Kwa Mazingira niliyokutana na huyu binti sikuamini kama atakuwa hivi

Kwa Mazingira niliyokutana na huyu binti sikuamini kama atakuwa hivi

😂😂😂umetongoza leo kesho yake ukapewa mzigo,, eeeh kwakweli shetani akizeeka huwa malaika hongera yako kumpata shetani mzee
 
😂😂😂umetongoza leo kesho yake ukapewa mzigo,, eeeh kwakweli shetani akizeeka huwa malaika hongera yako kumpata shetani mzee
Ebu futa hiyo kauli ya shetani mzee
 
Simple sana, huyo demu kwao wamemshindwa, hana kwa kwenda, hata ghetto alilokupeleka kuna aslimia kubwa sio kwake, huyo demu amekuzid ujanja sana, na hapo kwako amepata sehemu ya uhakika ya kula na kulala. Usije ukajiroga kumuanzishia biashara au kumpa mtaji.
 
Simple sana, huyo demu kwao wamemshindwa, hana kwa kwenda, hata ghetto alilokupeleka kuna aslimia kubwa sio kwake, huyo demu amekuzid ujanja sana, na hapo kwako amepata sehemu ya uhakika ya kula na kulala. Usije ukajiroga kumuanzishia biashara au kumpa mtaji.
Mbona mnamtazamo wa negativity Sana huyo demu anafanya kazi ni muajiriwa wa Serikalini
 
Mkuu natumaini bado unaendelea kula Mema ya Nchi hii....

Ukiona badiliko lolote usisite kutujulisha Wajumbe na kama kuna lolote utahitaji tukushauri tuko pamoja...

Stay Taliban,, Enjoy Love
 
Lakini mkuu wewe si una mke

IMG_7548.jpg
 
Habari wanajf

Ndugu zanguni nilipitia mahusiano ambayo yalinipa stress Sana drama zilikuwa haziishi kutokana na hivyo ikanifanya niachane na huyo binti na ikapelekea nijipe break kidogo ya mahusiano. Ilinichukua miezi 6 bila kuwa na mahusiano wala kufanya mapenzi.

Kama binadamu wengine nikawa nina nyege na ukizingatia nipo single nyege zangu zikanipelekea niwe na wazo lakuomba mzigo siku moja hiyo hiyo kwa demu yoyote. Wakati napita zangu nikamuona binti mkali kutokana na uzuri wenye viwango vya 4k kwenye akili ya kawaida nikawaza ninaweza kutoswa lakini nikajaribu bahati nikamwita demu akaitika nikamuomba niongee naye demu akanisikiliza kwenye Hili lazima uwe na technique nikaongea naye Sana na kuna maswali akaniuliza me nikamjibu vizuri the end demu akanikubalia yaani sikuamini macho yangu ila akaniambia tusifanye leo kuna sehemu anaenda akasema nimpe no yangu atanicheki kesho sawa nami nikampa, kitu ambacho kinishangaza zaidi demu hakunipa hata condition labda nitoe hela kama msemo wa mademu wa sasa hakuna mbususu ya bure Tena hiyo ulikuwa j'5.

Kesho Alhamisi ikafika nilisubiri mpaka inaenda saa 11 Jioni demu hajanipigia na nikajaribu kupiga simu inaita lakini haipokelewi nikajiongeza hapa nimepigwa changa la macho ilivyofika saa 1 usiku yule demu akanipigia Tena hapo nilikuwa nimekata tamaa nikapokea akaniambia nipo wapi nije duh nilifurahi Sana na hapo hakuniomba hela yeyote hata nauli.

Wakati namsubiria manzi ikabidi niwashilikishe baadhi ya wadau wangu kwenye Hili kuanzia mwanzo mpaka mwisho wengi wao wakaniambia hapo kuna namna haiwezekani demu akupe mbususu bure Tena hakujui may be ana ukimwi anatafuta mtu wakufanae wakanishauri Cha msingi kabla ujafanya naye kapime nae.

Baada ya muda kupita demu akafika nikamchukua stendi nikamwambia ni vizuri tupitie sehemu tukapime maana mimi sipendelei kutumia condom demu akakubali tukapima tukakutwa na negative wote so nikampeleka mpaka ghetto langu demu yupo vizuri ile mbaya alinipa show ya kibabe Sana nimetoka pale nimeridhika kabisa nilimtoa usiku Sana so nikamtafutia bajaji nikamlipa bajaji amfikishe mpaka anapo kaa na nilimpa yule demu elfu 35 akaniuliza ya nini? Me nikamjibu hii ni kama Asante pokea tu usijali nitafurahi Sana utachukua demu akakubali akachukua.

