Kwa mauaji yanayotokea vituo vya polisi kama vile polisi wamegeuka serial killers

Kwa mauaji yanayotokea vituo vya polisi kama vile polisi wamegeuka serial killers

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Nani anapenda kumzika ndugu yake ambaye amepoteza uhai kabla Mungu hajamuita. Mbaya zaidi wanaokuwa wamemuua hawachuliwa hatua kisheria.

Kila siku kukicha tunasikia vyombo habari watuhumiwa kujinyonga selo za polisi katika mazingira ambayo tafakuri ikifanyika watu hawapati majibu.

Tukio la binti anayeeleza kuwa baba yake alivuliwa nguo mbele yake kisha na yeye binti kulazimishwa kuvua ili alale na binti yake ni kinyume cha haki za binadamu na hata katiba ya JMT. Ibara ya 12(1) ya katiba ya JMT ipo wazi kabisa kuwa kila Mtanzania ana haki ya kuheshimiwa utu wake.

Sasa kama katiba inapindishwa na wananchi hatuna mamlaka juu ya kudai haki zetu kwa nini tuwe na katiba ya hivi.

Tuwe na katiba ambayo itatumpa mamlaka ya kudai haki zetu iwapo ndugu zetu wanauawa na watu ambao hawachukuliwi hatua.

Mwaka huu tupate katiba mpya ili tudai haki zetu.
 
Watanzania wakisikia marekani mtu mweusi amepigwa na polisi, wao wanaweka hashtag kwenye Twitter lakini kwao polisi wanabaka wapo kimya, wasanii wapo kimya,diamond yupo kimya, Maaskofu wapo kimya,waandishi wa habari wapo kimya, waliosoma vyuoni wapo kimya,TLS wapo kimya aisee
 
Watanzania wakisikia marekani mtu mweusi amepigwa na polisi ,wao wanaweka hashtag kwenye Twitter lakini kwao polisi wanabaka wapo kimya,wasanii wapo kimya,diamond yupo kimya,Maaskofu wapo kimya,waandishi wa habari wapo kimya,waliosoma vyuoni wapo kimya,TLS wapo kimya aisee
 
Nani anapenda kumzika ndugu yake ambaye amepoteza uhai kabla Mungu hajamuita. Mbaya zaidi wanaokuwa wamemuua hawachuliwa hatua kisheria.

Kila siku kukicha tunasikia vyombo habari watuhumiwa kujinyonga selo za polisi katiaka mazingira ambayo tafakuri ikifanyika watu hawapati majibu.

Tukio la binti anayeeleza kuwa baba yake alivuliwa nguo mbele yake kisha na yeye binti kulazimishwa kuvua ili alale ba binti yake ni kinyume cha haki za binadamu na hata katiba ya JMT. Ibara ya 12(1) ya katiba ya JMT ipo wazi kabisa kuwa kila mtanzania ana haki ya kuheshimiwa utu wake.

Sasa kama katiba inapindishwa na wananchi hatuna mamlaka juu ya kudai haki zetu kwa nini tuwe na katiba ya hivi.

Tuwe na katiba ambayo itatumpa mamlaka ya kudai haki zetu iwapo ndugu zetu wanauwawa na watu ambao hawachukuliwi hatua.

Mwaka huu tupate katiba mpya ili tudai haki zetu.
Polisi waasi Wana njama za kuharibu kazi ya Wambura
 
Hawaharibu kazi ya Wambura wanaharibu kura za Mama anatakiwa kutofumbia macho unyama huu.
 
Hakuna panya road hii ni .mbinu ya kisiasa ya destabilize uongozi baada ya kushughulikia mambo ya muhimu aanze kushughulikia vitu vidogo. Polisi Tumieni akili zaizi kuliko nguvu. Hahati mbaya tu Waziri alisema kwamba mnaochukuliwa kwenye jeshi hili ni wale mliofeli, kataeni kwa vitendo tumieni intelijensia zaidi kuliko nguvu.
Msaidieni Rais kwa kazi za weredi.
 
Nani anapenda kumzika ndugu yake ambaye amepoteza uhai kabla Mungu hajamuita. Mbaya zaidi wanaokuwa wamemuua hawachuliwa hatua kisheria.

Kila siku kukicha tunasikia vyombo habari watuhumiwa kujinyonga selo za polisi katika mazingira ambayo tafakuri ikifanyika watu hawapati majibu.

Tukio la binti anayeeleza kuwa baba yake alivuliwa nguo mbele yake kisha na yeye binti kulazimishwa kuvua ili alale na binti yake ni kinyume cha haki za binadamu na hata katiba ya JMT. Ibara ya 12(1) ya katiba ya JMT ipo wazi kabisa kuwa kila Mtanzania ana haki ya kuheshimiwa utu wake.

Sasa kama katiba inapindishwa na wananchi hatuna mamlaka juu ya kudai haki zetu kwa nini tuwe na katiba ya hivi.

Tuwe na katiba ambayo itatumpa mamlaka ya kudai haki zetu iwapo ndugu zetu wanauawa na watu ambao hawachukuliwi hatua.

Mwaka huu tupate katiba mpya ili tudai haki zetu.
Tunashindwa kuelewa lini jeshi la polisi limekuwa Mahakama na vipi wananchi wenye hasira kali watazuiwa wasichukue sheria mkononi? Huu uchochezi wa makusudi ufanywao na chombo hichi cha dola unapaswa kukemewa Usijepelekea ghasia na uchukuaji wa sheria mkononi, ile misamiati ya mshukiwa, mtuhumiwa na mshtakiwa kisha mwenye hatia na Asiye na hatia tuifiche wapi? Nani kawapa Mamlaka ya kujinadi hadharani kwamba wamechukua sheria mkononi? Nani Ataweza zuia Raia wakianza kufuata mkondo huohuo?!!
 
Panyaroad mmeenza kulia Lia mitandaoni
Tulieni TULI dawa iwaingie UMBWA NYIE[emoji34]
Umeshajiuliza yule Padri wa Katoliki kule Moshi angeuwawa na Raia serilikali ingetazamwa vipi? Hebu toka nje ya box hizi double standard na mihemko ni dalili za unyonge na utapiamlo
 
Wameua Hadi Watu wa kawaida kwa kisingizio Cha Panyaroad, anyway siku akiuliwa Ndugu yake NDIO waatajua kuwa Polisi Tanza-nia ni genge la Majambazi
Nawewe siku ukiingia kwenye mikono ya panya road ndo utajua panyarodi ni genge la waburudishaji
 
Kama wameuliwa wasio na hatia hilo litazamwe.

Kwa watenda maovu haswa majambazi na panya road wauwawe tu tena wauawe kweli kweli.

Haki za binadamu zinamfaa anayejali haki za wenzie, kama hujali haki za wenzio kwa kupora mali zao ukiwaacha vilema au kuua kabisa hustahili kupewa haki chini ya jua na zawadi yako nikifo tu.
 
Back
Top Bottom