingereza kikitumika?Ni wabongo wangapi wanapenda kusoma? Kusoma sio jadi yetu.
Kweli ila si unajua bongo creativity kwenye post za kingereza na kushindana na watu wa nje kwetu wengi ni mtihani niliona video Moja YouTube ya mbongo alikuwa anaelezea miji mbali mbali ila kwa kingereza iyo video ilikuwa imetazamwa na watu 17k ila ilingiza USD 400+ iyo hakupungua DK 10 watu walioangalia USA na watu ulayaIla kwa blog nje nchi za nje unaweza kutoboa in case kiingereza kikitumika?
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Yes lakini sio kiingereza tu. Kuna kitu kinaitwa SEO lazima ukijue.Ila kwa blog nje nchi za nje unaweza kutoboa in case kiingereza kikitumika?
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Funika bovu ila ngumu ku win sokoVipi kuhusu App
1. Uwe na watch hour 4000 ndani ya mwaka mmoja.Nafanyaje kuwa na akaunti ya monetized youtube.?
Ukiweza ku dominate online umemaliza kaziKurt Caz ana video kali sana za kusafiri