Siku ya jumamosi baada ya kupita siku moja tangu nimfumue yule yule demu akanipigia anataka aje home duh ilinishangaza cos nilijua ilishipita tumeshamalizana nikamwambia aje nikamgonga na nililala nae mpaka kesho akanipikia chai ikabidi nimuulize swali vipi unakaa na boyfriend wako au mnakaa sehemu tofauti? demu akanijibu me nipo single nikastuka kidogo nikawa naona kama ananidanganya hivi binafsi sikutegemea maana demu ni mzuri mno kama ni level yupo kwenye most beautiful halafu yupo full package katika wanawake niliwahikudate nao ingawa ni wazuri ila hawajafika level ya huyu demu kwanza ana uzuri wa asili halafu ukichanganya na rangi ya mtume kwa msemo wa mtaani inakuwa balaa sasa. Demu akaniuliza Tena nifanye nini uliuniamini kwamba mimi nipo single but the end nikakubali nikaongea mambo mengi Sana siku ile tukaanza kufahamiana zaidi.

Siku nyingine aliniomba niende kwake nikaenda siku hiyo hiyo akaniambia mimi nataka niishi na wewe hii kukutanakutana sio nzuri Sana kama itakupendeza uishi kwangu Hilo nililikataa nikamwambia utaishi kwenye ghetto langu mrembo akakubali tangu siku hii mpaka Leo ndio mpenzi natunakaribia mwaka hivi kwenye mahusiano

NB: Tangu nimedate na wanawake tofauti huyu ndio mwanamke wangu Bora Sana kuliko yoyote na ndio mahusiano yangu ninayoyafurahia Sana ninakula mahaba Sana na sio kwamba nina kipato kikubwa la hasha nina kipato Cha kawaida mwanamke amezama kwangu kimapenzi nami nimezama kwake. Ninalishwa, nikirudi home kabla yake ninavuliwa shati, ninafuliwa nguo sometimes nafanyiwa massage na ndio mwanamke nategemea kumuoa changamoto ni moja tu me ni mkristo wakati yeye ni muislamu halafu kwao wanaimani Kali Sana

Saint Anne
Darmian
DeepPond
Sky Eclat
Yna2
Shunie
Mzigua90
Kunguru wa Manzese
to yeye
Zero IQ
Mshana Jr
Carleen
Amehlo
Joanah
Bandiko lako ni batili yaan umetag wote umemwacha mzabzab
 
Mkuu natumaini bado unaendelea kula Mema ya Nchi hii....

Ukiona badiliko lolote usisite kutujulisha kama kuna lolote utahitaji tukushauri...

Stay Taliban,, Enjoy the Love
Daah
 
😂😂😂umetongoza leo kesho yake ukapewa mzigo,, eeeh kwakweli shetani akizeeka huwa malaika hongera yako kumpata shetani mzee
Shetani kijana/mdogo angetoa mzigo baada ya siku ngapi tangu alipotongozwa?.
 
Mwanamke pisi kasi alafu wew ndo unampenda Zaidi ya yeye anavyokupendaa... Ukioaa lazima udateee yangi ukiteleza tu kidogo utasikia Tuachanee
 
Mikishaanza kuingiza Imani zenu ndio linaanza tatizo.

Mimi nikipata mwanamke mwenye viwango vya kuwa mke mwema na mama Bora wa familia nitabadili hio dini nimfuate

I don't care mambo ya dini.

Siku hizi watu hawaaminiki kabisa haijalishi ana swali au anasali wapi.

Ikishindikana nitabaki kama nilivyo.
 
Mikishaanza kuingiza Imani zenu ndio linaanza tatizo.

Mimi nikipata mwanamke mwenye viwango vya kuwa mke mwema na mama Bora wa familia nitabadili hio dini nimfuate

I don't care mambo ya dini.

Siku hizi watu hawaaminiki kabisa haijalishi ana swali au anasali wapi.

Ikishindikana nitabaki kama nilivyo.
Dini ni imani yako wewe binafsi kwa maana ya nafsi yako na Mungu wako, vinginevyo ni sawa na vikundi tu vya kuchangisha watu kwa kuwashawishi wachangie kwa hiyari yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mikishaanza kuingiza Imani zenu ndio linaanza tatizo.

Mimi nikipata mwanamke mwenye viwango vya kuwa mke mwema na mama Bora wa familia nitabadili hio dini nimfuate

I don't care mambo ya dini.

Siku hizi watu hawaaminiki kabisa haijalishi ana swali au anasali wapi.

Ikishindikana nitabaki kama nilivyo.
Mkuu huo ujasiri wa kiwango Cha dunia vipi kuhusu familia yako hapa namaanisha Wazazi wako na ndugu zako au hawa wewe huwafikirii kwenye hayo maamuzi yako unadhani watakubali mtoto wao habadilishe dini kirahisi rahisi tu?
 
Back
Top Bottom