Kwa mara ya kwanza nimetuma pesa Ufaransa

Kwa mara ya kwanza nimetuma pesa Ufaransa

Four

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
244
Reaction score
176
Kama mada isemavyo hapo juu, ni kama mwenzi mmoja sasa tangu nikutane na mwana unajimu kutoka Ufaransa nilikuwa nasoma utabiri wa maisha yangu kama 90% kwa njia ya barua pepe nimejifunza mambo mengi ya kiroho ambayo yanahusu 90% ya maisha yangu hadi pale niliposhawishika kununua .

e-book, nilikuwa sijui hata jinsi ya kulipa pesa online,nimejifunza kupitia Google kila kitu,hadi nikafugua na kadi ya malipo ndipo jana nililipa kupitia account yangu kama dollar 30.bank walinitumia ujumbe kwamba nimefanikishwa kutuma kias kile kuna nambasiri ambazo walinitumia nizitumie ndani ya dakika tano ili nikamilishe malipo kwa sababu ya ugeni wangu sikuweza kuzitumia muda uliiisha.

Kwa sasa nipo njia panda sijui kama hela ilienda au bado ipo kwenye kadi maana niliyekuwa namtumia hajanijibu chochote kama amepokea pesa au laa.

Nahitaji msaada hapa

Kuna picha hapa chini

Screenshot_20210710-225003.png


MAB_002_Chakra_Healing-600x401.jpg


Screenshot_20210801-135253.png
 
Kama maada isemavyo hapo juu,ni kama mwenzi mmoja sasa tangu nikutane na mwana unajimu kutoka Ufaransa nilikuwa nasoma utabiri wa maisha yangu kama 90% kwa njia ya barua pepe nimejifunza mambo mengi ya kiroho ambayo yanahusu 90% ya maisha yangu hadi pale niliposhawishika kununua
e-book,nilikuwa sijui hata jinsi ya kulipa pesa online,nimejifunza kupitia Google kila kitu,hadi nikafugua na kadi ya malipo ndipo jana nililipa kupitia account yangu kama dollar 30.bank walinitumia ujumbe kwamba nimefanikishwa kutuma kias kile kuna nambasiri ambazo walinitumia nizitumie ndani ya dakika tano ili nikamilishe malipo kwa sababu ya ugeni wangu sikuweza kuzitumia muda uliiisha.
Kwa sasa nipo njia panda sijui kama hela ilienda au bado ipo kwenye kadi maana niliyekuwa namtumia hajanijibu chochote kama amepokea pesa au laa.
Nahitaji msaada hapa
Kuna picha hapa chini
Duu mbn vjn mnaharibu pesa kizembe
 
Mbona sikusomi joba?
 
Kama maada isemavyo hapo juu,ni kama mwenzi mmoja sasa tangu nikutane na mwana unajimu kutoka Ufaransa nilikuwa nasoma utabiri wa maisha yangu kama 90% kwa njia ya barua pepe nimejifunza mambo mengi ya kiroho ambayo yanahusu 90% ya maisha yangu hadi pale niliposhawishika kununua
e-book,nilikuwa sijui hata jinsi ya kulipa pesa online,nimejifunza kupitia Google kila kitu,hadi nikafugua na kadi ya malipo ndipo jana nililipa kupitia account yangu kama dollar 30.bank walinitumia ujumbe kwamba nimefanikishwa kutuma kias kile kuna nambasiri ambazo walinitumia nizitumie ndani ya dakika tano ili nikamilishe malipo kwa sababu ya ugeni wangu sikuweza kuzitumia muda uliiisha.
Kwa sasa nipo njia panda sijui kama hela ilienda au bado ipo kwenye kadi maana niliyekuwa namtumia hajanijibu chochote kama amepokea pesa au laa.
Nahitaji msaada hapa
Kuna picha hapa chini

View attachment 1908085

View attachment 1908086

View attachment 1908088
Kwanza pole kwa changamoto
Pili ckuiz mpaka mtu wa mitandao anunue kitabu mtandaoni ujue kwel kajaribu njia zotee kashindwa..!!Maana kitabu chochote kikishakuwa e-book tu na kuwekwa mtandaoni basi duniani hapa..hii dunia ssa lazima kivuje tu na sio kitabu tu ata Album..movie..n.k sasa Mkuu wewe umekikosa kabisa icho kitabu? Vile internet ni pana mpaka ukakinunue?
 
