Kwa Mazingira niliyokutana na huyu binti sikuamini kama atakuwa hivi

Kwa Mazingira niliyokutana na huyu binti sikuamini kama atakuwa hivi

Habari wanajf

Nduguzanguni nilipitia mahusiano ambayo yalinipa stress Sana drama zilikuwa haziishi kutokana na hivyo ikanifanya niachane na huyo binti na ikapelekea nijipe break kidogo ya mahusiano.
Ilinichukua miezi 6 bila kuwa na mahusiano wala kufanya mapenzi.

kama binadamu wengine nikawa nina nyege na ukizingatia nipo single nyege zangu zikanipelekea niwe na wazo lakuomba mzigo siku moja hiyo hiyo kwa demu yoyote.Wakati napita zangu nikamuona binti mkali kutokana na uzuri wenye viwango vya 4k kwenye akili ya kawaida nikawaza ninaweza kutoswa lakini nikajaribu bahati nikamwita demu akaitika nikamuomba niongee naye demu akanisikiliza kwenye Hili lazima uwe na technique nikaongea naye Sana na kuna maswali akaniuliza me nikamjibu vizuri the end demu akanikubalia yaani sikuamini macho yangu ila akaniambia tusifanye leo kuna sehemu anaenda akasema nimpe no yangu atanicheki kesho sawa nami nikampa, kitu ambacho kinishangaza zaidi demu akunipa hata condition labda nitoe hela kama msemo wa mademu wa sasa hakuna mbususu ya bure Tena hiyo ulikuwa j'5.

Kesho Alhamisi ikafika nilisubiri mpaka inaenda saa 11 Jioni demu hajanipigia na nikajaribu kupiga simu inaita lakini haipokelewi nikajiongeza hapa nimepigwa changa la macho ilivyofika saa 1 usiku yule demu akanipigia Tena hapo nilikuwa nimekata tamaa nikapokea akaniambia nipo wapi nije duh nilifurahi Sana na hapo hakuniomba hela yeyote hata nauli.

Wakati namsubiria manzi ikabidi niwashilikishe baadhi ya wadau wangu kwenye Hili kuanzia mwanzo mpaka mwisho wengi wao wakaniambia hapo kuna namna haiwezekani demu akupe mbususu bure Tena hakujui may be ana ukimwi anatafuta mtu wakufanae wakanishauri Cha msingi kabla ujafanya naye kapime nae.


Baada ya muda kupita demu akafika nikamchukua stendi nikamwambia ni vizuri tupitie sehemu tukapime maana mimi sipendelei kutumia condom demu akakubali tukapima tukakutwa na negative wote so nikampeleka mpaka ghetto langu demu yupo vizuri ile mbaya alinipa show ya kibabe Sana nimetoka pale nimeridhika kabisa nilimtoa usiku Sana so nikamtafutia bajaji nikamlipa bajaji amfikishe mpaka anapo kaa na nilimpa yule demu elfu 35 akaniuliza ya nini? Me nikamjibu hii ni kama Asante pokea tu usijali nitafurahi Sana utachukua demu akakubali akachukua.

siku ya jumamosi baada ya kupita siku moja tangu nimfumue yule yule demu akanipigia anataka aje home duh ilinishangaza cos nilijua ilishipita tumeshamalizana nikamwambia aje nikamgonga na nililala nae mpaka kesho akanipikia chai ikabidi nimuulize swali vip unakaa na boyfriend wako au mnakaa sehemu tofauti? demu akanijibu me nipo single nikastuka kidogo nikawa naona kama ananidanganya hivi binafsi sikutegemea maana demu ni mzuri mno kama ni level yupo kwenye most beautiful alafu yupo full package katika wanawake niliwahikudate nao ingawa ni wazuri ila hawajafika level ya huyu demu kwanza ana uzuri wa asili alafu ukichanganya na rangi ya mtume kwa msemo wa mtaani inakuwa balaa sasa.Demu akaniuliza Tena nifanye nini uliuniamini kwamba mimi nipo single but the end nikakubali nikaongea mambo mengi Sana siku ile tukaanza kufahamiana zaidi.

