Kwa maslahi makubwa ya nchi mechi ya Simba na yanga ipelekwe mbele kupisha mashindano ya kimataifa

Kwa maslahi makubwa ya nchi mechi ya Simba na yanga ipelekwe mbele kupisha mashindano ya kimataifa

Simba na Yanga zinacheza tarehe 16/04/2023. Mechi ya Simba na Yanga au Derby ya kariakoo ni mechi inayoitaji akili, nguvu na utimamu wa mwili kuikabili mechi hii kwa timu zote mbili.
Wapizani wa Simba na Yanga pia wapo kwenye tension kubwa namna gani kuzicheza mechi zao na hizi timu ambazo kila mwaka wanaimarika panapo mashindano ya Afrika. Hivyo watatumia derby hii kujijenga zaidi, na pia wachezaji muhimu wanaweza kuumia kwenye derby hii na hivyo kupunguza morali kwa wachezaji wengine.

Kushinda kwa Simba kimataifa ni kushinda kwa taifa zima, pia kushinda kwa Yanga kimataifa ni kushinda kwa Taifa zima hasa kwenye hatua hii ya robo fainali walioifikia.
Hayo ni maslahi ya mpira wetu au nchi kwa ujumla wake?!
Oloiniolo TieFueFu nalo hili mkalitizame....
 
Simba na Yanga zinacheza tarehe 16/04/2023. Mechi ya Simba na Yanga au Derby ya kariakoo ni mechi inayoitaji akili, nguvu na utimamu wa mwili kuikabili mechi hii kwa timu zote mbili.
Wapizani wa Simba na Yanga pia wapo kwenye tension kubwa namna gani kuzicheza mechi zao na hizi timu ambazo kila mwaka wanaimarika panapo mashindano ya Afrika. Hivyo watatumia derby hii kujijenga zaidi, na pia wachezaji muhimu wanaweza kuumia kwenye derby hii na hivyo kupunguza morali kwa wachezaji wengine.

Kushinda kwa Simba kimataifa ni kushinda kwa taifa zima, pia kushinda kwa Yanga kimataifa ni kushinda kwa Taifa zima hasa kwenye hatua hii ya robo fainali walioifikia.
ili timu zionekane zinaimarika lazma wacheze game ngumu kwa kufatana namna hii,so maoni yaangu game ibaki pale pale 16th april...
 
Sijajua kwani baada ya yanga kufikia hatua waliyofikia kwenye shirikisho,wamekuwa na dharau na kejeli zisizokuwa na msingi wowote.....wanaonekana kuwa na tension kubwa na game ya simba vs waydad kuliko simba wenyewe [emoji706][emoji706][emoji706].

Naomba niwakumbushe tu kwamba hiyo ni stage ya ushamba unaotokana na lack of exposure kwenye mafanikio kimataifa.
Mkipata uzoefu kama simba mtaacha wenyewe huu ushamba wenu [emoji19][emoji19]
 
Makolokolo hatuogopi maana tutaingia kinyume nyume uwanjani, manyaunyau meusi yatapita katikati ya uwanja kabla ya mechi kuanza au tukishindwa saana basi tutawasha moto uwanjani.

Sisi ndiyo;
• Makolokolo
• Mbumbumbu
• Manyaunyau
• Madunduka
• Mipang'ang'a
• Mikia
• Malalamiko
• Makelele
• Ngada
• Zuwena
• Kolowizards
• Kinyume nyume
• Mazumbukuku

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ebu cheki hii chupi nayo.
 
Sijajua kwani baada ya yanga kufikia hatua waliyofikia kwenye shirikisho,wamekuwa na dharau na kejeli zisizokuwa na msingi wowote.....wanaonekana kuwa na tension kubwa na game ya simba vs waydad kuliko simba wenyewe [emoji706][emoji706][emoji706].

Naomba niwakumbushe tu kwamba hiyo ni stage ya ushamba unaotokana na lack of exposure kwenye mafanikio kimataifa.
Mkipata uzoefu kama simba mtaacha wenyewe huu ushamba wenu [emoji19][emoji19]
Kule matumizi ya akili hayaruhusiwi
 
Ukiangalia kwa umakini, Yanga ndio wanatakiwa waombee hii mechi ipelekwe mbele. Hao ni Yanga makini lakini, sio kila mwana Yanga. Yanga wasio makini wanaifikiria mechi ya tarehe 16, wanajisahau kuwa baada ya hapo kuna safari ya kwenda Nigeria, tena kupitia Ethiopia au Dubai, wakati Simba watabaki Dar. Mimi kama mwana Simba naombea mechi ibaki pale pale 16 April
Safari ya Nigeria kwani tunaenda na miguu, tuna siku nne free,mbili za kusafiri mbili za kupumzika kabla ya mechi.

Nyie huku mshaanza kulalamika Inonga kaumia,mara kiwanja Ihefu sasa hivi kina maji mengi sabau ya mvua wachezaji wataumia.

Kwa kifupi hamna sababu ya kupeleka derby mbele.
 
Hakuna kupeleka mbele hii mechi tunataka ubingwa wetu mapema,na msipoleta timu taifa tunawafata hukohuko bunju
 
Safari ya Nigeria kwani tunaenda na miguu, tuna siku nne free,mbili za kusafiri mbili za kupumzika kabla ya mechi.

Nyie huku mshaanza kulalamika Inonga kaumia,mara kiwanja Ihefu sasa hivi kina maji mengi sabau ya mvua wachezaji wataumia.

Kwa kifupi hamna sababu ya kupeleka derby mbele.
Jibu umelipata.Inonga na Kibu D.
 
Hakuna kupeleka mbele hii mechi tunataka ubingwa wetu mapema,na msipoleta timu taifa tunawafata hukohuko bunju
Na kweli mlipata mnachokistahili.Double safi kwa hisani ya Inonga na Kibu D.
 
Back
Top Bottom