MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Waongezwe Shangazi F. Karume na Ananlea Nkya!Kwenye orodha yako sijaona waislam wala wanawake. Vipi kwa mtazamo wako hawafai?
Hapo ni 1 na 2 tu, wengine ondoa.1. Paul Makonda
2. Kenani Kihongosi
3. Mwigulu Nchemba
4. Bomboko (DC wa ubungo)
5. Max (Meya wa Arusha)
6. Nehemia Mchechu
Kumbe shida ni CHATO!! 😀 😀 😀Sasa Alitakiwa awe na "SYNDROME" ya wapi ili asiwe TAKATAKA?Luhaga mpina ni takataka sio wa kumwamini huyo bado ana Chato syndrome
Huo msemo "kwa maslahi mapana ya taifa" mwenye hati miliki nao ni Advocate Pascal Mayala.Huu ni utabiri juu ya nini kitatokea 2025 hadi 2030, itakuwa ni wakati wa kuwakomoa watanganyika. Nchi itapigwa mnada bila hofu yoyote kwa sababu watanganyika hao hao viongozi ndio wanasapoti uuzaji huo uendelee.
Wananchi wa Ngorongoro wataondolewa ngorongoro wapende wasipende. Rasilimali muhimu za nchi kama misitu na madini hifadhini yatachibwa na wageni bila faida ya muda mrefu kwa vizazi vya kitanzania.
Hivyo kwa maslahi mapana ya taifa la Tanganyika wabunge wengi wa upinzani wanaitajika sana kwenye bunge la 2025 -2030.
Watu muhimu ambao wanapaswa wananchi tuwapeleke bungeni ni;
Wengine wa kuingia bungeni ni pamoja na;
- Joseph Mbilinyi (Sugu)
- John Heche
- John Mnyika
- Godbless Lema
- Tundu Lissu: huyu kiongozi hatakiwi kukosa kabisa bungeni. Kama chama kingeruhusu huyu kiongozi angegombea nafasi ya urais na ubunge kwa pamoja. Tundu Lissu ndie kiongozi pekee kwa upinzani anaweza kupambana na kiongozi yeyote wa CCM ngazi ya urais na yeye akaibuka mshindi. Lakini endapo atahujumiwa kwenye nafasi ya urais tusimkose kwenye bunge la 2025- 2030 atatusaidia sana kuzuia sheria mbovu na Madudu mengi.
Pamoja na mimi na wewe kama unahisi unao uzalendo wa kulipambania taifa la Tanzania na wananchi wake ili waweze kuumiliki uchumi wao.
- Peter Madeleka
- Peter Kibatala
- Boniface Mwambukusi
- Luhaga Mpina.
- John Pambalu
- Twaha Mwaipaya
Tungekuwa na Tiss yenye weledi ingeratibu huu mchakato ili kuinusuru nchiHuu ni utabiri juu ya nini kitatokea 2025 hadi 2030, itakuwa ni wakati wa kuwakomoa watanganyika. Nchi itapigwa mnada bila hofu yoyote kwa sababu watanganyika hao hao viongozi ndio wanasapoti uuzaji huo uendelee.
Wananchi wa Ngorongoro wataondolewa ngorongoro wapende wasipende. Rasilimali muhimu za nchi kama misitu na madini hifadhini yatachibwa na wageni bila faida ya muda mrefu kwa vizazi vya kitanzania.
Hivyo kwa maslahi mapana ya taifa la Tanganyika wabunge wengi wa upinzani wanaitajika sana kwenye bunge la 2025 -2030.
Watu muhimu ambao wanapaswa wananchi tuwapeleke bungeni ni;
Wengine wa kuingia bungeni ni pamoja na;
- Joseph Mbilinyi (Sugu)
- John Heche
- John Mnyika
- Godbless Lema
- Tundu Lissu: huyu kiongozi hatakiwi kukosa kabisa bungeni. Kama chama kingeruhusu huyu kiongozi angegombea nafasi ya urais na ubunge kwa pamoja. Tundu Lissu ndie kiongozi pekee kwa upinzani anaweza kupambana na kiongozi yeyote wa CCM ngazi ya urais na yeye akaibuka mshindi. Lakini endapo atahujumiwa kwenye nafasi ya urais tusimkose kwenye bunge la 2025- 2030 atatusaidia sana kuzuia sheria mbovu na Madudu mengi.