siku nyingine aliniomba niende kwake nikaenda siku hiyo hiyo akaniambia mimi nataka niishi na wewe hii kukutanakutana sio nzuri Sana kama itakupendeza uishi kwangu Hilo nililikataa nikamwambia utaishi kwenye ghetto langu mrembo akakubali tangu siku hii mpaka Leo ndio mpenzi natunakaribia mwaka hivi kwenye mahusiano


NB: Tangu nimedate na wanawake tofauti huyu ndio mwanamke wangu Bora Sana kuliko yoyote na ndio mahusiano yangu ninayoyafurahia Sana ninakula mahaba Sana na sio kwamba nina kipato kikubwa la hasha nina kipato Cha kawaida mwanamke amezama kwangu kimapenzi nami nimezama kwake.Ninalishwa, nikirudi home kabla yake ninavuliwa shati, ninafuliwa nguo sometimes nafanyiwa massage na ndio mwanamke nategemea kumuoa changamoto ni moja tu me ni mkristo wakati yeye ni muislamu alafu kwao wanaimani Kali Sana

Saint Anne
Darmian
DeepPond
Sky Eclat
Yna2
Shunie
Mzigua90
Kunguru wa Manzese
to yeye
Zero IQ
Mshana Jr
Carleen
Amehlo
Joanah
Mungu amekukutanisha na Mke wa maisha. Sasa fanye uzembe tena. Maana wanaume wa siku hizi vichwa mnavijua wenyewe.
 
Habari wanajf

Nduguzanguni nilipitia mahusiano ambayo yalinipa stress Sana drama zilikuwa haziishi kutokana na hivyo ikanifanya niachane na huyo binti na ikapelekea nijipe break kidogo ya mahusiano.
Ilinichukua miezi 6 bila kuwa na mahusiano wala kufanya mapenzi.

kama binadamu wengine nikawa nina nyege na ukizingatia nipo single nyege zangu zikanipelekea niwe na wazo lakuomba mzigo siku moja hiyo hiyo kwa demu yoyote.Wakati napita zangu nikamuona binti mkali kutokana na uzuri wenye viwango vya 4k kwenye akili ya kawaida nikawaza ninaweza kutoswa lakini nikajaribu bahati nikamwita demu akaitika nikamuomba niongee naye demu akanisikiliza kwenye Hili lazima uwe na technique nikaongea naye Sana na kuna maswali akaniuliza me nikamjibu vizuri the end demu akanikubalia yaani sikuamini macho yangu ila akaniambia tusifanye leo kuna sehemu anaenda akasema nimpe no yangu atanicheki kesho sawa nami nikampa, kitu ambacho kinishangaza zaidi demu akunipa hata condition labda nitoe hela kama msemo wa mademu wa sasa hakuna mbususu ya bure Tena hiyo ulikuwa j'5.

Kesho Alhamisi ikafika nilisubiri mpaka inaenda saa 11 Jioni demu hajanipigia na nikajaribu kupiga simu inaita lakini haipokelewi nikajiongeza hapa nimepigwa changa la macho ilivyofika saa 1 usiku yule demu akanipigia Tena hapo nilikuwa nimekata tamaa nikapokea akaniambia nipo wapi nije duh nilifurahi Sana na hapo hakuniomba hela yeyote hata nauli.

Wakati namsubiria manzi ikabidi niwashilikishe baadhi ya wadau wangu kwenye Hili kuanzia mwanzo mpaka mwisho wengi wao wakaniambia hapo kuna namna haiwezekani demu akupe mbususu bure Tena hakujui may be ana ukimwi anatafuta mtu wakufanae wakanishauri Cha msingi kabla ujafanya naye kapime nae.


Baada ya muda kupita demu akafika nikamchukua stendi nikamwambia ni vizuri tupitie sehemu tukapime maana mimi sipendelei kutumia condom demu akakubali tukapima tukakutwa na negative wote so nikampeleka mpaka ghetto langu demu yupo vizuri ile mbaya alinipa show ya kibabe Sana nimetoka pale nimeridhika kabisa nilimtoa usiku Sana so nikamtafutia bajaji nikamlipa bajaji amfikishe mpaka anapo kaa na nilimpa yule demu elfu 35 akaniuliza ya nini? Me nikamjibu hii ni kama Asante pokea tu usijali nitafurahi Sana utachukua demu akakubali akachukua.

