Kwa mazungumzo ya Jana ya mbowe clouds TV, mbowe amegeuza upepo, ushindi kwake ni dhahiri

Kwa mazungumzo ya Jana ya mbowe clouds TV, mbowe amegeuza upepo, ushindi kwake ni dhahiri

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
 
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Wengine walipigwa risasi 16 maanake wali lenga kuwaua ila bado wakabaki na msimamo ule ule, afadhali mbowe yeye aliomba apate likizo ya mda mrefu, angekua amepigwa lisasi siange staafu kabisa muoga yule anapenda soft politics.
 
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
..Alikuwa na sera Gani Jana zaidi ya malalamiko? Mbowe kachokwa na kachokwa, chadema mrudisheni tu huku mtaani tutajuana
 
Wengine walipigwa risasi 16 maanake wali lenga kuwaua ila bado wakabaki na msimamo ule ule, afadhali mbowe yeye aliomba apate likizo ya mda mrefu, angekua amepigwa lisasi siange staafu kabisa muoga yule anapenda soft politics.
Alipigwa risasi akapona akaja kugombea 2020, akakimbia!...
 
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
ni muhimu zaidi watu wa mitandaoni kufahamu na kuelwa jambo hili kwa uwazi zaidi, kwamba hakuna mgombea uenyekiti wa chadema Taifa wa kumshinda mbowe ispokua Mbowe mwenyewe,

na hili liko wazi kabisa my friends, ladies and gentlemen 🐒
 
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Hamna upepo kageuza, mambo kwa ground bado ni tight.
Next time awe anaongelea nini atakifanyia chama next 5 years , ambacho kwenye 21 years hakufanya
Wenzie wanadondosha facts
 
..Alikuwa na sera Gani Jana zaidi ya malalamiko? Mbowe kachokwa na kachokwa, chadema mrudisheni tu huku mtaani tutajuana
Chadema for about 5yrs ago, ilikuwa kama haipo na haikuwa kwenye mpango wa ruzuku [kuisustan kwa kipindi chote hicho iliitaji mtu kichwa kweli] ushabiki Tuweke pembeni! Twende na trends za up and down!,
Je kiongozi angelikuwa ni mtu dhaifu anyekimbia ovyo kungelikuwepo na chadema, kwa jinsi jiwe alivyokuwa amedhamiria?
 
ni muhimu zaidi watu wa mitandaoni kufahamu na kuelwa jambo hili kwa uwazi zaidi, kwamba hakuna mgombea uenyekiti wa chadema Taifa wa kumshinda mbowe ispokua Mbowe mwenyewe,

na hili liko wazi kabisa my friends, ladies and gentlemen 🐒

Ungemalizia Kwa kusema:

"...., wasema CCM."

Ingependeza zaidi!
 
CCM na michawa wake mshaurini asitokee mdahalo kwa maana Kila akifungua mdomo anayakoroga zaidi!
Kiukweli mimi si miongoni mwenu. Niko free ground. Ila kama si chuki binafsi utakubaliana nami kwamba katika uwezo wa kujenga hoja na kuongea kwa hekima na busara hakuna kama Mbowe
CCM na michawa wake mshaurini asitokee mdahalo kwa maana Kila akifungua mdomo anayakoroga zaidi!
Kiukweli mimi Simo
 
Alikujavkugombea 2020 na watu wale walio mpiga lisasi, sio kuja kuongea nao maridhiano ya uoga, sisa za upizani za Africa ni kifo gazihitaji upiga dili kama Mbowe
Angelikuwa na msimamo mkali asinge kuja kugombea na adui au muuaji wake, (siasa haziko hivyo)
 
gentleman,
chukua hiyo point itakusaidia sana kukuepusha na mshtuko 🐒

Mshtuko wa moyo siyo attribute kwa makamanda wapambanaji. Labda hawa:

GgorHp4XUAAE0_u.jpeg


Kwamba wakale polisi siyo?
 
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
LEMA AWAPIGA MASWALI MAZITO WAJUMBE WA MKUTANO MKUU CHADEMA SAKATA LA RUSHWA
Godbless Lema, Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini atoa ujumbe mzito kwenda kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA kuhusu sakata la rushwa katika uchaguzi wa chama hicho taifa utakaofanyika Januari 21, 2025.

"Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili , ikiwa utapewa pesa, usafiri, pombe na chakula wkt huu lakini ukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa, Kijiji na Vitongoji, je hizo pesa sasa zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ? CHADEMA sio duka wala Bar . Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi, msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa. Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu ktk boksi la kura. Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi. Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo. Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na @ccm_tanzania" - Godbless Lema, Aliyekuwa Mwenyekiti wa @ChademaTz wa Kanda ya Kaskazini.
 
Back
Top Bottom