Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Mimi shabiki maandazi...Wewe ni shabiki oya oya. Hakuna klabu isiyo na wachezaji muhimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi shabiki maandazi...Wewe ni shabiki oya oya. Hakuna klabu isiyo na wachezaji muhimu.
Hayo ni maslahi ya mpira wetu au nchi kwa ujumla wake?!Simba na Yanga zinacheza tarehe 16/04/2023. Mechi ya Simba na Yanga au Derby ya kariakoo ni mechi inayoitaji akili, nguvu na utimamu wa mwili kuikabili mechi hii kwa timu zote mbili.
Wapizani wa Simba na Yanga pia wapo kwenye tension kubwa namna gani kuzicheza mechi zao na hizi timu ambazo kila mwaka wanaimarika panapo mashindano ya Afrika. Hivyo watatumia derby hii kujijenga zaidi, na pia wachezaji muhimu wanaweza kuumia kwenye derby hii na hivyo kupunguza morali kwa wachezaji wengine.
Kushinda kwa Simba kimataifa ni kushinda kwa taifa zima, pia kushinda kwa Yanga kimataifa ni kushinda kwa Taifa zima hasa kwenye hatua hii ya robo fainali walioifikia.
Mechi ibaki palepale ili tuwabandue utopolo maana uchawi wao haufanyi kazi mwezi mtukufu kenge hawaHayo ni maslahi ya mpira wetu au nchi kwa ujumla wake?!
Oloiniolo TieFueFu nalo hili mkalitizame....
Imepenya hiyo sindano, ikikuuma sana ichomoe tu maana hamna namna [emoji4]Hayo majina yooote iliyoyaita hapo ukijumlisha hayawezi kulishinda jina tukufu "UTOPOLO". What a name woooh
ili timu zionekane zinaimarika lazma wacheze game ngumu kwa kufatana namna hii,so maoni yaangu game ibaki pale pale 16th april...Simba na Yanga zinacheza tarehe 16/04/2023. Mechi ya Simba na Yanga au Derby ya kariakoo ni mechi inayoitaji akili, nguvu na utimamu wa mwili kuikabili mechi hii kwa timu zote mbili.
Wapizani wa Simba na Yanga pia wapo kwenye tension kubwa namna gani kuzicheza mechi zao na hizi timu ambazo kila mwaka wanaimarika panapo mashindano ya Afrika. Hivyo watatumia derby hii kujijenga zaidi, na pia wachezaji muhimu wanaweza kuumia kwenye derby hii na hivyo kupunguza morali kwa wachezaji wengine.
Kushinda kwa Simba kimataifa ni kushinda kwa taifa zima, pia kushinda kwa Yanga kimataifa ni kushinda kwa Taifa zima hasa kwenye hatua hii ya robo fainali walioifikia.
Ebu cheki hii chupi nayo.Makolokolo hatuogopi maana tutaingia kinyume nyume uwanjani, manyaunyau meusi yatapita katikati ya uwanja kabla ya mechi kuanza au tukishindwa saana basi tutawasha moto uwanjani.
Sisi ndiyo;
• Makolokolo
• Mbumbumbu
• Manyaunyau
• Madunduka
• Mipang'ang'a
• Mikia
• Malalamiko
• Makelele
• Ngada
• Zuwena
• Kolowizards
• Kinyume nyume
• Mazumbukuku
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kule matumizi ya akili hayaruhusiwiSijajua kwani baada ya yanga kufikia hatua waliyofikia kwenye shirikisho,wamekuwa na dharau na kejeli zisizokuwa na msingi wowote.....wanaonekana kuwa na tension kubwa na game ya simba vs waydad kuliko simba wenyewe [emoji706][emoji706][emoji706].
Naomba niwakumbushe tu kwamba hiyo ni stage ya ushamba unaotokana na lack of exposure kwenye mafanikio kimataifa.
Mkipata uzoefu kama simba mtaacha wenyewe huu ushamba wenu [emoji19][emoji19]
Safari ya Nigeria kwani tunaenda na miguu, tuna siku nne free,mbili za kusafiri mbili za kupumzika kabla ya mechi.Ukiangalia kwa umakini, Yanga ndio wanatakiwa waombee hii mechi ipelekwe mbele. Hao ni Yanga makini lakini, sio kila mwana Yanga. Yanga wasio makini wanaifikiria mechi ya tarehe 16, wanajisahau kuwa baada ya hapo kuna safari ya kwenda Nigeria, tena kupitia Ethiopia au Dubai, wakati Simba watabaki Dar. Mimi kama mwana Simba naombea mechi ibaki pale pale 16 April
Hivi ulijuaje watakuja kusingizia hayo?Wahenga walisema, mtoto akililia wembe mpe. Msije tu na visingizio, ooh focus yetu ilikuwa mechi na Rivers. Hatutaki kusikia hayo mambo.
Jibu umelipata.Inonga na Kibu D.Safari ya Nigeria kwani tunaenda na miguu, tuna siku nne free,mbili za kusafiri mbili za kupumzika kabla ya mechi.
Nyie huku mshaanza kulalamika Inonga kaumia,mara kiwanja Ihefu sasa hivi kina maji mengi sabau ya mvua wachezaji wataumia.
Kwa kifupi hamna sababu ya kupeleka derby mbele.
Na kweli mlipata mnachokistahili.Double safi kwa hisani ya Inonga na Kibu D.Hakuna kupeleka mbele hii mechi tunataka ubingwa wetu mapema,na msipoleta timu taifa tunawafata hukohuko bunju
Yanga nawajua vizuri kama kovu lililoko kwenye traaako la manzi wanguHivi ulijuaje watakuja kusingizia hayo?