siku ya jumamosi baada ya kupita siku moja tangu nimfumue yule yule demu akanipigia anataka aje home duh ilinishangaza cos nilijua ilishipita tumeshamalizana nikamwambia aje nikamgonga na nililala nae mpaka kesho akanipikia chai ikabidi nimuulize swali vip unakaa na boyfriend wako au mnakaa sehemu tofauti? demu akanijibu me nipo single nikastuka kidogo nikawa naona kama ananidanganya hivi binafsi sikutegemea maana demu ni mzuri mno kama ni level yupo kwenye most beautiful alafu yupo full package katika wanawake niliwahikudate nao ingawa ni wazuri ila hawajafika level ya huyu demu kwanza ana uzuri wa asili alafu ukichanganya na rangi ya mtume kwa msemo wa mtaani inakuwa balaa sasa.Demu akaniuliza Tena nifanye nini uliuniamini kwamba mimi nipo single but the end nikakubali nikaongea mambo mengi Sana siku ile tukaanza kufahamiana zaidi.

siku nyingine aliniomba niende kwake nikaenda siku hiyo hiyo akaniambia mimi nataka niishi na wewe hii kukutanakutana sio nzuri Sana kama itakupendeza uishi kwangu Hilo nililikataa nikamwambia utaishi kwenye ghetto langu mrembo akakubali tangu siku hii mpaka Leo ndio mpenzi natunakaribia mwaka hivi kwenye mahusiano


NB: Tangu nimedate na wanawake tofauti huyu ndio mwanamke wangu Bora Sana kuliko yoyote na ndio mahusiano yangu ninayoyafurahia Sana ninakula mahaba Sana na sio kwamba nina kipato kikubwa la hasha nina kipato Cha kawaida mwanamke amezama kwangu kimapenzi nami nimezama kwake.Ninalishwa, nikirudi home kabla yake ninavuliwa shati, ninafuliwa nguo sometimes nafanyiwa massage na ndio mwanamke nategemea kumuoa changamoto ni moja tu me ni mkristo wakati yeye ni muislamu alafu kwao wanaimani Kali Sana

Saint Anne
Darmian
DeepPond
Sky Eclat
Yna2
Shunie
Mzigua90
Kunguru wa Manzese
to yeye
Zero IQ
Mshana Jr
Carleen
Amehlo
Joanah
Mkono mtupu Aulambwi em weka kapicha kake tukupe credit mkuu
 
Anakuvutia pumzi akupeleke kwao baharini ukatambulishwe. AMINI
Kuwa makini majini watu Ni 15% kwa sasa
 
Ameleta togwa nyingine! Wamemvutia file lake la zamani!! Ambalo ana mke.
Huyu mwanamke ndio yule yule na Sheria za nchi zinasema ukishakuwa na mahusiano na mwanamke yanayofika mwaka huyo anakuwa mke wako bila kujali kwamba umeoa mwamba unakwama wapi?
 
Anakuvutia pumzi akupeleke kwao baharini ukatambulishwe. AMINI
Kuwa makini majini watu Ni 15% kwa sasa
Mzee baba nimeishi nae imepita mwaka sasa hivi hivyo vitu unavyozungumza havipo jini ajifichi utamjua tu kwa vitendo
 
Hapana mimi ni mwanaume hasa
Sawa mkuu uwe na imani mzee huyo mwanamke nimeshapanga kumuoa nimeona anastahili siwezi kufanya mambo tofauti na hapo ananithamini, ananiheshimu na ana upendo wa kweli na pia smart kichwani ana sifa zote ninazohitaji kwa mwanamke wa kuoa
 
Sawa mkuu uwe na imani mzee huyo mwanamke nimeshapanga kumuoa nimeona anastahili siwezi kufanya mambo tofauti na hapo ananithamini, ananiheshimu na ana upendo wa kweli na pia smart kichwani ana sifa zote ninazohitaji kwa mwanamke wa kuoa
Kuna wadau wamechimbua kaburi kule nyuma imeonekana ulishaoa. Kuna ukweli wowote au tuache tu kama stori?
 
