Pre GE2025 Kwa maslahi mapana ya nchi ya Tanzania, Wabunge hawa hawatakiwi kukosa kwenye bunge la 2025-2030

Pre GE2025 Kwa maslahi mapana ya nchi ya Tanzania, Wabunge hawa hawatakiwi kukosa kwenye bunge la 2025-2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huu ni utabiri juu ya nini kitatokea 2025 hadi 2030, itakuwa ni wakati wa kuwakomoa watanganyika. Nchi itapigwa mnada bila hofu yoyote kwa sababu watanganyika hao hao viongozi ndio wanasapoti uuzaji huo uendelee.

Wananchi wa Ngorongoro wataondolewa ngorongoro wapende wasipende. Rasilimali muhimu za nchi kama misitu na madini hifadhini yatachibwa na wageni bila faida ya muda mrefu kwa vizazi vya kitanzania.

Hivyo kwa maslahi mapana ya taifa la Tanganyika wabunge wengi wa upinzani wanaitajika sana kwenye bunge la 2025 -2030.

Watu muhimu ambao wanapaswa wananchi tuwapeleke bungeni ni;
  • Joseph Mbilinyi (Sugu)
  • John Heche
  • John Mnyika
  • Godbless Lema
  • Tundu Lissu: huyu kiongozi hatakiwi kukosa kabisa bungeni. Kama chama kingeruhusu huyu kiongozi angegombea nafasi ya urais na ubunge kwa pamoja. Tundu Lissu ndie kiongozi pekee kwa upinzani anaweza kupambana na kiongozi yeyote wa CCM ngazi ya urais na yeye akaibuka mshindi. Lakini endapo atahujumiwa kwenye nafasi ya urais tusimkose kwenye bunge la 2025- 2030 atatusaidia sana kuzuia sheria mbovu na Madudu mengi.
Wengine wa kuingia bungeni ni pamoja na;
  • Peter Madeleka
  • Peter Kibatala
  • Boniface Mwambukusi
  • Luhaga Mpina.
  • John Pambalu
  • Twaha Mwaipaya
Pamoja na mimi na wewe kama unahisi unao uzalendo wa kulipambania taifa la Tanzania na wananchi wake ili waweze kuumiliki uchumi wao.
Huo msemo "kwa maslahi mapana ya taifa" mwenye hati miliki nao ni Advocate Pascal Mayala.
So wewe unautumia pasipo kumshirikisha atakufungulia kesi umlipe Billion 50.
 
Huu ni utabiri juu ya nini kitatokea 2025 hadi 2030, itakuwa ni wakati wa kuwakomoa watanganyika. Nchi itapigwa mnada bila hofu yoyote kwa sababu watanganyika hao hao viongozi ndio wanasapoti uuzaji huo uendelee.

Wananchi wa Ngorongoro wataondolewa ngorongoro wapende wasipende. Rasilimali muhimu za nchi kama misitu na madini hifadhini yatachibwa na wageni bila faida ya muda mrefu kwa vizazi vya kitanzania.

Hivyo kwa maslahi mapana ya taifa la Tanganyika wabunge wengi wa upinzani wanaitajika sana kwenye bunge la 2025 -2030.

Watu muhimu ambao wanapaswa wananchi tuwapeleke bungeni ni;
  • Joseph Mbilinyi (Sugu)
  • John Heche
  • John Mnyika
  • Godbless Lema
  • Tundu Lissu: huyu kiongozi hatakiwi kukosa kabisa bungeni. Kama chama kingeruhusu huyu kiongozi angegombea nafasi ya urais na ubunge kwa pamoja. Tundu Lissu ndie kiongozi pekee kwa upinzani anaweza kupambana na kiongozi yeyote wa CCM ngazi ya urais na yeye akaibuka mshindi. Lakini endapo atahujumiwa kwenye nafasi ya urais tusimkose kwenye bunge la 2025- 2030 atatusaidia sana kuzuia sheria mbovu na Madudu mengi.
Wengine wa kuingia bungeni ni pamoja na;
  • Peter Madeleka
  • Peter Kibatala
  • Boniface Mwambukusi
  • Luhaga Mpina.
  • John Pambalu
  • Twaha Mwaipaya
Pamoja na mimi na wewe kama unahisi unao uzalendo wa kulipambania taifa la Tanzania na wananchi wake ili waweze kuumiliki uchumi wao.
Tungekuwa na Tiss yenye weledi ingeratibu huu mchakato ili kuinusuru nchi

