Muulize pia farst jet alijisikiaje? Alafu waambie watawala wa kipindi hicho watueleze ukweli. Nyerere alienda kuchunguzwa afya au alienda kutibiwa?
....nilipata faraja kubwa.....kiukweli namchukia huyu kafiri...
.........Kweli namchukia sana huyu kafiri natamani angekuwa hai nikafanikiwa kumuua kwa mikono yangu mwenyewe.........
Nakumbuka cku hiyo nilikuwa darasa la pili, nilihuzunika sana, afu siku hiyo mvua ilikuwa inanyesha so nilishindwa kwenda shule,
cku ya mazishi ndio usiseme hiyo huzuni,
kuna ndege ilipita angani cku hiyo, dingi akanidanganya ndio yenye mwili wa marehemu, hapo hofu ndio ikanizid!!!
Then shulen c tukaambiwa tutoe rambirambi, nikalia sana home niliponyimwa, had mjomba akanipa sh 20 ndio nikaridhika, nikaenda kuitoa!!!!
R.i.p mzee!!!!!
Mh! Hicho kijiji unachoishi,sikipati picha.Nakumbuka cku hiyo nilikuwa darasa la pili, nilihuzunika sana, afu siku hiyo mvua ilikuwa inanyesha so nilishindwa kwenda shule,
cku ya mazishi ndio usiseme hiyo huzuni,
kuna ndege ilipita angani cku hiyo, dingi akanidanganya ndio yenye mwili wa marehemu, hapo hofu ndio ikanizid!!!
Then shulen c tukaambiwa tutoe rambirambi, nikalia sana home niliponyimwa, had mjomba akanipa sh 20 ndio nikaridhika, nikaenda kuitoa!!!!
R.i.p mzee!!!!!
kumbe mdogo wangu mie nlkuwa darsa la 4; nakumbuka nilitumwa ofisini kuchukua chaki ndipo nikakuta walimu wanamsikiliza mkapa akitangaza kifo hicho
Ulikua unafanyaje?
kumbe mdogo wangu mie nlkuwa darsa la 4; nakumbuka nilitumwa ofisini kuchukua chaki ndipo nikakuta walimu wanamsikiliza mkapa akitangaza kifo hicho
Ulikua unafanyaje?