Kuna wadau wamechimbua kaburi kule nyuma imeonekana ulishaoa. Kuna ukweli wowote au tuache tu kama stori?
Huyo mwanamke ndio huyu huyu nilioandika kwenye Huu uzi mimi namwita mke wangu sio kwasababu nimeoa la hasha ni kwasababu ninaishi nae mwaka umeshapita na Sheria za nchi zinasema ukiishi na mwanamke yoyote ndani ya mwaka mmoja kisheria huyo anakuwa mke wako sasa huyo mdau nazani kakurupuka ajasoma vizuri uzi
 
Habari wanajf

Nduguzanguni nilipitia mahusiano ambayo yalinipa stress Sana drama zilikuwa haziishi kutokana na hivyo ikanifanya niachane na huyo binti na ikapelekea nijipe break kidogo ya mahusiano.
Ilinichukua miezi 6 bila kuwa na mahusiano wala kufanya mapenzi.

kama binadamu wengine nikawa nina nyege na ukizingatia nipo single nyege zangu zikanipelekea niwe na wazo lakuomba mzigo siku moja hiyo hiyo kwa demu yoyote.Wakati napita zangu nikamuona binti mkali kutokana na uzuri wenye viwango vya 4k kwenye akili ya kawaida nikawaza ninaweza kutoswa lakini nikajaribu bahati nikamwita demu akaitika nikamuomba niongee naye demu akanisikiliza kwenye Hili lazima uwe na technique nikaongea naye Sana na kuna maswali akaniuliza me nikamjibu vizuri the end demu akanikubalia yaani sikuamini macho yangu ila akaniambia tusifanye leo kuna sehemu anaenda akasema nimpe no yangu atanicheki kesho sawa nami nikampa, kitu ambacho kinishangaza zaidi demu akunipa hata condition labda nitoe hela kama msemo wa mademu wa sasa hakuna mbususu ya bure Tena hiyo ulikuwa j'5.

Kesho Alhamisi ikafika nilisubiri mpaka inaenda saa 11 Jioni demu hajanipigia na nikajaribu kupiga simu inaita lakini haipokelewi nikajiongeza hapa nimepigwa changa la macho ilivyofika saa 1 usiku yule demu akanipigia Tena hapo nilikuwa nimekata tamaa nikapokea akaniambia nipo wapi nije duh nilifurahi Sana na hapo hakuniomba hela yeyote hata nauli.

Wakati namsubiria manzi ikabidi niwashilikishe baadhi ya wadau wangu kwenye Hili kuanzia mwanzo mpaka mwisho wengi wao wakaniambia hapo kuna namna haiwezekani demu akupe mbususu bure Tena hakujui may be ana ukimwi anatafuta mtu wakufanae wakanishauri Cha msingi kabla ujafanya naye kapime nae.


Baada ya muda kupita demu akafika nikamchukua stendi nikamwambia ni vizuri tupitie sehemu tukapime maana mimi sipendelei kutumia condom demu akakubali tukapima tukakutwa na negative wote so nikampeleka mpaka ghetto langu demu yupo vizuri ile mbaya alinipa show ya kibabe Sana nimetoka pale nimeridhika kabisa nilimtoa usiku Sana so nikamtafutia bajaji nikamlipa bajaji amfikishe mpaka anapo kaa na nilimpa yule demu elfu 35 akaniuliza ya nini? Me nikamjibu hii ni kama Asante pokea tu usijali nitafurahi Sana utachukua demu akakubali akachukua.

siku ya jumamosi baada ya kupita siku moja tangu nimfumue yule yule demu akanipigia anataka aje home duh ilinishangaza cos nilijua ilishipita tumeshamalizana nikamwambia aje nikamgonga na nililala nae mpaka kesho akanipikia chai ikabidi nimuulize swali vip unakaa na boyfriend wako au mnakaa sehemu tofauti? demu akanijibu me nipo single nikastuka kidogo nikawa naona kama ananidanganya hivi binafsi sikutegemea maana demu ni mzuri mno kama ni level yupo kwenye most beautiful alafu yupo full package katika wanawake niliwahikudate nao ingawa ni wazuri ila hawajafika level ya huyu demu kwanza ana uzuri wa asili alafu ukichanganya na rangi ya mtume kwa msemo wa mtaani inakuwa balaa sasa.Demu akaniuliza Tena nifanye nini uliuniamini kwamba mimi nipo single but the end nikakubali nikaongea mambo mengi Sana siku ile tukaanza kufahamiana zaidi.