Lakini Cha kushangaza na wao wamekata tamaa wanasubiri mambo yajiendeshe liwalo na liwe huko mbele tuendako
Rushwa imeipofusha na kuiponza hii idara
Hakika ni simanzi kwa nchi iya Nyerere inayoyoma
 
[*]Tundu Lissu: huyu kiongozi hatakiwi kukosa kabisa bungeni. Kama chama kingeruhusu huyu kiongozi angegombea nafasi ya urais na ubunge kwa pamoja. Tundu Lissu ndie kiongozi pekee kwa upinzani anaweza kupambana na kiongozi yeyote wa CCM ngazi ya urais na yeye akaibuka mshindi. Lakini endapo atahujumiwa kwenye nafasi ya urais tusimkose kwenye bunge la 2025- 2030 atatusaidia sana kuzuia sheria mbovu na Madudu mengi.
Kwanza naunga mkono hoja TL aingie Bungeni, ule uchaguzi wa 2020, japo mimi ni miongoni mwa watu tuliomchagiza kugombea urais Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! lengo ni ili tuu kuutia joto urais mtu asiupate kwa ulaini kama anakwenda msalani, lakini mimi ni realist najua urais wa JMT una hakimiki ya chama kimoja tuu, chama dola CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!

Hivyo nilimuombea TL ate uliwahi ubunge kwa yule Blaza wangu For the sake of National Unity, Je tumshauri Dkt. Magufuli aahidi kumteua Tundu Lissu kuwa Mbunge?

Hivyo uchaguzi wa 2025, kama CCM itamsimamisha Samia, then Samia ndie mshindi wa uchaguzi wa 2025 hivyo kwanza nimeshauri wapinzani Kuelekea 2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!

Pili nikashauri Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Hivyo ili TL aingie Bungeni, then 2025 asigombee urais na Samia, badala yake agombee ubunge jimbo lake linaingizwa kwenye ule mpango wa nusu mkate.

Na hata akigombea akakosa, Rais Samia atamteua kwenye zile nafasi zake 10 hivyo 2025 Tundu Lissu Bungeni!.
P
 
Huu ni utabiri juu ya nini kitatokea 2025 hadi 2030, itakuwa ni wakati wa kuwakomoa watanganyika. Nchi itapigwa mnada bila hofu yoyote kwa sababu watanganyika hao hao viongozi ndio wanasapoti uuzaji huo uendelee.

Wananchi wa Ngorongoro wataondolewa ngorongoro wapende wasipende. Rasilimali muhimu za nchi kama misitu na madini hifadhini yatachibwa na wageni bila faida ya muda mrefu kwa vizazi vya kitanzania.

Hivyo kwa maslahi mapana ya taifa la Tanganyika wabunge wengi wa upinzani wanaitajika sana kwenye bunge la 2025 -2030.
Kwa mfano bunge siku za hivi karibuni limekuwa likiendelea pasipo wananchi kutokujua kwamba linaendelea, hivyo kupitia udhaifu huo bunge limekuwa likipitisha mambo mengi ya hovyo ambayo ni mzigo kwa wananchi wengi wa taifa hili. Mfano mzuri sasa hivi LUKU mwananchi wa kawaida analipia Kodi ya Thamani (VAT) wakati huo huo tunalipa matozo mengine ya ajabu kwenye LUKU hiyo hiyo (debt collection kutoka 1000 hadi 1500 ambayo TRA walikanusha kwamba hawahusiki kuikusanya). Hivyo tungekuwa na bunge la wazelendo mambo ya hovyo kama hayo ma double taxation yasingepitishwa na bunge letu tukufu.