Pamoja na mimi na wewe kama unahisi unao uzalendo wa kulipambania taifa la Tanzania na wananchi wake ili waweze kuumiliki uchumi wao.
- Peter Madeleka
- Peter Kibatala
- Boniface Mwambukusi
- Luhaga Mpina.
- John Pambalu
- Twaha Mwaipaya
Kwanza naunga mkono hoja TL aingie Bungeni, ule uchaguzi wa 2020, japo mimi ni miongoni mwa watu tuliomchagiza kugombea urais Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! lengo ni ili tuu kuutia joto urais mtu asiupate kwa ulaini kama anakwenda msalani, lakini mimi ni realist najua urais wa JMT una hakimiki ya chama kimoja tuu, chama dola CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola![*]Tundu Lissu: huyu kiongozi hatakiwi kukosa kabisa bungeni. Kama chama kingeruhusu huyu kiongozi angegombea nafasi ya urais na ubunge kwa pamoja. Tundu Lissu ndie kiongozi pekee kwa upinzani anaweza kupambana na kiongozi yeyote wa CCM ngazi ya urais na yeye akaibuka mshindi. Lakini endapo atahujumiwa kwenye nafasi ya urais tusimkose kwenye bunge la 2025- 2030 atatusaidia sana kuzuia sheria mbovu na Madudu mengi.
Wapinzani wa kiislamu huwa hawana meno pindi mwislamu mwenzao ndie rais wa nchi. Mfano mzuri tu yuko wapi Zito Kabwe aliyekuwa mkosoaji mkubwa wa Rais Magufuli?Kwenye orodha yako sijaona waislam wala wanawake. Vipi kwa mtazamo wako hawafai?
WAUZA nyapu hawatakiwi kuleUpande wa jinsia ya kike hakuna mzalendo?
🚮🚮🚮 , Unadhani Watanzania ni wajinga kwamba wanachagua maneno yasiyo na Msaada kwao? 😂😂Huu ni utabiri juu ya nini kitatokea 2025 hadi 2030, itakuwa ni wakati wa kuwakomoa watanganyika. Nchi itapigwa mnada bila hofu yoyote kwa sababu watanganyika hao hao viongozi ndio wanasapoti uuzaji huo uendelee.
Wananchi wa Ngorongoro wataondolewa ngorongoro wapende wasipende. Rasilimali muhimu za nchi kama misitu na madini hifadhini yatachibwa na wageni bila faida ya muda mrefu kwa vizazi vya kitanzania.
Hivyo kwa maslahi mapana ya taifa la Tanganyika wabunge wengi wa upinzani wanaitajika sana kwenye bunge la 2025 -2030.
Kwa mfano bunge siku za hivi karibuni limekuwa likiendelea pasipo wananchi kutokujua kwamba linaendelea, hivyo kupitia udhaifu huo bunge limekuwa likipitisha mambo mengi ya hovyo ambayo ni mzigo kwa wananchi wengi wa taifa hili. Mfano mzuri sasa hivi LUKU mwananchi wa kawaida analipia Kodi ya Thamani (VAT) wakati huo huo tunalipa matozo mengine ya ajabu kwenye LUKU hiyo hiyo (debt collection kutoka 1000 hadi 1500 ambayo TRA walikanusha kwamba hawahusiki kuikusanya). Hivyo tungekuwa na bunge la wazelendo mambo ya hovyo kama hayo ma double taxation yasingepitishwa na bunge letu tukufu.
Watu muhimu ambao wanapaswa wananchi tuwapeleke bungeni ni;
Wengine wa kuingia bungeni ni pamoja na;
- Joseph Mbilinyi (Sugu)
- John Heche
- John Mnyika
- Godbless Lema
- Tundu Lissu: huyu kiongozi hatakiwi kukosa kabisa bungeni. Kama chama kingeruhusu huyu kiongozi angegombea nafasi ya urais na ubunge kwa pamoja. Tundu Lissu ndie kiongozi pekee kwa upinzani anaweza kupambana na kiongozi yeyote wa CCM ngazi ya urais na yeye akaibuka mshindi. Lakini endapo atahujumiwa kwenye nafasi ya urais tusimkose kwenye bunge la 2025- 2030 atatusaidia sana kuzuia sheria mbovu na Madudu mengi.
