Kwa matokeo ya kidato cha 4, sisi kama taifa ni vilaza wakubwa

Kwa matokeo ya kidato cha 4, sisi kama taifa ni vilaza wakubwa

hesabu ya kuhesabu pesa inatosha, hata king musukuma wa la saba anajua kuhesabu pesa, yanini mnawafokea madogo walo feli hesabu ya form four wakati ya la saba inawatosha?

wewe nakujua kote mahesabu, unamzidi king musukuma, Rostam Aziz au bakhresa kuhesabu pesa? kama huna pesa zaidi yao huo utalaamu wako wa mahesabu unakusaidia nini kama sio pambio tuu?
Tatizo la kutojua hesabu ndilo linakufanya uchague la saba wawili watatu waliofanikiwa, kisha ugeneralize kuwa hesabu za la saba zinatosha kumfanya mtu afanikiwe.
 
We ndio popoma lisilofundishika ndio mnaowakatikatisha tamaa na upumbavu wenu halafu unajiita mwamba 777? Nyie mnatakiwa mtengewe eneo lenu maalum mjitekenye wenyewe. Bill Gates bila hesabu angeendaje kusoma Computer Science? Tena chuo kikuu bora duniani Havard. Angewezaje Computer Programming iliyomwezesha kutengeneza Operating system ya kwanza duniani iitwayo Microsoft DOS? Km ulishindwa shule kaa kimya usisambaze ujinga.
Wanahisi labda bilgeti amepata pesa kupitia ulozi hizo ndiyo akili za wabongo walio wengi
 
Wee mpaka leo hii hapo ulipo, kung'ang'ana kwako na hesabu ushamfikia Billgates? Hiyo hesabu imekusaidia nini?

Ukishajua kuhesabu pesa, hiyo ni hesabu tosha, mengine mbwembwe tuu.

Kwanza mnawafokea watoto wasome, afu wanaokuja kuajiriwa vilaza, form four failure. Wasomi kibao tuu wapo mitaani wakiwemo wanamahesabu.
Vilaza tz ni wengi kuliko nilivyofikiri 😂😂😂
 
Back
Top Bottom