Watu muhimu ambao wanapaswa wananchi tuwapeleke bungeni ni;
  • Joseph Mbilinyi (Sugu)
  • John Heche
  • John Mnyika
  • Godbless Lema
  • Tundu Lissu: huyu kiongozi hatakiwi kukosa kabisa bungeni. Kama chama kingeruhusu huyu kiongozi angegombea nafasi ya urais na ubunge kwa pamoja. Tundu Lissu ndie kiongozi pekee kwa upinzani anaweza kupambana na kiongozi yeyote wa CCM ngazi ya urais na yeye akaibuka mshindi. Lakini endapo atahujumiwa kwenye nafasi ya urais tusimkose kwenye bunge la 2025- 2030 atatusaidia sana kuzuia sheria mbovu na Madudu mengi.
Wengine wa kuingia bungeni ni pamoja na;
  • Peter Madeleka
  • Peter Kibatala
  • Boniface Mwambukusi
  • Luhaga Mpina.
  • John Pambalu
  • Twaha Mwaipaya
Pamoja na mimi na wewe kama unahisi unao uzalendo wa kulipambania taifa la Tanzania na wananchi wake ili waweze kuumiliki uchumi wao.
🚮🚮🚮 , Unadhani Watanzania ni wajinga kwamba wanachagua maneno yasiyo na Msaada kwao? 😂😂
 
Mwabukuzi ni Rais wa TLS. Hata hivyo wote walioshiriki kuuza rasilimali za nchi hawafai kwa nafasi yoyote.
 
Huu ni utabiri juu ya nini kitatokea 2025 hadi 2030, itakuwa ni wakati wa kuwakomoa watanganyika. Nchi itapigwa mnada bila hofu yoyote kwa sababu watanganyika hao hao viongozi ndio wanasapoti uuzaji huo uendelee.

Wananchi wa Ngorongoro wataondolewa ngorongoro wapende wasipende. Rasilimali muhimu za nchi kama misitu na madini hifadhini yatachibwa na wageni bila faida ya muda mrefu kwa vizazi vya kitanzania.

Hivyo kwa maslahi mapana ya taifa la Tanganyika wabunge wengi wa upinzani wanaitajika sana kwenye bunge la 2025 -2030.
Kwa mfano bunge siku za hivi karibuni limekuwa likiendelea pasipo wananchi kutokujua kwamba linaendelea, hivyo kupitia udhaifu huo bunge limekuwa likipitisha mambo mengi ya hovyo ambayo ni mzigo kwa wananchi wengi wa taifa hili. Mfano mzuri sasa hivi LUKU mwananchi wa kawaida analipia Kodi ya Thamani (VAT) wakati huo huo tunalipa matozo mengine ya ajabu kwenye LUKU hiyo hiyo (debt collection kutoka 1000 hadi 1500 ambayo TRA walikanusha kwamba hawahusiki kuikusanya). Hivyo tungekuwa na bunge la wazelendo mambo ya hovyo kama hayo ma double taxation yasingepitishwa na bunge letu tukufu.

Watu muhimu ambao wanapaswa wananchi tuwapeleke bungeni ni;
  • Joseph Mbilinyi (Sugu)
  • John Heche
  • John Mnyika
  • Godbless Lema
  • Tundu Lissu: huyu kiongozi hatakiwi kukosa kabisa bungeni. Kama chama kingeruhusu huyu kiongozi angegombea nafasi ya urais na ubunge kwa pamoja. Tundu Lissu ndie kiongozi pekee kwa upinzani anaweza kupambana na kiongozi yeyote wa CCM ngazi ya urais na yeye akaibuka mshindi. Lakini endapo atahujumiwa kwenye nafasi ya urais tusimkose kwenye bunge la 2025- 2030 atatusaidia sana kuzuia sheria mbovu na Madudu mengi.
Wengine wa kuingia bungeni ni pamoja na;
  • Peter Madeleka
  • Peter Kibatala
  • Boniface Mwambukusi
  • Luhaga Mpina.
  • John Pambalu
  • Twaha Mwaipaya
Pamoja na mimi na wewe kama unahisi unao uzalendo wa kulipambania taifa la Tanzania na wananchi wake ili waweze kuumiliki uchumi wao.
Plus Boniface Jacob
 
Back
Top Bottom