siku nyingine aliniomba niende kwake nikaenda siku hiyo hiyo akaniambia mimi nataka niishi na wewe hii kukutanakutana sio nzuri Sana kama itakupendeza uishi kwangu Hilo nililikataa nikamwambia utaishi kwenye ghetto langu mrembo akakubali tangu siku hii mpaka Leo ndio mpenzi natunakaribia mwaka hivi kwenye mahusiano


NB: Tangu nimedate na wanawake tofauti huyu ndio mwanamke wangu Bora Sana kuliko yoyote na ndio mahusiano yangu ninayoyafurahia Sana ninakula mahaba Sana na sio kwamba nina kipato kikubwa la hasha nina kipato Cha kawaida mwanamke amezama kwangu kimapenzi nami nimezama kwake.Ninalishwa, nikirudi home kabla yake ninavuliwa shati, ninafuliwa nguo sometimes nafanyiwa massage na ndio mwanamke nategemea kumuoa changamoto ni moja tu me ni mkristo wakati yeye ni muislamu alafu kwao wanaimani Kali Sana

Saint Anne
Darmian
DeepPond
Sky Eclat
Yna2
Shunie
Mzigua90
Kunguru wa Manzese
to yeye
Zero IQ
Mshana Jr
Carleen
Amehlo
Joanah
Habari wanajf

Nduguzanguni nilipitia mahusiano ambayo yalinipa stress Sana drama zilikuwa haziishi kutokana na hivyo ikanifanya niachane na huyo binti na ikapelekea nijipe break kidogo ya mahusiano.
Ilinichukua miezi 6 bila kuwa na mahusiano wala kufanya mapenzi.

kama binadamu wengine nikawa nina nyege na ukizingatia nipo single nyege zangu zikanipelekea niwe na wazo lakuomba mzigo siku moja hiyo hiyo kwa demu yoyote.Wakati napita zangu nikamuona binti mkali kutokana na uzuri wenye viwango vya 4k kwenye akili ya kawaida nikawaza ninaweza kutoswa lakini nikajaribu bahati nikamwita demu akaitika nikamuomba niongee naye demu akanisikiliza kwenye Hili lazima uwe na technique nikaongea naye Sana na kuna maswali akaniuliza me nikamjibu vizuri the end demu akanikubalia yaani sikuamini macho yangu ila akaniambia tusifanye leo kuna sehemu anaenda akasema nimpe no yangu atanicheki kesho sawa nami nikampa, kitu ambacho kinishangaza zaidi demu akunipa hata condition labda nitoe hela kama msemo wa mademu wa sasa hakuna mbususu ya bure Tena hiyo ulikuwa j'5.

Kesho Alhamisi ikafika nilisubiri mpaka inaenda saa 11 Jioni demu hajanipigia na nikajaribu kupiga simu inaita lakini haipokelewi nikajiongeza hapa nimepigwa changa la macho ilivyofika saa 1 usiku yule demu akanipigia Tena hapo nilikuwa nimekata tamaa nikapokea akaniambia nipo wapi nije duh nilifurahi Sana na hapo hakuniomba hela yeyote hata nauli.

Wakati namsubiria manzi ikabidi niwashilikishe baadhi ya wadau wangu kwenye Hili kuanzia mwanzo mpaka mwisho wengi wao wakaniambia hapo kuna namna haiwezekani demu akupe mbususu bure Tena hakujui may be ana ukimwi anatafuta mtu wakufanae wakanishauri Cha msingi kabla ujafanya naye kapime nae.


Baada ya muda kupita demu akafika nikamchukua stendi nikamwambia ni vizuri tupitie sehemu tukapime maana mimi sipendelei kutumia condom demu akakubali tukapima tukakutwa na negative wote so nikampeleka mpaka ghetto langu demu yupo vizuri ile mbaya alinipa show ya kibabe Sana nimetoka pale nimeridhika kabisa nilimtoa usiku Sana so nikamtafutia bajaji nikamlipa bajaji amfikishe mpaka anapo kaa na nilimpa yule demu elfu 35 akaniuliza ya nini? Me nikamjibu hii ni kama Asante pokea tu usijali nitafurahi Sana utachukua demu akakubali akachukua.

