Kwa mazungumzo ya Jana ya mbowe clouds TV, mbowe amegeuza upepo, ushindi kwake ni dhahiri

Kwa mazungumzo ya Jana ya mbowe clouds TV, mbowe amegeuza upepo, ushindi kwake ni dhahiri

Mbowe amesema pia Yuko tayari kumkubali kushindwa.

Hii ni kauli njema
 
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Hao ni wasanii tu hawana lolote
 
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Embu niambie tu kitu kimoja ambacho ameahidi kufanya miaka hii 5 anayotaka?. Kama hamna basi hana msaada kwetu
 
Wengine walipigwa risasi 16 maanake wali lenga kuwaua ila bado wakabaki na msimamo ule ule, afadhali mbowe yeye aliomba apate likizo ya mda mrefu, angekua amepigwa lisasi siange staafu kabisa muoga yule anapenda soft politics.
We punguani sana, soft ndio nini, na hizo hard ndio zipi mnazozitaka??
 
Tunajua alipokitoa chama na alipokifikisha.. Anastahili maua yake lakini sasa ni wakati wa kupumzika na kubaki kama mshauri wa chama
Nakubaliana nawe, by 100%,
-Mwenyekiti na makamu huwa ni Pete na chanda, huwa karibu na huambiana sigombei au nagombea kwa nafasi fulani infact hukunaliana faragha kwanza ndipo hutangazwa, kitendo cha Lissu kuonyesha nia ya kutogombea wala kumdokeza pacha wake, halafu ghafla anashambulia kwa kuchukuwa form,hili ndilo tatl)
Embu niambie tu kitu kimoja ambacho ameahidi kufanya miaka hii 5 anayotaka?. Kama hamna basi hana msaada kwetu
MBOWE NAYE ANGEKIMBIA KAMA KINA LISSU, SIJUI NINI KINGETOKEA? UONGOZI NI RECORD!, CHAMA KIMETOKA KWENYE MISUKOSUKO MIAKA 3 TU ILIYOPITA, WAFANYE UCHAGUZI MSHINDI AKIJENGE TENA UPYA MAANA HALI YA KUJENGA NA KUFIKIA KUPATA WABUNGE 70+ HAIKIWA YA KITOTO, WAJENGE KWANZA CHAMA MENGINE YATAFUATA.
 
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Nawaza Tu!!! Hivi wakati ule ingekuwa mbowe kapigwa marisasi 16 halafu tundu ni mwenyekiti CDM ingetokea nini? Ambacho mbowe hakufanya ila Lissu angefanya?!!
 
Tunajua alipokitoa chama na alipokifikisha.. Anastahili maua yake lakini sasa ni wakati wa kupumzika na kubaki kama mshauri wa chama
Sawa ila hilo ni la wanachama wenye CDM yao kuamua, siyo uamuzi wa Mbowe au hata wewe au mimi.
Box la kura litaamua nani zaidi
 
Chadema for about 5yrs ago, ilikuwa kama haipo na haikuwa kwenye mpango wa ruzuku [kuisustan kwa kipindi chote hicho iliitaji mtu kichwa kweli] ushabiki Tuweke pembeni! Twende na trends za up and down!,
Je kiongozi angelikuwa ni mtu dhaifu anyekimbia ovyo kungelikuwepo na chadema, kwa jinsi jiwe alivyokuwa amedhamiria?
Aliyepambana na jiwe kindakindaki anajulikana mkuu, wengine wote walikuwa wamejichimbia, ukweli usemwe
 
Nawaza Tu!!! Hivi wakati ule ingekuwa mbowe kapigwa marisasi 16 halafu tundu ni mwenyekiti CDM ingetokea nini? Ambacho mbowe hakufanya ila Lissu angefanya?!!
...mmmh, dah swali muhimu Sana, lakini kwa lissu moto ungewaka zaidi
 
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
mbowe nani alikwambia atashindwa? hicho ni chama cha ukoo wale
 
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!


Mbowe dili lake kubwa ni kutoa siri kwa vyombo vya dola juu ya nani msumbufu ili ashughulikiwe kisawasawa.

Magufuli hakuwa mnafiki ndio maana alitaka kukifutilia mbali chama cha Familia ya Mbowe .

Mbowe ni mpumbavu kwa sababu amemuharibia kabisa ndoto ya mtoto wake ndani ya chama. Kwa sasa mtoto wa Mbowe hawezi kuja kuaminika na kupata nafasi ya kuchaguliwa kwa sababu ya udikteta wa baba yake.

Mbowe alikua na nafasi kubwa sana ya kumjengea jina zuri mtoto wake kwa wananchi . Madikteta wote duniani hawajaacha kumbukumbu ya utawala wa watoto wao kwenye siasa za kidemokrasia .

