Kwa mara ya kwanza taifa mwanachama UN kumpiga Maarufuku Katibu wa UN , Alipaswa akemea uvamizi wa Iran kwa Israel, Hongera Israel no unafiki

Kwa mara ya kwanza taifa mwanachama UN kumpiga Maarufuku Katibu wa UN , Alipaswa akemea uvamizi wa Iran kwa Israel, Hongera Israel no unafiki

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,856
Reaction score
2,417
Katibu wa UN Kama kiongozi wa umoja wa mataifa yote alipaswa akemea hadharani uvamizi wa Iran nchini Israel. Ila naamini Israel wanaweka rekodi sawa ili siku akivamia Iran katibu wa UN usiingize mdomo

Pia Israel inaendelea kutengeneza ushahidi wa kuonyesha anavyochokozwa na mataifa mengine na Katibu wa UN anatulia

Hili liliwahi kutolea kipindi Tanzania inapigana na Amini Nyerere aliwaomba mataifa mengine ya Au kulaani tu wakakataa

Ilipofika zamu ya Amini kuchapwa Barabara wakaanza unafiki wao. Ndo ule msemo Kama ni halalali kupigania Ardhi ya Tanzania Basi ni halali kupigania Uganda pia.

Soma Pia: Kwa mara ya Kwanza UN yawalaani Hamas - Katibu mkuu aongea kwa masikitiko unafiki umemshinda Dunia imejifunza kuwa utekaji sio tabia ya kibinadamu
 
Shida ilianzia October 7, mashambulizi yalitokea lakini alishindwa kulaani mpaka Israel alipolazimika.

Sasa juzi Iran amepiga Israel lakini hajalaani, maana yake ni halali kuu wayahudi, matukio yote mabaya ya Israel Gaza, Lebanon, Iran alilaani, ila linapokuja suala la Israel anakaa kimya
 
Shida ilianzia October 7, mashambulizi yalitokea lakini alishindwa kulaani mpaka Israel alipolazimika. Sasa juzi Iran amepiga Israel lakini hajalaani, maana yake ni halali kuu wayahudi, matukio yote mabaya ya Israel Gaza, Lebanon, Iran alilaani, ila linapokuja suala la Israel anakaa kimya
Kabisa mkuu
Ndo maana wakati mwingine Israel inakaidi maazimio yake ya kipuuzi
 
Israel ni taifa ambalo linaongozwa na watu wenye hisia sana, hisia zikitawala akili ni tatizo.
 
Katibu wa UN Kama kiongozi wa umoja wa mataifa yote alipaswa akemea hadharani uvamizi wa Iran nchini Israel

Ila naamini Israel wanaweka rekodi sawa ili siku akivamia Iran katibu wa UN usiingize mdomo

Pia Israel inaendelea kutengeneza ushahidi wa kuonyesha anavyochokozwa na mataifa mengine na Katibu wa UN anatulia

Hili liliwahi kutolea kipindi Tanzania inapigana na Amini
Nyerere aliwaomba mataifa mengine ya Au kulaani tu wakakataa
Ilipofika zamu ya Amini kuchapwa Barabara wakaanza unafiki wao

Ndo ule msemo Kama ni halalali kupigania Ardhi ya Tanzania Basi ni halali kupigania Uganda pia
Wazee wa taifa teule kutoka mbagala wakimuelekeza katibu mkuu wa UN huko newyork kuhusu nini cha kufanya
 
Katibu mkuu wa UN awezi kutetea magaidi wanaoua watu wasiokuwa nag hatia Israel ni magaidi hivyo Katibu Mkuu awezi kutetea ujinga wakati magaidi yanaishambulia Lebanon Ila yenyewe yakishambiwa yanataka Dunia iwaonee huruma hakuna kitu kama hicho!
 
Uyo Netanyahu juzi kufika pale UN akaanza kubwatuka kwa asila baada wajumbe wengi wa balaza kutoka awakutaka kumsikiliza mtu anatembeya na dam za wamama watoto wafanyakazi wa UN madoctor afu watu wakae wamsikilize maazimio yote yeye ayafati q

Kufika pale ni vile ipo USA yule ni muharifu kwake mahakamani sio pale na tena kafika anaanza kutoa mikwara aogopi mtu yyte anaweza piga popote akuna mwanaume zaid yao sasa

IRAN akaona ww utishwi ww upigiki ww uhogopi mtu aya anza na ayo mauwa ongea nayo kwanza Leo alitaka katibu alaani wkt ww mwenyewe alisema wao awapigiki Leo unataka mm nilaaan vip ww si upigiki nalaani nn tena.