siku ya jumamosi baada ya kupita siku moja tangu nimfumue yule yule demu akanipigia anataka aje home duh ilinishangaza cos nilijua ilishipita tumeshamalizana nikamwambia aje nikamgonga na nililala nae mpaka kesho akanipikia chai ikabidi nimuulize swali vip unakaa na boyfriend wako au mnakaa sehemu tofauti? demu akanijibu me nipo single nikastuka kidogo nikawa naona kama ananidanganya hivi binafsi sikutegemea maana demu ni mzuri mno kama ni level yupo kwenye most beautiful alafu yupo full package katika wanawake niliwahikudate nao ingawa ni wazuri ila hawajafika level ya huyu demu kwanza ana uzuri wa asili alafu ukichanganya na rangi ya mtume kwa msemo wa mtaani inakuwa balaa sasa.Demu akaniuliza Tena nifanye nini uliuniamini kwamba mimi nipo single but the end nikakubali nikaongea mambo mengi Sana siku ile tukaanza kufahamiana zaidi.

siku nyingine aliniomba niende kwake nikaenda siku hiyo hiyo akaniambia mimi nataka niishi na wewe hii kukutanakutana sio nzuri Sana kama itakupendeza uishi kwangu Hilo nililikataa nikamwambia utaishi kwenye ghetto langu mrembo akakubali tangu siku hii mpaka Leo ndio mpenzi natunakaribia mwaka hivi kwenye mahusiano


NB: Tangu nimedate na wanawake tofauti huyu ndio mwanamke wangu Bora Sana kuliko yoyote na ndio mahusiano yangu ninayoyafurahia Sana ninakula mahaba Sana na sio kwamba nina kipato kikubwa la hasha nina kipato Cha kawaida mwanamke amezama kwangu kimapenzi nami nimezama kwake.Ninalishwa, nikirudi home kabla yake ninavuliwa shati, ninafuliwa nguo sometimes nafanyiwa massage na ndio mwanamke nategemea kumuoa changamoto ni moja tu me ni mkristo wakati yeye ni muislamu alafu kwao wanaimani Kali Sana

Saint Anne
Darmian
DeepPond
Sky Eclat
Yna2
Shunie
Mzigua90
Kunguru wa Manzese
to yeye
Zero IQ
Mshana Jr
Carleen
Amehlo
Joanah

Habari wanajf

Nduguzanguni nilipitia mahusiano ambayo yalinipa stress Sana drama zilikuwa haziishi kutokana na hivyo ikanifanya niachane na huyo binti na ikapelekea nijipe break kidogo ya mahusiano.
Ilinichukua miezi 6 bila kuwa na mahusiano wala kufanya mapenzi.

kama binadamu wengine nikawa nina nyege na ukizingatia nipo single nyege zangu zikanipelekea niwe na wazo lakuomba mzigo siku moja hiyo hiyo kwa demu yoyote.Wakati napita zangu nikamuona binti mkali kutokana na uzuri wenye viwango vya 4k kwenye akili ya kawaida nikawaza ninaweza kutoswa lakini nikajaribu bahati nikamwita demu akaitika nikamuomba niongee naye demu akanisikiliza kwenye Hili lazima uwe na technique nikaongea naye Sana na kuna maswali akaniuliza me nikamjibu vizuri the end demu akanikubalia yaani sikuamini macho yangu ila akaniambia tusifanye leo kuna sehemu anaenda akasema nimpe no yangu atanicheki kesho sawa nami nikampa, kitu ambacho kinishangaza zaidi demu akunipa hata condition labda nitoe hela kama msemo wa mademu wa sasa hakuna mbususu ya bure Tena hiyo ulikuwa j'5.

Kesho Alhamisi ikafika nilisubiri mpaka inaenda saa 11 Jioni demu hajanipigia na nikajaribu kupiga simu inaita lakini haipokelewi nikajiongeza hapa nimepigwa changa la macho ilivyofika saa 1 usiku yule demu akanipigia Tena hapo nilikuwa nimekata tamaa nikapokea akaniambia nipo wapi nije duh nilifurahi Sana na hapo hakuniomba hela yeyote hata nauli.

Wakati namsubiria manzi ikabidi niwashilikishe baadhi ya wadau wangu kwenye Hili kuanzia mwanzo mpaka mwisho wengi wao wakaniambia hapo kuna namna haiwezekani demu akupe mbususu bure Tena hakujui may be ana ukimwi anatafuta mtu wakufanae wakanishauri Cha msingi kabla ujafanya naye kapime nae.


