johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #121
Wewe ni mrombo!Kama anachinjwa, anahitaji hewa ya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mrombo!Kama anachinjwa, anahitaji hewa ya nini?
😂😁😁😂😂😂😂 nimecheka sana kam mazuri vile.Duu!! Aisee!! Sasa nimeshajuwa mbinu walizotumia wezi kuniibia Mbuzi wangu..
nilijiuliza sana iweje Mbuzi 6 wachinjwe ndani kwangu nisisikie hata kelele?
Duu!! Kumbe ndy style hiyo?
Aisee!!!
Ahsante Mkuu..[emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana kam mazuri vile.
Ila polee boss
Kwahiyo Mkuu ulikuta tu damu bandani? 😁😁Ahsante Mkuu..
Hawa jamaa sio watu wazuri.
Sio bandani mkuu,,wamechinja uwani kabisa mkuu,,Kwahiyo Mkuu ulikuta tu damu bandani? [emoji16][emoji16]
Shida watz hamuishi na watu kwa aman?Sio bandani mkuu,,wamechinja uwani kabisa mkuu,,
Asubuhi nilikuta miguu vichwa na utumbo.
Duu !! Aisee !! Niliumia sn.
Wewe bwege ulifuata nini rombo??Nimeshuhudia jana mbuzi anachinjwa huku amezibwa mdomo ili asilie.
Kwa ushinjaji huu hamu ya nyama ya mbuzi imeniishia kabisa bora kesho nirudi Dar.
Happy New Year!
Alinifuata mimi bwana yakeHicho ndio kilichokupeleka huko?
Mambo ya kimila tu hayoMaana yake nini kwa warombo?
Mkuu huo ni aina ya wizi wa mifugo ambao umeenea sana .Shida watz hamuishi na watu kwa aman?
Hahahaaaa.....nilienda kuwasalimia ndugu zako!Wewe bwege ulifuata nini rombo??
Hahaaaa yereuwiiiiHahahaaaa.....nilienda kuwasalimia ndugu zako!