Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tumekuelewa, nikuulize hivi hivi Marekani analipi la kushangaza mbalo Russia hana, kama ni makobora ndiye babalao kama ni knuclear ndiye babalao. US kawekeza kuhudumia makambi na kufadhili vita Russia yeye ni kujenga makombora na silaha tu. Ndiyo kisa tangu aanze SOP leo mwaka watatu makombora anayamwaga Ukraine kama siafu.Putin alikuwa akiongea hapo Kremlin machozi yakimlenga muda mfupi uliopita huku akiilaumu marekani kwa kutoithamini urusi.., jamaa hajui hata ashike lipi na aache lipi kwa Sasa [emoji7][emoji2956][emoji7][emoji2956]
Una akili sawasawa?....nani alikwambia usa hawekezi kwenye makombora,nani alikwambia usa hana silaha mpya....ulishawahi ona gwalide LA silaha la usa?....usa hana hizo shobo za kuonyesha sijui ana Nini sijui Nini....mizigo Iko mingi ndio maana Putin mwenyewe anajua kifuatacho ndio maana mpaka Leo Putin anaishia kutishia TU sijui atapiga Nuke apige aone 🤣🤣Haya tumekuelewa, nikuulize hivi hivi Marekani analipi la kushangaza mbalo Russia hana, kama ni makobora ndiye babalao kama ni knuclear ndiye babalao. US kawekeza kuhudumia makambi na kufadhili vita Russia yeye ni kujenga makombora na silaha tu. Ndiyo kisa tangu aanze SOP leo mwaka watatu makombora anayamwaga Ukraine kama siafu.
😃😃Putin alikuwa akiongea hapo Kremlin machozi yakimlenga muda mfupi uliopita huku akiilaumu marekani kwa kutoithamini urusi.., jamaa hajui hata ashike lipi na aache lipi kwa Sasa 😍🤩😍🤩
Uturuki anafaa kuwa superpower akiwa nyuma ya USAHaya tumekuelewa, nikuulize hivi hivi Marekani analipi la kushangaza mbalo Russia hana, kama ni makobora ndiye babalao kama ni knuclear ndiye babalao. US kawekeza kuhudumia makambi na kufadhili vita Russia yeye ni kujenga makombora na silaha tu. Ndiyo kisa tangu aanze SOP leo mwaka watatu makombora anayamwaga Ukraine kama siafu.
Uturuki anafaa kuwa superpower akiwa nyuma ya USA
View: https://x.com/clashreport/status/1858924600731857099?t=GBuPhDpkUmkLGxYm6YPGbA&s=19
Vita imeanza upyaWaziri wa ulinzi wa urusi amesema kiwa leo ukrane imerusha makombora ndani ya ardhi yake kufuatia kupewa idhini na USA
USSR View attachment 3156374
Marekani imechelewa sana kuruhusu hilo.Safi sana Ukraine 🇺🇦 imeonewa sana na huyo Dubu Mzee.👏👏
Unaishi kwenye Ulimwengu wa giza.Haya tumekuelewa, nikuulize hivi hivi Marekani analipi la kushangaza mbalo Russia hana, kama ni makobora ndiye babalao kama ni knuclear ndiye babalao. US kawekeza kuhudumia makambi na kufadhili vita Russia yeye ni kujenga makombora na silaha tu. Ndiyo kisa tangu aanze SOP leo mwaka watatu makombora anayamwaga Ukraine kama siafu.