Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni wasanii tu hawana loloteWenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Embu niambie tu kitu kimoja ambacho ameahidi kufanya miaka hii 5 anayotaka?. Kama hamna basi hana msaada kwetuWenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
We punguani sana, soft ndio nini, na hizo hard ndio zipi mnazozitaka??Wengine walipigwa risasi 16 maanake wali lenga kuwaua ila bado wakabaki na msimamo ule ule, afadhali mbowe yeye aliomba apate likizo ya mda mrefu, angekua amepigwa lisasi siange staafu kabisa muoga yule anapenda soft politics.
Nakubaliana nawe, by 100%,Tunajua alipokitoa chama na alipokifikisha.. Anastahili maua yake lakini sasa ni wakati wa kupumzika na kubaki kama mshauri wa chama
MBOWE NAYE ANGEKIMBIA KAMA KINA LISSU, SIJUI NINI KINGETOKEA? UONGOZI NI RECORD!, CHAMA KIMETOKA KWENYE MISUKOSUKO MIAKA 3 TU ILIYOPITA, WAFANYE UCHAGUZI MSHINDI AKIJENGE TENA UPYA MAANA HALI YA KUJENGA NA KUFIKIA KUPATA WABUNGE 70+ HAIKIWA YA KITOTO, WAJENGE KWANZA CHAMA MENGINE YATAFUATA.Embu niambie tu kitu kimoja ambacho ameahidi kufanya miaka hii 5 anayotaka?. Kama hamna basi hana msaada kwetu
Nawaza Tu!!! Hivi wakati ule ingekuwa mbowe kapigwa marisasi 16 halafu tundu ni mwenyekiti CDM ingetokea nini? Ambacho mbowe hakufanya ila Lissu angefanya?!!Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Sawa ila hilo ni la wanachama wenye CDM yao kuamua, siyo uamuzi wa Mbowe au hata wewe au mimi.Tunajua alipokitoa chama na alipokifikisha.. Anastahili maua yake lakini sasa ni wakati wa kupumzika na kubaki kama mshauri wa chama
Aliyepambana na jiwe kindakindaki anajulikana mkuu, wengine wote walikuwa wamejichimbia, ukweli usemweChadema for about 5yrs ago, ilikuwa kama haipo na haikuwa kwenye mpango wa ruzuku [kuisustan kwa kipindi chote hicho iliitaji mtu kichwa kweli] ushabiki Tuweke pembeni! Twende na trends za up and down!,
Je kiongozi angelikuwa ni mtu dhaifu anyekimbia ovyo kungelikuwepo na chadema, kwa jinsi jiwe alivyokuwa amedhamiria?
...mmmh, dah swali muhimu Sana, lakini kwa lissu moto ungewaka zaidiNawaza Tu!!! Hivi wakati ule ingekuwa mbowe kapigwa marisasi 16 halafu tundu ni mwenyekiti CDM ingetokea nini? Ambacho mbowe hakufanya ila Lissu angefanya?!!
mbowe nani alikwambia atashindwa? hicho ni chama cha ukoo waleWenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
LEMA AWAPIGA MASWALI MAZITO WAJUMBE WA MKUTANO MKUU CHADEMA SAKATA LA RUSHWA
Godbless Lema, Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini atoa ujumbe mzito kwenda kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA kuhusu sakata la rushwa katika uchaguzi wa chama hicho taifa utakaofanyika Januari 21, 2025.
"Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili , ikiwa utapewa pesa, usafiri, pombe na chakula wkt huu lakini ukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa, Kijiji na Vitongoji, je hizo pesa sasa zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ? CHADEMA sio duka wala Bar . Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi, msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa. Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu ktk boksi la kura. Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi. Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo. Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na @ccm_tanzania" - Godbless Lema, Aliyekuwa Mwenyekiti wa @ChademaTz wa Kanda ya Kaskazini.
Mbowe mbona alikimbilia Dubai au umesahau? Aliporudi ndio akapewa kesi ya ugaidi.MBOWE NAYE ANGEKIMBIA KAMA KINA LISSU, SIJUI NINI KINGETOKEA?
Tuachane na ukabila twende kwenye mambo ya kimsingi na hoja.mbowe nani alikwambia atashindwa? hicho ni chama cha ukoo wale