Pamoja na mimi na wewe kama unahisi unao uzalendo wa kulipambania taifa la Tanzania na wananchi wake ili waweze kuumiliki uchumi wao.
- Peter Madeleka
- Peter Kibatala
- Boniface Mwambukusi
- Luhaga Mpina.
- John Pambalu
- Twaha Mwaipaya
Labda Rais wa Singida kama Sugu alivyo Rais hewa wa Mbeya na virungu anakula 😆😆Lissu ni Rais wewe
Wewe unamsaada katika taifa? Au wewe ndiye waliwakusifu na kuabudu🚮🚮🚮 , Unadhani Watanzania ni wajinga kwamba wanachagua maneno yasiyo na Msaada kwao? 😂😂
Nikuchague wewe ukale na familia Yako nakuwa Sina kazi ya kufanya?Wewe unamsaada katika taifa? Au wewe ndiye waliwakusifu na kuabudu
Sasa kwa nini muda wote kuwasifia viongozi wako wa ccm ambao wanakula hadi kuvimbiwa hali wewe uliye wachagua ukiwa na average life?Nikuchague wewe ukale na familia Yako nakuwa Sina kazi ya kufanya?
AhaaaWapinzani wa kiislamu huwa hawana meno pindi mwislamu mwenzao ndie rais wa nchi. Mfano mzuri tu yuko wapi Zito Kabwe aliyekuwa mkosoaji mkubwa wa Rais Magufuli?
Hellen Bisimba na Ummy MwalimuUpande wa jinsia ya kike hakuna mzalendo?
Plus Boniface JacobHuu ni utabiri juu ya nini kitatokea 2025 hadi 2030, itakuwa ni wakati wa kuwakomoa watanganyika. Nchi itapigwa mnada bila hofu yoyote kwa sababu watanganyika hao hao viongozi ndio wanasapoti uuzaji huo uendelee.
Wananchi wa Ngorongoro wataondolewa ngorongoro wapende wasipende. Rasilimali muhimu za nchi kama misitu na madini hifadhini yatachibwa na wageni bila faida ya muda mrefu kwa vizazi vya kitanzania.
Hivyo kwa maslahi mapana ya taifa la Tanganyika wabunge wengi wa upinzani wanaitajika sana kwenye bunge la 2025 -2030.
Kwa mfano bunge siku za hivi karibuni limekuwa likiendelea pasipo wananchi kutokujua kwamba linaendelea, hivyo kupitia udhaifu huo bunge limekuwa likipitisha mambo mengi ya hovyo ambayo ni mzigo kwa wananchi wengi wa taifa hili. Mfano mzuri sasa hivi LUKU mwananchi wa kawaida analipia Kodi ya Thamani (VAT) wakati huo huo tunalipa matozo mengine ya ajabu kwenye LUKU hiyo hiyo (debt collection kutoka 1000 hadi 1500 ambayo TRA walikanusha kwamba hawahusiki kuikusanya). Hivyo tungekuwa na bunge la wazelendo mambo ya hovyo kama hayo ma double taxation yasingepitishwa na bunge letu tukufu.
Watu muhimu ambao wanapaswa wananchi tuwapeleke bungeni ni;
Wengine wa kuingia bungeni ni pamoja na;
- Joseph Mbilinyi (Sugu)
- John Heche
- John Mnyika
- Godbless Lema
- Tundu Lissu: huyu kiongozi hatakiwi kukosa kabisa bungeni. Kama chama kingeruhusu huyu kiongozi angegombea nafasi ya urais na ubunge kwa pamoja. Tundu Lissu ndie kiongozi pekee kwa upinzani anaweza kupambana na kiongozi yeyote wa CCM ngazi ya urais na yeye akaibuka mshindi. Lakini endapo atahujumiwa kwenye nafasi ya urais tusimkose kwenye bunge la 2025- 2030 atatusaidia sana kuzuia sheria mbovu na Madudu mengi.
Pamoja na mimi na wewe kama unahisi unao uzalendo wa kulipambania taifa la Tanzania na wananchi wake ili waweze kuumiliki uchumi wao.
- Peter Madeleka
- Peter Kibatala
- Boniface Mwambukusi
- Luhaga Mpina.
- John Pambalu
- Twaha Mwaipaya
Taja mpinzani mwislamu anaempinga Samia na serikali yake nim add kwenye list🤔Ahaaa
Kumbe wapinzani ni wakristo tu!