Bendera ya Bati
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 279
- 369
Ndugu yangu kapata matokeo yake ya kidato cha sita,amepata div.3 ya 14 katika combination ya HGK (E,E,D) Sasa je anaweza kusoma elimu ya juu hususani degree?na je yuko eligible kuomba mkopo?
Wasiwasi wake anahofia kuingia gharama ya 60,000/= alafu ikala kwake.Msaada wa mawazo kutoka kwenu utamsaidia sana.
Wasiwasi wake anahofia kuingia gharama ya 60,000/= alafu ikala kwake.Msaada wa mawazo kutoka kwenu utamsaidia sana.