Slim dady
Member
- Apr 15, 2020
- 43
- 343
Kwa wale washabiki wa Yanga na baadhi ya watangazaji wanaolalamika kuhusu habari za Yanga kutopostiwa kwenye pages za CAF Champions League
Kwanza mnatakiwa mfahamu kama haushiriki mashindano ya CAF CL au Confederation Cup huwezi kupostiwa
Mfano ukipitia page ya UEFA kwa msimu ulioisha huwezi kuta habari za Arsenal au Man U
Kwanza mnatakiwa mfahamu kama haushiriki mashindano ya CAF CL au Confederation Cup huwezi kupostiwa
Mfano ukipitia page ya UEFA kwa msimu ulioisha huwezi kuta habari za Arsenal au Man U