Baada ya muda kupita demu akafika nikamchukua stendi nikamwambia ni vizuri tupitie sehemu tukapime maana mimi sipendelei kutumia condom demu akakubali tukapima tukakutwa na negative wote so nikampeleka mpaka ghetto langu demu yupo vizuri ile mbaya alinipa show ya kibabe Sana nimetoka pale nimeridhika kabisa nilimtoa usiku Sana so nikamtafutia bajaji nikamlipa bajaji amfikishe mpaka anapo kaa na nilimpa yule demu elfu 35 akaniuliza ya nini? Me nikamjibu hii ni kama Asante pokea tu usijali nitafurahi Sana utachukua demu akakubali akachukua.

siku ya jumamosi baada ya kupita siku moja tangu nimfumue yule yule demu akanipigia anataka aje home duh ilinishangaza cos nilijua ilishipita tumeshamalizana nikamwambia aje nikamgonga na nililala nae mpaka kesho akanipikia chai ikabidi nimuulize swali vip unakaa na boyfriend wako au mnakaa sehemu tofauti? demu akanijibu me nipo single nikastuka kidogo nikawa naona kama ananidanganya hivi binafsi sikutegemea maana demu ni mzuri mno kama ni level yupo kwenye most beautiful alafu yupo full package katika wanawake niliwahikudate nao ingawa ni wazuri ila hawajafika level ya huyu demu kwanza ana uzuri wa asili alafu ukichanganya na rangi ya mtume kwa msemo wa mtaani inakuwa balaa sasa.Demu akaniuliza Tena nifanye nini uliuniamini kwamba mimi nipo single but the end nikakubali nikaongea mambo mengi Sana siku ile tukaanza kufahamiana zaidi.

siku nyingine aliniomba niende kwake nikaenda siku hiyo hiyo akaniambia mimi nataka niishi na wewe hii kukutanakutana sio nzuri Sana kama itakupendeza uishi kwangu Hilo nililikataa nikamwambia utaishi kwenye ghetto langu mrembo akakubali tangu siku hii mpaka Leo ndio mpenzi natunakaribia mwaka hivi kwenye mahusiano


NB: Tangu nimedate na wanawake tofauti huyu ndio mwanamke wangu Bora Sana kuliko yoyote na ndio mahusiano yangu ninayoyafurahia Sana ninakula mahaba Sana na sio kwamba nina kipato kikubwa la hasha nina kipato Cha kawaida mwanamke amezama kwangu kimapenzi nami nimezama kwake.Ninalishwa, nikirudi home kabla yake ninavuliwa shati, ninafuliwa nguo sometimes nafanyiwa massage na ndio mwanamke nategemea kumuoa changamoto ni moja tu me ni mkristo wakati yeye ni muislamu alafu kwao wanaimani Kali Sana

Saint Anne
Darmian
DeepPond
Sky Eclat
Yna2
Shunie
Mzigua90
Kunguru wa Manzese
to yeye
Zero IQ
Mshana Jr
Carleen
Amehlo
Joanah
Unaishi na jini
 
Habari wanajf

Nduguzanguni nilipitia mahusiano ambayo yalinipa stress Sana drama zilikuwa haziishi kutokana na hivyo ikanifanya niachane na huyo binti na ikapelekea nijipe break kidogo ya mahusiano.
Ilinichukua miezi 6 bila kuwa na mahusiano wala kufanya mapenzi.

kama binadamu wengine nikawa nina nyege na ukizingatia nipo single nyege zangu zikanipelekea niwe na wazo lakuomba mzigo siku moja hiyo hiyo kwa demu yoyote.Wakati napita zangu nikamuona binti mkali kutokana na uzuri wenye viwango vya 4k kwenye akili ya kawaida nikawaza ninaweza kutoswa lakini nikajaribu bahati nikamwita demu akaitika nikamuomba niongee naye demu akanisikiliza kwenye Hili lazima uwe na technique nikaongea naye Sana na kuna maswali akaniuliza me nikamjibu vizuri the end demu akanikubalia yaani sikuamini macho yangu ila akaniambia tusifanye leo kuna sehemu anaenda akasema nimpe no yangu atanicheki kesho sawa nami nikampa, kitu ambacho kinishangaza zaidi demu akunipa hata condition labda nitoe hela kama msemo wa mademu wa sasa hakuna mbususu ya bure Tena hiyo ulikuwa j'5.

