Hahaha...Ni kweli wanauliza haya maswali?π
Yaaan ni upumbavu wa kutupwa, taarifa ambazo wangeweza kuzipata kwene makampuni yanayofanya biashara izo tu... kama ni iyo mipango wakapanga... kuchoshanaMaswali ya sensa bana eti anauliza natumia mkaa au gesi dah kwani wanataka kutununulia gesi?