Sasa wameamua kurusha taulo kwa katibu w UN akili ndogo awajamaa wanapambwa tu 😆😆😆😆
 
Wazee wa taifa teule kutoka mbagala wakimuelekeza katibu mkuu wa UN huko newyork kuhusu nini cha kufanya
Ukitoka hapa unaenda kumuelekeza Aytollah kutokea Kimboka.

Kweli nyani haoni kundule.
 
We unapiga mikelele kuwa upigiki na uhogopi yyte muirani akutata watu wasaau alichosema alaka alaka wakaanza nae kwanza kufika tu Israel kakoswakoswa na wahuni w Yemen ajakaa sawa anapewa taharifa wahuni wa IRAN wanataka kuzaa naww akaona apana amfafute Putin mzee naye kamchunia akaona apa apalaliki mbio India mala tena katupa Taylor kwa katibu w UN alitaka afanye nn.
 
Katibu wa UN Kama kiongozi wa umoja wa mataifa yote alipaswa akemea hadharani uvamizi wa Iran nchini Israel

Ila naamini Israel wanaweka rekodi sawa ili siku akivamia Iran katibu wa UN usiingize mdomo

Pia Israel inaendelea kutengeneza ushahidi wa kuonyesha anavyochokozwa na mataifa mengine na Katibu wa UN anatulia

Hili liliwahi kutolea kipindi Tanzania inapigana na Amini
Nyerere aliwaomba mataifa mengine ya Au kulaani tu wakakataa
Ilipofika zamu ya Amini kuchapwa Barabara wakaanza unafiki wao

Ndo ule msemo Kama ni halalali kupigania Ardhi ya Tanzania Basi ni halali kupigania Uganda pia
Ni nani ana haki ya kijitetea kati ya Iran na Israel ?
 
Hawa jamaa wanajipa umuhimu ambao hawana, sijui wanahisi tuko kipindi cha Musa au Daudi wa kwenye biblia?? Yaani wameua wafanyakazi kibao wa UN..tena kwa makusudi, wameua waandishi wa habari kwa makusudi, wameua watoto, wanawake - wao wanalipua tu - wanajiona wana haki ya kuua watakavyo kisa usalama wao, hawajaki maumivu wanayosababisha kwa raia wengi wasio na hatia. Na huwa hawasemi hata pole - wao ni ubishi na kunyamaza kimya..then leo wanataka et akemee....Safi Gutteres hakuna watakachofanya...
Kuna watu wanakufa kila siku Sudan tu hapo, Congo na maeneo mengi tu..mbona hatujaskia watu wakimlalamikia??
Hawa wayahudi wamezoea kubebwa kwa mbeleko...wapigane vita waache kutaka kutafuta sympathy baada ya kufanya mauaji makubwa ya watoto wasio na hatia
 
Katibu mkuu wa UN awezi kutetea magaidi wanaoua watu wasiokuwa nag hatia Israel ni magaidi hivyo Katibu Mkuu awezi kutetea ujinga wakati magaidi yanaishambulia Lebanon Ila yenyewe yakishambiwa yanataka Dunia iwaonee huruma hakuna kitu kama hicho!
Magaid ni wale wamekuja watanzania wenzetu na kuwafanya waafrika wenzetu wawe misukule Yao Kwa kuona ni sw tu waafrika wenzao wauliwe kisa wameuliwa na waislam kama wao
 
Shida ilianzia October 7, mashambulizi yalitokea lakini alishindwa kulaani mpaka Israel alipolazimika.

Sasa juzi Iran amepiga Israel lakini hajalaani, maana yake ni halali kuu wayahudi, matukio yote mabaya ya Israel Gaza, Lebanon, Iran alilaani, ila linapokuja suala la Israel anakaa kimya
We jamaa huwa tunakusisitiza humu shida ilianzia August 23 kwa Israel kuvamia Khanis younis na kuharibu mashamba na kukanyaga watu kwa vifaru.
Je ulisikia UN au USA ikipaza sauti!??
Achana na hilo,je suala la mwanahabari Sheriin Abu Akleh kupigwa na sniper akiwa anaripoti habari ulisikia wakikemea UN au USA!??
Hadi BBC iliandamana kwa mauaji ya huyo mwanahabari ila sio UN wala USA waliongea.
Msiwe mnaropoka tu.
 
Katibu mkuu wa UN awezi kutetea magaidi wanaoua watu wasiokuwa nag hatia Israel ni magaidi hivyo Katibu Mkuu awezi kutetea ujinga wakati magaidi yanaishambulia Lebanon Ila yenyewe yakishambiwa yanataka Dunia iwaonee huruma hakuna kitu kama hicho!
Israel wakati mwengine ni kama machizi!

Yakishambulia wenzake yanashangilia!

Yakilipiziwa kisasi yanalalamika kuona yanaonewa!
 
Back
Top Bottom