Kesho Alhamisi ikafika nilisubiri mpaka inaenda saa 11 Jioni demu hajanipigia na nikajaribu kupiga simu inaita lakini haipokelewi nikajiongeza hapa nimepigwa changa la macho ilivyofika saa 1 usiku yule demu akanipigia Tena hapo nilikuwa nimekata tamaa nikapokea akaniambia nipo wapi nije duh nilifurahi Sana na hapo hakuniomba hela yeyote hata nauli.

Wakati namsubiria manzi ikabidi niwashilikishe baadhi ya wadau wangu kwenye Hili kuanzia mwanzo mpaka mwisho wengi wao wakaniambia hapo kuna namna haiwezekani demu akupe mbususu bure Tena hakujui may be ana ukimwi anatafuta mtu wakufanae wakanishauri Cha msingi kabla ujafanya naye kapime nae.


Baada ya muda kupita demu akafika nikamchukua stendi nikamwambia ni vizuri tupitie sehemu tukapime maana mimi sipendelei kutumia condom demu akakubali tukapima tukakutwa na negative wote so nikampeleka mpaka ghetto langu demu yupo vizuri ile mbaya alinipa show ya kibabe Sana nimetoka pale nimeridhika kabisa nilimtoa usiku Sana so nikamtafutia bajaji nikamlipa bajaji amfikishe mpaka anapo kaa na nilimpa yule demu elfu 35 akaniuliza ya nini? Me nikamjibu hii ni kama Asante pokea tu usijali nitafurahi Sana utachukua demu akakubali akachukua.

siku ya jumamosi baada ya kupita siku moja tangu nimfumue yule yule demu akanipigia anataka aje home duh ilinishangaza cos nilijua ilishipita tumeshamalizana nikamwambia aje nikamgonga na nililala nae mpaka kesho akanipikia chai ikabidi nimuulize swali vip unakaa na boyfriend wako au mnakaa sehemu tofauti? demu akanijibu me nipo single nikastuka kidogo nikawa naona kama ananidanganya hivi binafsi sikutegemea maana demu ni mzuri mno kama ni level yupo kwenye most beautiful alafu yupo full package katika wanawake niliwahikudate nao ingawa ni wazuri ila hawajafika level ya huyu demu kwanza ana uzuri wa asili alafu ukichanganya na rangi ya mtume kwa msemo wa mtaani inakuwa balaa sasa.Demu akaniuliza Tena nifanye nini uliuniamini kwamba mimi nipo single but the end nikakubali nikaongea mambo mengi Sana siku ile tukaanza kufahamiana zaidi.

siku nyingine aliniomba niende kwake nikaenda siku hiyo hiyo akaniambia mimi nataka niishi na wewe hii kukutanakutana sio nzuri Sana kama itakupendeza uishi kwangu Hilo nililikataa nikamwambia utaishi kwenye ghetto langu mrembo akakubali tangu siku hii mpaka Leo ndio mpenzi natunakaribia mwaka hivi kwenye mahusiano


NB: Tangu nimedate na wanawake tofauti huyu ndio mwanamke wangu Bora Sana kuliko yoyote na ndio mahusiano yangu ninayoyafurahia Sana ninakula mahaba Sana na sio kwamba nina kipato kikubwa la hasha nina kipato Cha kawaida mwanamke amezama kwangu kimapenzi nami nimezama kwake.Ninalishwa, nikirudi home kabla yake ninavuliwa shati, ninafuliwa nguo sometimes nafanyiwa massage na ndio mwanamke nategemea kumuoa changamoto ni moja tu me ni mkristo wakati yeye ni muislamu alafu kwao wanaimani Kali Sana

Saint Anne
Darmian
DeepPond
Sky Eclat
Yna2
Shunie
Mzigua90
Kunguru wa Manzese
to yeye
Zero IQ
Mshana Jr
Carleen
Amehlo
Joanah
hongera ndgu, ila kukaa miez sita bila kula mbususu duuuh
 
Back
Top Bottom