Boay Hotay
Senior Member
- Jul 8, 2023
- 103
- 142
Mbowe amuachie Chama Tundu Lisu ili udikteta wake usije ukaifanya CHADEMA Kuwa TLP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anadai wanachama wamemuombaMbowe amuachie Chama Tundu Lisu ili udikteta wake usije ukaifanya CHADEMA Kuwa TLP
Itavuja kweliAcha inyeshe tuone panapovuja
Kumfunga jela au kumfunga kambaBusara nzuri ni kumfunga Ayatolah Mbowe had uchaguzi umalzike.
Wamfunge kamba afu wampeleke jela.Kumfunga jela au kumfunga kamba
Hahahahah hapo ndipo CCM itatenda haki kwa kusimamia haki za binadamWamfunge kamba afu wampeleke jela.
Kwahiyo ni noma tupuYuko pale kwa kazi maalumu,hata akina Malisa wanalijua hilo na wao ni usalama wanaojifanya chadema
Mwamba ni miyeyusho sana ngemwachia tu lisu kama nyuma yake hana mkono wa CCMIla tusiwe wasahaulifu sana mwamba wayback 2022 nadhani alishaweka wazi dhamira yake ya kupumzika akimaliza kipindi chake hiki
Atamwachia trust me!Mwamba ni miyeyusho sana ngemwachia tu lisu kama nyuma yake hana mkono wa CCM
Anapewa moyo na machawa wake kina nyerere na Bonny Yai ambao hawana shughuli wanategemea viposho anavyawapa vya kujikimu!Mbowe amenishangaza sana kwa uzoefu wake lukuki kushindwa kusoma alama za nyakati dah mwamba ameniangusha sana...yaani anajazwa upepo na kakikundi kadogo ka vijana wa hovyo anasahau wanachadema tulio wengi tunataka nabadiliko yalio chini ya Lissu!!
Lissu ndio kiboko ya ma ccm yoote ndio maana wanapambana kuhakikisha mbowe anabaki kuwa mwenyekiti...iko wazi kabisa!!.
Kama hataki kupumzika wanachama watamfanyajeMbowe anapaswa kupumzika
Mbowe mzinguajjMbowe amenishangaza sana kwa uzoefu wake lukuki kushindwa kusoma alama za nyakati dah mwamba ameniangusha sana...yaani anajazwa upepo na kakikundi kadogo ka vijana wa hovyo anasahau wanachadema tulio wengi tunataka nabadiliko yalio chini ya Lissu!!
Lissu ndio kiboko ya ma ccm yoote ndio maana wanapambana kuhakikisha mbowe anabaki kuwa mwenyekiti...iko wazi kabisa!!.
Kuna taarifa nimeipokea inatishaMbowe anapaswa kupumzika
Usiniambie bwana!!!!Kuna taarifa nimeipokea inatisha