Kwanza pole kwa changamoto
Pili ckuiz mpaka mtu wa mitandao anunue kitabu mtandaoni ujue kwel kajaribu njia zotee kashindwa..!!Maana kitabu chochote kikishakuwa e-book tu na kuwekwa mtandaoni basi duniani hapa..hii dunia ssa lazima kivuje tu na sio kitabu tu ata Album..movie..n.k sasa Mkuu wewe umekikosa kabisa icho kitabu? Vile internet ni pana mpaka ukakinunue?
Aliniambia atanitumia kwa barua pepe
 
Nitaweza kuirudisha??
Umelipia kwa njia gani mastercard,Visa,skrill,,webmoney,,paypal, au nn na je kwan ujaona zile verification emails za kuthibitisha kama umelipia au hujalipa?? Angalia vizuri mkuu ukute ushapigwa zamaaaanii
 
Ngoja waje ila kitabu chochote kile kikiwa mtandaoni basi unaweza kukipata bila hata ya kukinunua.
 
Kama maada isemavyo hapo juu,ni kama mwenzi mmoja sasa tangu nikutane na mwana unajimu kutoka Ufaransa nilikuwa nasoma utabiri wa maisha yangu kama 90% kwa njia ya barua pepe nimejifunza mambo mengi ya kiroho ambayo yanahusu 90% ya maisha yangu hadi pale niliposhawishika kununua
e-book,nilikuwa sijui hata jinsi ya kulipa pesa online,nimejifunza kupitia Google kila kitu,hadi nikafugua na kadi ya malipo ndipo jana nililipa kupitia account yangu kama dollar 30.bank walinitumia ujumbe kwamba nimefanikishwa kutuma kias kile kuna nambasiri ambazo walinitumia nizitumie ndani ya dakika tano ili nikamilishe malipo kwa sababu ya ugeni wangu sikuweza kuzitumia muda uliiisha.
Kwa sasa nipo njia panda sijui kama hela ilienda au bado ipo kwenye kadi maana niliyekuwa namtumia hajanijibu chochote kama amepokea pesa au laa.
Nahitaji msaada hapa
Kuna picha hapa chini

View attachment 1908085

View attachment 1908086

View attachment 1908088
Cancel hayo malipo. Unaelekea kupoteza hizo hela.
 
Umelipia kwa njia gani mastercard,Visa,skrill,,webmoney,,paypal, au nn na je kwan ujaona zile verification emails za kuthibitisha kama umelipia au hujalipa?? Angalia vizuri mkuu ukute ushapigwa zamaaaanii
Mastercard ujumbe nilitumiwa kuna namba ambazo niliambiwa nizitumie ndani ya dakika tano kama namba ya siri ili nidhibitishe malipo lakini sikuziweka muda uliisha
 
Mastercard ujumbe nilitumiwa kuna namba ambazo niliambiwa nizitumie ndani ya dakika tano kama namba ya siri ili nidhibitishe malipo lakini sikuziweka muda uliisha
Ni zile CVV zipo namba 3 sindio? Basi kama ukuziweka/ulichelewa mda zka-expire pesa yako itarudi au mda mwngne imerudi kimyakimya bila msg...fanya kuangalia salio lako kama pesa haipo basi kuwa mpole itarudi tu ndani ya masaa 24
 
Ni zile CVV zipo namba 3 sindio? Basi kama ukuziweka/ulichelewa mda zka-expire pesa yako itarudi au mda mwngne imerudi kimyakimya bila msg...fanya kuangalia salio lako kama pesa haipo basi kuwa mpole itarudi tu ndani ya masaa
Hizo tatu zipo nyuma ya card niliziweka baada ya kuweka hizo ndio nikaombwa niweke msimbo wa namba zilizotumwa kwenye barua pepe yangu ili kukamilisha malipo yangu,hizo namba za msimbo ndio sikuweka
 
Kama maada isemavyo hapo juu,ni kama mwenzi mmoja sasa tangu nikutane na mwana unajimu kutoka Ufaransa nilikuwa nasoma utabiri wa maisha yangu kama 90% kwa njia ya barua pepe nimejifunza mambo mengi ya kiroho ambayo yanahusu 90% ya maisha yangu hadi pale niliposhawishika kununua
e-book,nilikuwa sijui hata jinsi ya kulipa pesa online,nimejifunza kupitia Google kila kitu,hadi nikafugua na kadi ya malipo ndipo jana nililipa kupitia account yangu kama dollar 30.bank walinitumia ujumbe kwamba nimefanikishwa kutuma kias kile kuna nambasiri ambazo walinitumia nizitumie ndani ya dakika tano ili nikamilishe malipo kwa sababu ya ugeni wangu sikuweza kuzitumia muda uliiisha.
Kwa sasa nipo njia panda sijui kama hela ilienda au bado ipo kwenye kadi maana niliyekuwa namtumia hajanijibu chochote kama amepokea pesa au laa.
Nahitaji msaada hapa
Kuna picha hapa chini

View attachment 1908085

View attachment 1908086

View attachment 1908088
Kuweni Makin na freemason. Ni ushauri wa bure.
 
cc.Rakims, labda anaweza kunipa mwanga kidogo
 
Back
Top Bottom