mtvbase
JF-Expert Member
- May 22, 2014
- 1,243
- 561
Mimi kama mwalimu wa sekondari na niliyefundisha wanafunzi wa acsee 2014 nimefarijika sana na matokeo haya.imeonesha ni jinsi gani walimu tumejituma mpaka uwezo wetu wa mwisho kuhakikisha elimu ya Tanzania inakuwa bora.na kwa niaba ya walimu wenzangu nataka niwahakikishie watanzania yafuatayo
ACSEE 2015 ufaulu utakuwa 100%(kumbuka 2015 ni mwaka wa uchaguzi)
ACSEE 2015 ufaulu utakuwa 100%(kumbuka 2015 ni mwaka wa uchaguzi)