Kwa matokeo ya kidato cha 4, sisi kama taifa ni vilaza wakubwa

Tatizo la kutojua hesabu ndilo linakufanya uchague la saba wawili watatu waliofanikiwa, kisha ugeneralize kuwa hesabu za la saba zinatosha kumfanya mtu afanikiwe.
 
Wanahisi labda bilgeti amepata pesa kupitia ulozi hizo ndiyo akili za wabongo walio wengi
 
Vilaza tz ni wengi kuliko nilivyofikiri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…