Kwa masikitiko makubwa, mwandani wangu ananisaliti na wanaume zaidi ya wa 5

Huyu apewe kampani mwekeni bussy na thread mtakua mmemwokoa sana bado masaa 3 nahisi anaweza asitoboe wanaume tunajijua na hs anamwona kalala.
Ameisha kimbia mkuu, atakuwa kamuamusha mwenzie sasa wako kwenye marumbano.

Ila cha msingi alisha chapa cha kuletewa kabla hawajalala na ndo kitakuwa cha mwisho kwa huu muda wa karibuni hadi huu mgogoro upate suluhu.
 
Unasema anakusaliti na zaidi ya wanaume wa 5 na hao wenzako kila mmoja nae anasema anasalitiwa na wanaume zaidi ya watano

Usijipe uhalali hata wenzako nao wakikugunda wataenda sehemu kuomba ushauri kuwa na wao wanasalitiwa.

Kahaba hafanyi usaliti ila yupo kazini hiyo ndo biashara yake.
 
Mwanamke wa hvyo inamana keshajizila maisha yake na anafanya ukahaba..hebu mpime huyo huenda anawaambukiza maradh makusud kwa hasira .mtu unakuaje na watu wote hao zaid ya 7...
 
Naweza sema ni mke, tumeishi wote kabla ya mambo ya masomo, ngazi za chini mimi ndo nimemsomesha, wazazi wananijua. Kifupi nilishakabidhiwa na wazazi wake muda mrefu.
Tatizo vijana mapenzi yanawasumbua sana, oeni acheni uzinzi mtu anaongea anasalitiwa utafikiri ni mkeo huna aki ya kisheria kumsema chochote unamlalamikia mtu hata uchumba nae huna!
 
She belongs to the street
 
Tatizo vijana mapenzi yanawasumbua sana, oeni acheni uzinzi mtu anaongea anasalitiwa utafikiri ni mkeo huna aki ya kisheria kumsema chochote unamlalamikia mtu hata uchumba nae huna!

Kwahiyo angemuoa ndio angeachana na hao wanaume wengine?? Mal*ya ni mal*ya tuu hata akiwa mke wa ndoa na hata ukishamuoa ukawa na haki nae kisheria itakusaidia nini baada ya kujua ni mal*ya??

#KATAANDOA
 
kwahiyo umefanikiwa kuugulibisha moyo wako kwa cm ya mwandani wako πŸ’

haitakusaidia itakughilibisha zaidi kiakili na kiroho, umeamua kuitikisa Imani na Amani ya Moyo wako mwenyewe πŸ’

Itakusumbua kidogo, utapata tabu sana kurejesha utulivu nafsini mwako, upendo na uaminifu wa dhati dhidi ya mwandani wako umeuweka mashakani πŸ’

akijua umefanya upekuzi au udukuzi wa cm yake utakua umewasha moto zaidi. Ni kubaya mbaya ni miongoni mwa vita kali na mbaya sana za kisakolojia kwa wapendanao πŸ’

unalo Jambo moja tu kukusaidia ahuweni. Kumweleze bayana unacho hisi kiungwana na upendo kwamba aachane na tabia hiyo mbaya, lakini pia epuka kuchungulia cm ya mwenzi wako ni hatari kwa afya, ya akili, mwili na Roho...
 
Asubuhi ukiamka toa bill ya meza kisha tokomea kusikojulikana.
 
Otherwise Ufanye tuu maamuzi, huhitaji mjadala naye,
Kinyume na hapo Sijui utapata chance ya kushika hio simu tenaa, Unge screenshot kila kitu, unajitumia, una clear kila kitu...

Huyo blv me atakuruka, huko kwa wazazi unaosema wamekukabidhi, binti yao aonekane malaika wewe shetani..

Ila mwisho wa siku jambo hilo hufanyi maamuzi kufurahisha/ridhisha mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…