Kwa matokeo haya naweza kwenda advance kwenye shule za serekali na kwa kozi gani?

Kwa matokeo haya naweza kwenda advance kwenye shule za serekali na kwa kozi gani?

joku

New Member
Joined
Jan 29, 2025
Posts
1
Reaction score
1
Habari zenu wapendwa mimi nimemaliza form four mwaka wa jana matokeo yametoka mwaka huu sasa nilikuwa na omba kuuliza kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa kidato cha tano katika shule za serikali na kama ndio kwa combination gani ? matokeo yenyewe ni MATHEMATICS (C) , CHEMISTRY (C) , BIOLOGY (C), PHYSICS (D) , KISWAHILI (C), GEOGRAPHY (D) HISTORY (D) , ENGLISH (D), CIVIC (🫣) . naombeni msaada wenu jamani
 
Habari zenu wapendwa mimi nimemaliza form four mwaka wa jana matokeo yametoka mwaka huu sasa nilikuwa na omba kuuliza kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa kidato cha tano katika shule za serikali na kama ndio kwa combination gani ? matokeo yenyewe ni MATHEMATICS (C) , CHEMISTRY (C) , BIOLOGY (C), PHYSICS (D) , KISWAHILI (C), GEOGRAPHY (D) HISTORY (D) , ENGLISH (D), CIVIC (🫣) . naombeni msaada wenu jamani
UNAWEZA KWENDA KUFUATANA UFAULU WA MWAKA HUSIKA. KAMA WAMEFAULU SANA KAMA MWAKA HUU,INAWEZA KUWA SHIDA.
Pili, wewe mwenyewe unataka kuwa nani( future anticipated expertise)...from there utapata ushauri
 
UNAWEZA KWENDA KUFUATANA UFAULU WA MWAKA HUSIKA. KAMA WAMEFAULU SANA KAMA MWAKA HUU,INAWEZA KUWA SHIDA.
Pili, wewe mwenyewe unataka kuwa nani( future anticipated expertise)...from there utapata ushauri
Mwambie mbowe arudishe mali
 
Habari zenu wapendwa mimi nimemaliza form four mwaka wa jana matokeo yametoka mwaka huu sasa nilikuwa na omba kuuliza kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa kidato cha tano katika shule za serikali na kama ndio kwa combination gani ? matokeo yenyewe ni MATHEMATICS (C) , CHEMISTRY (C) , BIOLOGY (C), PHYSICS (D) , KISWAHILI (C), GEOGRAPHY (D) HISTORY (D) , ENGLISH (D), CIVIC (🫣) . naombeni msaada wenu jamani
Yaani hadi sasa hujui unataka kusomea nini? Hii ni ajabu kweli! Nakumbuka zamani kuna zile selection forms tulikuwa tunajaza combinations ( tahasusi) za masomo mwanafunzi anapenda kusoma À Level kabisa kabla au baada ya kufanya mitihani. Je, siku hizi hamzaji?
 
Three ya 23 kama msichana utabahatisha
Mvulana hupati nafasi.


Jiandae kuchaguliwa chuo Cha kati
 
Back
Top Bottom