Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilikua chekechea basi mwalimu akatuambia kua baba wa taifa Mwl. Nyerere katutoka hivyo tunatakiwa tuende nyumbani.Basi wakati wa kurudi nyumbani barabarani kukawa na makundi ya watu wanaongelea kifo chake.Wengine wakawa hawaamini.. dah!
HahahaaaKumbe bado mdogo sana ila hyo picha uliyoiweka unaonekana mrembo sana
Hahahaaa
Ulitaka nichukie?Umefurahi ee
Ulitaka nichukie?
Hoja yako inafanana sana na jina lako. Ptuuuuu!
Wewe ulishafanya kufuru ngapi tangu upate akili? Kitabu chake kishafungwa,chako unajuwa kitaandikwa nini? Unamchukia kwani ulimuumba wewe?....nilipata faraja kubwa.....kiukweli namchukia huyu kafiri...
Kweli mkuuu?nilifurahi sana
MI NILIJISIKIA KAWAIDA KAMA WENGINE WANAVYO KUFA sikulia nilisikitika tu kwakuwa ni binadam mwenzangu lakn namchukia kupita maelezo na nikisikia tu jina lake napata kichefuchefu alaf nahis kizunguzungu
kukupigania wewe na ukoo wenu kwa ujumla muwe huru katika nchi huru na si koloni la kiingereza ndo sababu ya wewe kumuita kafiri ama kumchukia........nilipata faraja kubwa.....kiukweli namchukia huyu kafiri...