Mfano mzuri kwa Tanzania ni Mzee Mwinyi na Kikwete waliimarisha demokrasia kwa vitendo . Leo watoto wao wanaaminika na kupata nafasi za juu .

Hivi ni nani atampigia kura mtoto wa mbowe siku akitaka kuongoza chama wakati kuna historia ya udikteta ya baba yake kuwamaliza wenzake kwa fitina na kuwalengesha kwenye mikono ya dola .

Ukimsikiliza Mbowe hana hoja yoyote ya kwa nini ana ngangania kiti wakati amepoteza ushawishi kwa siasa za woga na maviziano ya woga aliyoyaomba mwenyewe ili asije akafungwa kwa ugaidi wake .


Mbowe na Serikali ya CCM hana tofauti na Osama Bin Laden na serikali ya Marekani ambayo ndiyo iliyokua inamfadhili na kumtumia kuwamaliza maadui zao.
Walipomuona wakamwita gaidi . Kwa hiyo Mbowe naye akitumika sana kuhujumu upinzani ili isishuke Dola na wanajua ndizo maana wakamshitaka kwa ugaidi waliokuwa wanaijua .Kuna Bomu liliwahi kurushwa kwenye mkutano wa Chadema kule Arusha . Uchunguzi wa polisi ulionyesha kuwe Chadema ndio waliokua wamelipua watu .
Kwa Haya ya Mbowe na Hotuba zake na jinsi anavyoegemea upande wa Serikali kuliko kwa mgombea wake aliyekua amemteua kugombea Urais ni wazi kuwa Lile bomu lilirushwa na genge la Mbowe kama gaidi mkuu na vyombo vya dola walikua wanajua ndio maana walisema limerushwa na Wanachadema wenyewe . Wakati huo Mbowe alikua Mwenyekiti. Hatukusikia akisema habari ya uchunguzi wa Scortland yard.

Huyu Mbowe ni mtu wa kuwa naye makini sana . Stahili yake kwa sasa ni kukataliwa kwenye kura maana kubaki na gaidi kwenye chama ni kuhatarisha maisha ya vijana wenye Moyo wa kupigania haki kwenye nchi hii.

Sura halisi ya Mbowe imeonekana.

Wanasema ni Mzee wa Busara lakini wanasahau kuwe Hata Dr.Samia ana busara sana lakini maamuzi yake ni hatari sana. Ndio kama yale ya kuwakata watu mikia . Lakini sio hivyo tu hata wale aliowateua kwenye vyombo vyake vya dola ni wale wale waliowashughulikia wapinzani kisawasawa . Lakini Mbowe wala hakushtuka kwa sababu anaona yeye hahusiki zaidi ya kufanya maigizo ya kumkamata na kumuweka ndani huku wenzake wakipotea au kujeruhiwa .

Haiwezekani matukio yote yaliyosababisha mauaji na watu kupigwa na kujeruhiwa yawe yametokana na kauli za Mbowe halafu cha ajabu anaambiwa kuwe ana busara kubwa na anachagua maneno ya kuongea .

Aliyetoa kauli ya kihaini na kuleta mtafaruku uliovuruga mwenendo mzima wa kisiasa ni huyo huyo Mbowe kwa kauli yake ya "Samia Must Go." Hii ni kauli iliyoleta taharuki kubwa saa ana lakini CCM na genge la Mbowe hawaoni kuwa huku kuropoka kulikua kunataka kuleta mapinduzi . Wao wanaangalia kuropoka kwa kuwataja mafisadi na kusema mafisadi hawastahili kupewa uongozi ndani na nje ya chama . Huyu Mzalendo eti hana busara wakati hakuwahi kuhamasisha watu wafanye vurugu kama Mbowe aliyehamasisha mauaji ya Aquiline kwa kauli za hotuba zisizo zingatia sheria za nchi.
 
LEMA AWAPIGA MASWALI MAZITO WAJUMBE WA MKUTANO MKUU CHADEMA SAKATA LA RUSHWA
Godbless Lema, Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini atoa ujumbe mzito kwenda kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA kuhusu sakata la rushwa katika uchaguzi wa chama hicho taifa utakaofanyika Januari 21, 2025.

"Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili , ikiwa utapewa pesa, usafiri, pombe na chakula wkt huu lakini ukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa, Kijiji na Vitongoji, je hizo pesa sasa zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ? CHADEMA sio duka wala Bar . Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi, msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa. Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu ktk boksi la kura. Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi. Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo. Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na @ccm_tanzania" - Godbless Lema, Aliyekuwa Mwenyekiti wa @ChademaTz wa Kanda ya Kaskazini.


Endapo Lema atapata nafsi ya uongozi kuna jambo nitamshauri aliweke sawa maana kuna mambo wetu hawamuelewi. Lema ni kiongozi mzuri sana
 
Back
Top Bottom